converterr
JF-Expert Member
- Jan 28, 2023
- 294
- 593
lisu anataka huruma.hakuna wakumpa uraisi kwa huruma . .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu hawataki Lissu aeleze story yake. Hawataki kusikia kabisa hilo swala as if halikutokea .... Sasa huyu Propesa LIPUMBA alitaka Lissu asiwaeleze wananchi wake kilichotokea. Kama hataki kusikia basi asisikilize ....!!Ukiambiwa wewe punguani utabisha? lisu aliposema sabaya ni jambazi ulisema alete ushahidi wakati tayari ulishapelekwa mahakamani
lisu akisema magufuli anahusika na shambulio lake unabisha, akisema lipumba kuhusu lisu haraka unatoka jikoni kuja kuaktika mauno humu
wewe ulishawahi kupigwa japo jiwe kwa manati?Huyu chiba ataimba risasi hadi siku anakufa.
GT mwenzangu Kuna majina mengine yanasadifu akili ya mtu! Kubishana na Hawa empty headed Ni kupoteza muda! Ndio Mana sehemu yao sahihi Ni Facebook Mana hata kwa takwimu za TCRA Ina watumiaji wengi inabeba kuanzia maprofesa mpaka beki tatu nyumbani ukiacha wapiga debe!mpuuzi wewe dereva wa lisu amuue lisu ili apate nn? mtu unakula nae chakula umpige risasi? si angemuwekea sumu tu yakaisha? mjinga sana wewe jamaa
na ben sanane, anzory gwanda nao waliuwa na dereva wa lisu?
Sio hoja ya msingiLipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua.
Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula.
Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!
Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula.
Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua.
Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula.
Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!
Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula.
Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Pale kwao mwananyamala husifika kwa kupenda ubeche, Tena watu wazima huongoza.Wanapenda ubwabwa wa sjughuli ka watotoLipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua.
Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula.
Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!
Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula.
Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Anaishia kunyonyoka nywele kama mbwa aliyekula panya.Huyu mzee aachane na siasa kwani hana impact yoyote kwa sasa, ndo maana mzee makamba aliwahi kumpiga kijembe kwamba kapauka kama shati.
Wewe. Ni bonge la juha,Rostam aziz ni mkristo?, jakaya kikwete ni mkristo?,ucha ufala wewe,
Kupigwa risasi kunaweza kuwa kigezo cha Lissu kupewa urais? Kama sio, Lipumba kakosea wapi?Nilisikia kinyaa sana!! Halafu muda wote anawatolea macho vibaya sana wanaopakua utafikiri kaandaliwa peke yake...
Mwangalie hata ongea yake mdomo wake saa zote unacheza cheza tu kama wa mamba anaevizia windo
Ndipo mazingira yetu ya kisiasa yalipofikia. Huu uzi ni ushuhuda kuwa kuna watu WANAOUGUA maumivu makali kuhusu Lissu KUTOFARIKI baada ya zile risasi.Watanzania tuondoe ujinga wa vyama. Tunachekana kwenye shida kisa vyama tofauti. Yani unashabikia ujinga kisa Lissu sio CCM?. Dereva anakuaje mshukiwa? Mnaacha kuwasaka wahusika mmebakiza stori. Sawa.
Professor Lipumba!
Ni wakati anajibu maswali mbalimbali ya waandishi wa habari amemlipua Tundu Lisu kuwa ajue kupigwa risasi siyo sifa ya kukufanya uchaguliwe kuwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Prof Lipumba amesema kwenye sifa za mtu kuwa Rais wa Tanzania kupigwa risasi haipo, hivyo Lisu angeendeleza sera za kuwaunganisha watanzania na kuwaletea maendeleo na siyo kuimba kupigwa risasi kila siku.*
Kuna mtu yoyote kutoka kwa saccos yenu ameongelea swala la inflationBadala ya kuzungumzia Inflation yeye anazungumzia risasi
Huyu mzee kwishney sema tu yule mkewe mchagga anamlisha!
Kati yako na Lipumba nani aliyewahi kuwa hata diwani na Lipumba wako alipata asilimia ngapi katika kujifaragua kugombea urais?.Hapa nakubaliana na prof kwa mara ya kwanza. Amenena. Tundu hana sifa hata moja ya kuwa hata kiongozi wa nyumba kumi. Hajatulia na anakurupuka. Sasa ndo amechanganyikiwa kabisa. Sijui ni hizo risasi.
Lipumba kwenye purukushani na polisi pale Mtoni walichukua saa yake mpaka leo anasimulia sembuse risasi.Kwahiyo profesa anamuonea wivu mtu aliyepigwa risasi [emoji1787]