Eti yuko sahihi. Wewe ndiye SI unit ya usahihi?yuko sahihi kila mmoja wetu akiongelea madhira aliyopta aonewe huruma litakuwa taifa lakuoneana huruma watanzania wana njaa wanatokaje kwenye shida hii wanahitaji mwongozo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti yuko sahihi. Wewe ndiye SI unit ya usahihi?yuko sahihi kila mmoja wetu akiongelea madhira aliyopta aonewe huruma litakuwa taifa lakuoneana huruma watanzania wana njaa wanatokaje kwenye shida hii wanahitaji mwongozo
Huu ni uchakubimbi,ni tabia za wanawake wasio na kaziLipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua...
Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula
Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!
Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula...
Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Prof mpuuzi sana huyu!Badala ya kuzungumzia Inflation yeye anazungumzia risasi
Huyu mzee kwishney sema tu yule mkewe mchagga anamlisha!
Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua...
Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula
Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!
Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula...
Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Sometimes huwa nafurahishwa Sana na watu wa system hasa TISS jinsi wanavoibua watu na fani zao!!
Hasa lipumba ni mtu anaefaa KWA siasa ZETU kama anavoonekana!anafanya siasa za mchongo Ili kusaidia NCHI katika kipindi Fulani inachopitia!!
Hilo ni bonge la spana!!
mkuu! silaha ulizotumia ni nyukliaLipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua...
Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula
Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!
Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula...
Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Shenzi wewe!Huyu chiba ataimba risasi hadi siku anakufa.
Mwambie kweli huyo mpuuzi!Na weye unashabikia upuuzi?Uliwahi hata kujikata kidole kwa wembe?Ulijisikiaje?
Imagine! Afu unaambiwa ni Profesa wa uchumi. Nchi ngumu hiiBadala ya kuzungumzia Inflation yeye anazungumzia risasi
Huyu mzee kwishney sema tu yule mkewe mchagga anamlisha!
Maumivu ww kenge!Kujikata kidole kunaingiaje hapa? Huo ni mfano mfu.
Mwambie ukweli huyu mwehu!mpuuzi wewe dereva wa lisu amuue lisu ili apate nn? mtu unakula nae chakula umpige risasi? si angemuwekea sumu tu yakaisha? mjinga sana wewe jamaa
na ben sanane, anzory gwanda nao waliuwa na dereva wa lisu?
Hata wewe ni mshenzi.Shenzi wewe!
Inategemea na kiungo unachotumia kufikiria, matatizo yanayoikabili Tanzania ni inflation Tu? Ukiukwaji wa wa haki za binadamu siyo tatizo?Badala ya kuzungumzia Inflation yeye anazungumzia risasi
Huyu mzee kwishney sema tu yule mkewe mchagga anamlisha!
Huyo chiba wako ana maumivu gani?Maumivu ww kenge!
Hii personal attack ni ishara ya kukosa hojaNimecheka Sana hii personal attack.
Anapokula hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!! Ukivuta picha ya tukio lilivyokuwa,nafeel vile ulivyokuwa unajisikia juu ya ulaji wake.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Iliniuma sana alituaibisha waislam, muislam gani corrupt vileHuyu nae alipoteza sifa za kutoa hoja yeyote kitambo sana.
Bora kamkumbusha. Maana kutwa nzima ye anaimba risasi tu.