yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,530
- 1,961
Kwani chadema ipo hai?Huyo mjinga anatokea ilolangulu. Msaliti kaiua CUF kwa mikono yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani chadema ipo hai?Huyo mjinga anatokea ilolangulu. Msaliti kaiua CUF kwa mikono yake.
Kisa tu kamsema huyo shoga?, ujinga kweli ni mzigo,Huyu mzee aachane na siasa kwani hana impact yoyote kwa sasa, ndo maana mzee makamba aliwahi kumpiga kijembe kwamba kapauka kama shati.
Hivi Lipumba huwa haugui hata mafua jamani?Huyu nae alipoteza sifa za kutoa hoja yeyote kitambo sana.
Yule dishi lilishayumba kitambo.Hivi Lipumba huwa haugui hata mafua jamani?
Umri umeenda sn atakuwa above 70Yule dishi lilishayumba kitambo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua.
Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula.
Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!
Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula.
Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Kaka hapa anazungumziwa Lipumba, ukitata niwataje na hao anzisha mada zao, jifunze kuto kutoka nje ya mada pimbi weweWewe. Ni bonge la juha,Rostam aziz ni mkristo?, jakaya kikwete ni mkristo?,ucha ufala wewe,
Hata Mandela alisimulia madhila aliyopata kule Robben Island gerezani.Ni sehemu ya mapambano.Ni ishara ya mhanga aliyekuwa mstari wa mbele katika kupambana na dikteta.maelezo yake yanahamasisha tusiwe waoga tuwe tayari kumkabili diktetaHapa nakubaliana na prof kwa mara ya kwanza. Amenena. Tundu hana sifa hata moja ya kuwa hata kiongozi wa nyumba kumi. Hajatulia na anakurupuka. Sasa ndo amechanganyikiwa kabisa. Sijui ni hizo risasi.
The nutty plopezya!Huyo mjinga anatokea ilolangulu. Msaliti kaiua CUF kwa mikono yake.
Vitu vingine kwani ukinyamaza unapungukiwa nini?Jitahidi basi ili utunze heshima yako.Huyo chiba wako ana maumivu gani?
Amesomea uchumi wakati yeye mwenyewe kapuku panyabuku!😜😜😜😜Hata kusomea uchumi siyo sifa ya kuwa rais wa tanzania.
Sasa kama anakuwa anajibu maswali anayoulizwa na waandishi tofauti kuhusiana na kupigwa kwake risasi, tatizo liko wapi. Akiulizwa asijibu!?Bora kamkumbusha. Maana kutwa nzima ye anaimba risasi tu.
🤣🤣🤣Daah hii ni personal attack mkuu.........Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua.
Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula.
Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!
Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula.
Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Hilo kamuulize makamba wee kiazi, maana ndo alimpiga kijiembe kwamba kapauka kama shati.....kwa maana nyingine hayuko relevant, labda kama anatafuta nauli ya kurudi rwanda.Kisa tu kamsema huyo shoga?, ujinga kweli ni mzigo,
mrembo usiwatukane maprofesa.waheshimu sio wenzako hao japo tabia zao mbovu.wavumilie😘Lipumbavu mzee wa Mabama kama si Goweko huwa hanaga akili.Plopesa mjingamjinga!