econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Lipumbavu mzee wa Mabama kama si Goweko huwa hanaga akili.Plopesa mjingamjinga!
Huyo mjinga anatokea ilolangulu. Msaliti kaiua CUF kwa mikono yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipumbavu mzee wa Mabama kama si Goweko huwa hanaga akili.Plopesa mjingamjinga!
Huyu chiba ataimba risasi hadi siku anakufa.
Ulaya hakujificha mwenyewe, alifichwa na beberu,hakuna asiejua.unaweza ukajificha kwenu mwanza ila huwezi kujificha ulaya na ushamba wako wa kisukuma
Mbona hata uyo tundu wako bila kumtaja Magu anadhani hatasikilizwa.Bila kumtaja Lissu nani atamsikiliza huyu?
Huyo chiba wako ana maumivu gani?
Mbona hata uyo tundu wako bila kumtaja Magu anadhani hatasikilizwa.
Hana Mke na huwa anaogopa asiposhiba kwenye hiyo shughuli hatakuta chakula Tena nyumbani, poor fellowLipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua...
Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula
Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!
Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula...
Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Hapa nakubaliana na prof kwa mara ya kwanza. Amenena. Tundu hana sifa hata moja ya kuwa hata kiongozi wa nyumba kumi. Hajatulia na anakurupuka. Sasa ndo amechanganyikiwa kabisa. Sijui ni hizo risasi.
Sawa kabisa!
Ingekuwa hivyo leo hii dr Ulimboka angekuwa rais
yuko sahihi kila mmoja wetu akiongelea madhira aliyopta aonewe huruma litakuwa taifa lakuoneana huruma watanzania wana njaa wanatokaje kwenye shida hii wanahitaji mwongozo
Afadhali kumbe wanaojielewa bado wapo
Sema katangulia, kwenye kifo hakuna kubaki, kila mmoja ataondoka tu.Magu gani anamtaja? Anamtaja Magu maana ndio Mastermind kwa kushambuliwa kwake. Bahati nzuri muuaji mkuu kafa yeye Lissu kabaki.
Sana tu mwananguSifa unazo wewe.
Huu ni uchakubimbi,ni tabia za wanawake wasio na kazi
Sema katangulia, kwenye kifo hakuna kubaki, kila mmoja ataondoka tu.
Niujinga kushupaza shingo kupambana na Marehemu.
Mtu ambae hawezi ku exist infinity, na hawezi kujitetea kama lisemwalo ni kweli ama uwongo.
Watu wanataka kusikia sera na mipango Ili waamini uwezo wamtu katika kutatua matatizo mbalimbali.
Kulialia hovyo niudhaifu, tabia za kulialia wanazo wakina mama na watoto wakiume.
Sana tu mwanangu