Mbunge Afrika Mashariki
Member
- Nov 28, 2019
- 7
- 14
vibaraka wa Jiwe wote wamesambaratika...ila kifo wee acha tuuView attachment 2503649PROF.LIPUMBA
Kuunguruma February 11, viwanja vya Magomeni Morocco(stendi ya mwendokasi)
CUF- Chama cha wananchi wilaya ya Kinondini
Mkutano mkuu wa hadhara
Viongozi wakuu wa chama watakuwepo wakiongozwa na bingwa wa uchumi dunia Prof. Lipumba.
Usipange kukosa njoo tuisimamishe Kinondoni, njoo tuijaze Magomeni.
#chamamakini
#ViongoziMakini
Si.anajijua mwenyewe kuwa hatapa watuKituo cha mwendokasi pale Migo kuna uwanja mahali gani wa kukusanya raia?
Tena lile gorofa la udongo pale Ilolanguru angeliboresha tu au lilibomoka?Mdingi angerudi zake Tabora - Ilolangulu angefanya la maana sana.
Anaenda kuhutubia familia yake na abiriaKituo cha mwendokasi pale Migo kuna uwanja mahali gani wa kukusanya raia?
Stendi ya Mwendokasi? nani kamruhusu kwenda kwenye eneo ambalo si la waziView attachment 2503649PROF.LIPUMBA
Kuunguruma February 11, viwanja vya Magomeni Morocco(stendi ya mwendokasi)
CUF- Chama cha wananchi wilaya ya Kinondini
Mkutano mkuu wa hadhara
Viongozi wakuu wa chama watakuwepo wakiongozwa na bingwa wa uchumi dunia Prof. Lipumba.
Usipange kukosa njoo tuisimamishe Kinondoni, njoo tuijaze Magomeni.
#chamamakini
#ViongoziMakini
Hivi Magdalena Sakaya yupo ?Kuna nyakati na watu...
lipumba ulisha chuja bora ukafanye mambo mengine tu wenzako wanafanyia mikutano jangwani mwembe yanga watu nyomi wewe unavizie kwenye kituo cha basi hili uwautubie wasafiri bora ungefanyia biafura pale lakini uwezi pata watuView attachment 2503649PROF.LIPUMBA
Kuunguruma February 11, viwanja vya Magomeni Morocco(stendi ya mwendokasi)
CUF- Chama cha wananchi wilaya ya Kinondini
Mkutano mkuu wa hadhara
Viongozi wakuu wa chama watakuwepo wakiongozwa na bingwa wa uchumi dunia Prof. Lipumba.
Usipange kukosa njoo tuisimamishe Kinondoni, njoo tuijaze Magomeni.
#chamamakini
#ViongoziMakini
bora angefanyia biafura kuliko kuvizia wasafiriKituo cha mwendokasi pale Migo kuna uwanja mahali gani wa kukusanya raia?