Prof. Lipumba: Kupigwa risasi haikuongezei sifa ya kuwa Rais wa Tanzania

Prof. Lipumba: Kupigwa risasi haikuongezei sifa ya kuwa Rais wa Tanzania

Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua...

Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula


Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!

Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula...

Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Huu ni uchakubimbi,ni tabia za wanawake wasio na kazi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua...

Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula


Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!

Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula...

Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
 
Sometimes huwa nafurahishwa Sana na watu wa system hasa TISS jinsi wanavoibua watu na fani zao!!

Hasa lipumba ni mtu anaefaa KWA siasa ZETU kama anavoonekana!anafanya siasa za mchongo Ili kusaidia NCHI katika kipindi Fulani inachopitia!!

Hilo ni bonge la spana!!

Hakuna spana hapo mjomba labda kwa machawa tu. Hata wewe ukitaka viewers andika kuhusu Lissu.

Ukipenda kujaribu andika kuhusu Lipumba uone. 🤣🤣

Ukweli mchungu wengi mnajipatia relevance kwa kulitumia jina la huyu mwamba. Kwenye hilo Lipumba ni mmoja wenu.
 
Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua...

Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula


Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!

Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula...

Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
mkuu! silaha ulizotumia ni nyuklia
 
mpuuzi wewe dereva wa lisu amuue lisu ili apate nn? mtu unakula nae chakula umpige risasi? si angemuwekea sumu tu yakaisha? mjinga sana wewe jamaa
na ben sanane, anzory gwanda nao waliuwa na dereva wa lisu?
Mwambie ukweli huyu mwehu!
 
Badala ya kuzungumzia Inflation yeye anazungumzia risasi

Huyu mzee kwishney sema tu yule mkewe mchagga anamlisha!
Inategemea na kiungo unachotumia kufikiria, matatizo yanayoikabili Tanzania ni inflation Tu? Ukiukwaji wa wa haki za binadamu siyo tatizo?
 
Back
Top Bottom