Prof. Lipumba kuunguruma February 11, viwanja vya Magomeni Morocco (stendi ya mwendokasi)

Prof. Lipumba kuunguruma February 11, viwanja vya Magomeni Morocco (stendi ya mwendokasi)

Akaungurume porini
Hata Simba dume huwa linaacha Harem yake baada ya kupigwa kipigo cha mbwa Koko halafu anaenda kufa mbali

Kwanini hawajifunzi kwa Simba hawa wazee?
Mkuu waambie wazee wa ovyooo kabsaaa
Hawa ndiyo wanakwamisha uraia pacha
Mawazo ya kizaman
 
Hiyo venue yake sijaielewa.
Jamani hiyo miundombinu ya mwendokasi si ni Kwa ajili ya shughuli ya usafirishaji.
Ashauriwe aende viwanja vya Biafra aache kubughuzi abiria
Anajua hapati watu
Nan akamsikilize huyo propesa
Mtu mnafiki
Mchumia tumbo aende kigali huko
 
Mkuu waambie wazee wa ovyooo kabsaaa
Hawa ndiyo wanakwamisha uraia pacha
Mawazo ya kizaman
Yaani zee linaongea mate yanamtoka haoni hata aibu
Mda huo angekuwa na shamba lake kubwa ana kula raha kama Pinda

Hawa mpaka wajikojolee kama Salva ndio wanashtuka

Uraia pacha wanafikiri ni hasara ila hawajui wangetoa sheria ya kuwepo leo tungerudi na kumwaga Ranches na kilimo cha kisasa na viwanda vidogo kibao
Hapo vijana wengi tungewapa ajira
Lakini yana roho mbaya shetani akalale
 
Yaani zee linaongea mate yanamtoka haoni hata aibu
Mda huo angekuwa na shamba lake kubwa ana kula raha kama Pinda

Hawa mpaka wajikojolee kama Salva ndio wanashtuka

Uraia pacha wanafikiri ni hasara ila hawajui wangetoa sheria ya kuwepo leo tungerudi na kumwaga Ranches na kilimo cha kisasa na viwanda vidogo kibao
Hapo vijana wengi tungewapa ajira
Lakini yana roho mbaya shetani akalale
Asante Sana
Nchi inawatu wanajiita wasomi lkn ukweli sio wasomi wamekariri madesa poor reasons
PhD za mchongo we msikilize akiongea ni kituko
 
Prof Lipumba umeharibu heshima yake mwenyewe kwa kukosa mipango
 
Hii inchi ina watu wapumbavu aiseee hadi mtu unajiuliza kwann hawa watu tusiwafute uraia wafukuzwe inchini.
 
Asante Sana
Nchi inawatu wanajiita wasomi lkn ukweli sio wasomi wamekariri madesa poor reasons
PhD za mchongo we msikilize akiongea ni kituko
Huyo acha PhD hata ng'ombe nisingemtuma akachunge [emoji1]
 
Amuungurumie nani wakati kashavimbiwa,
Mtashaa mkiambiwa mjibidishe na kilimo bora ili kupambana na covid 19 bei😁
 
Back
Top Bottom