Mbunge Afrika Mashariki
Member
- Nov 28, 2019
- 7
- 14
Kuunguruma February 11, viwanja vya Magomeni Morocco(stendi ya mwendokasi)
CUF- Chama cha wananchi wilaya ya Kinondini
Mkutano mkuu wa hadhara
Viongozi wakuu wa chama watakuwepo wakiongozwa na bingwa wa uchumi dunia Prof. Lipumba.
Usipange kukosa njoo tuisimamishe Kinondoni, njoo tuijaze Magomeni.
#chamamakini
#ViongoziMakini