Ighombe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 1,181
- 675
Haina acheni uzushiKama ile karatasi nayo Ina serial Na.kama ya kwenye kibutu wanaweza kujua nani alipiga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina acheni uzushiKama ile karatasi nayo Ina serial Na.kama ya kwenye kibutu wanaweza kujua nani alipiga.
#Kurasiosiri: Prof.Lipumba ni kiongozi maarufu sana katika siasa za Tanzania, kila mara walikuwa wakilalamikia watu kuzuiwa kupiga kura kwa sababu mbalimbali hivyo kukosa haki yao ya kikatiba.Prof. Lipumba ameibua hoja nzito kuhusu USIRI WA KURA kwenye Uchaguzi huu.
Akihojiwa na ITV mchana huu amesema ameshtushwa na Makarani ambao walikuwa wakinakiri namba za KITAMBULISHO CHA MPIGA KURA kwene Karatasi ya MPIGA KURA..
Wewe unaona vyumba kuwa vidogo sio tatizo...Yaani wapinzani wa nchi hii bogus kabisa! Kuna mwingine Mbeya anajiita Sugu, alivyokuta tume imejipanga vizuri hakuna changamoto, alivyoulizwa changamoto aliziona eti "vyumba vya kupigia kura ni vidogo sana havina hewa, akaenda mbali na kusema, wasimamizi wakitoka hapo wakanywe maziwa" yaani watu wa hivi kuwapeleka bungeni no kupoteza kodi zetu bure tu! Na tunawapiga kipigo kitakatifu, kura zote kwa CCM.
Karatasi ina serial number sawa na uliyopewa kupigia kura hivyo ku trace sio kaziMmi nimepiga kura asb hii na hicho kitu hakijatokea kwangu. Mhe unanitia shaka kwa maelezo yako haya!!!View attachment 1614664
ɓila shaƙa hauƙuwa maƙini na ƙura ƴaƙo ndio maana huƙuliona hilo ,Maana ƙila sehemu wanareƙoɗ ƙwanza namɓa za ID ƴaƙo ƙwanza then ndo wanaƙupatia ƙaratasi hizo....ɓila shaka hauƙulichuƙulia manaani laƙini huƙupasw Ƙuɓisha ili hali ƙila alipiga ƙura leo ƙafanƴiwA icho ƙitu pia😄😄😄Mmi nimepiga kura asb hii na hicho kitu hakijatokea kwangu. Mhe unanitia shaka kwa maelezo yako haya!!!View attachment 1614664
Ali lala huyo, au kapigiwa kura huyoɓila shaƙa hauƙuwa maƙini na ƙura ƴaƙo ndio maana huƙuliona hilo ,Maana ƙila sehemu wanareƙoɗ ƙwanza namɓa za ID ƴaƙo ƙwanza then ndo wanaƙupatia ƙaratasi hizo....ɓila shaka hauƙulichuƙulia manaani laƙini huƙupasw Ƙuɓisha ili hali ƙila alipiga ƙura leo ƙafanƴiwA icho ƙitu pia😄😄😄
Naona mnaanza kutunga stories. Umetembelea vituo gani, nilipo ushiriki ni mkubwa mnooHuu uchaguzi ni upuuzi kama upuuzi mwingine, na ndio maana watanzania wengi wamepuuza zoezi zima. Idadi ya wapiga kura ni ndogo kuliko maelezo kwenye vituo. Mambo kama hayo nani yuko tayari kwenda kushiriki huo upuuzi?
hata kama ni ushabiki,mara moja moja jenga hoja basiLipumba naye atulie ni muda wa kustafu siasa akalee wajukuu
Serial number ya kwenye kibutu sawa ya kwenye ya kupigia kura hivyo ku trace ni rahisiAache uongo! Namba ya kadi inaandikwa kwenye kibutu tu! Karatasi ya kura haina sehemu ya kuandika namba ya kadi, anayefanya hivyo anakiuka sheria
Umehesabu na kura za awali ? mpaka sasa kijani 3 upinzani bilaLengo ni kuwatisha Watumishi wa Umma lakini ni last kicks Habari nilizozipata kutoka Kanda ya Ziwa ni kwamba CCM imefutikA
tunajadili usiri wa kura au umri wa Lipumba ktk kugombea?Kuna muda ukiongea jambo fulani watu wanahisi 'there is something wrong in your mind'
Yaan tangu 1995 unapambana kwenye hamna.
Ni vizuri ukubali muda umekupita
ile karatasi uliyopigia ina serial number ambayo inafanana na kibutu,kwa hiyo wakiirudisha kwenye kibutu wanakuta namba ya kadi yako kwenye kibutuAnazeeka vibaya, namba inaandikwa pale juu ndio lakini baadae inapochanwa karatasi ili upewe ukapige kura, ile namba inabaki kwenye kitabu haitoki na karatasi.
Ni muhimu ili tuwajue wasaliti na vibaraka wa mabeberuile karatasi uliyopigia ina serial number ambayo inafanana na kibutu,kwa hiyo wakiirudisha kwenye kibutu wanakuta namba ya kadi yako kwenye kibutu
Ni kwel sema kama wameamua bas sema nature hiko namna nzur kwel kama ukisema kuna mwanzo bas na mwisho so let nature be my witnessUsichukulie poa bro!
Hivi unajua maana ya KURA YA SIRI?..
Umehesabu na kura za awali ? mpaka sasa kijani 3 upinzani bila
hilo ndiyo jibu sahihi siku zingine uache porojo. Swali la nyongeza mliitisha uchaguzi wa kazi ganiNi muhimu ili tuwajue wasaliti na vibaraka wa mabeberu
Umehesabu na kura za awali ? mpaka sasa kijani 3 upinzani bila