Tetesi: Prof. Lipumba na wafuasi wake wakesha wakiomba radhi kwa Maalim Seif na viongozi wengine

Tetesi: Prof. Lipumba na wafuasi wake wakesha wakiomba radhi kwa Maalim Seif na viongozi wengine

Kaka, alishawishi wenzake waungane katika uchaguzi mkuu wa 2015 kwa jina la UKAWA, wakiwa wamemuacha nje ya ulingo mwanzilishi wa UKAWA, Marehemu Mchungaji Mtikila. Mkakati ukaonekana unafaa.

Hatua ya kuachiana kiti ilianza, Lipumba akataka yeye awe mgombea wa Urais. Akaulizwa maswali mawili tu, atoe sababu za kwanini apewe yeye na sio mwingine, alipomaliza kujibu swali la kwanza tu akapewa la pili, je unaresource za kufanya kampeni nchi nzima. Mzee wa watu akawa mkiwa. HAPA MAMBO YALIKUWA HAYAJAIVA.

Wakasema twendeni Colloseum kwenye kikao tukatangaze jina la mgombea wetu wa UKAWA. Wengi walimtegemea Dr. Slaa kuwa mteule. Lakini ghafla Kaka (MBOWE) akasema tunakwenda kutangaza chama kitachotoa mgombea URAIS na sio jina. Kikao hakikufanyika maana kuna mwenyekiti mwenza hakutokea.

CUF Zanzibar wakamtuhumu Prof. Lipumba kutaka kuuza Chama, ikabidi aende kujieleza kwenye Baraza Kuu la Chama. Baada ya majadiliano basi Baraza Kuu - CUF likatoa baraka. UKAWA akatangaza Chama kitachotoa mgombea na sio jina la mgombea. DHUMUNI LA KUIFIFISHA CUF ambao ndio ulikuwa mkakati mkuu wa CHADEMA ukaanza kuzaa matunda.

Majadilioano yaliendelea ili CUF wamlete mgombea mweza ambaye atahama CUF na kujiunga na CHADEMA ili apitishwe na TUME ya UCHAGUZI. CUF wakafanya hayo wakiamini eti mwanachama huyo mpya wa CHADEMA aliyehama CUF atakwenda kupigania maslahi ya CUF baada ya kushinda Uchaguzi.

Mara baada ya mchakato wa ndani wa CCM kumpata mgombea wake wa URAIS kukamilika, mambo yakabadilika kwa haraka ndani ya UKAWA. Prof. Lipumba akiwa bado anapigania maslahi ya CUF ndani ya UKAWA na hasa juu ya mgawanjo wa Kata na majimbo, akaonekana anapinga mambo mengi yasiende. Pasipo kujua kwamba Kaka, ameanza mazungumzo ya siri na mgombea mwingine toka CCM. Alipopokelewa tu, Dr. Slaa na Prof. Lipumba walishikwa na butwaa kiasi lakini kwa kuwa walikuwa bado wanaimani na viongozi wao wengine yaani MBOWE na Maalim Seif, wakabakia kuwa wapole na wavumilivu.

Ghafla gia ikabadilishwa hewani na Mbowe kumtangaza Mh. LOWASSA kuwa mgombea wa kiti cha Urais. Na haya yalitokea baada ya Dr. Slaa na Prof. Lipumba kuachwa nje ya mjadala ambao ulifanywa na Mbowe, Maalif Seif kwa upande wa UKAWA na LOWASSA na kundi lake la wataalam kama wageni wapya. Hawa wawili wakaona wameachwa, Prof. LIPUMBA akajiondoa kuwa Mwenyekiti wa Chama na Dr. Slaa akajivua uongozi na uanachama wa CHADEMA.

Maalif Seif aliahidiwa kwamba ataupata urais wa Zanzibar kwa namana yoyote ile kwa maana LOWASSA alikuwa anategemea kushinda, hapa Maalif Seif akaona Lipumba sio chochote kwake kwa kuwa anakwenda kuwa Rais wa visiwani. Mbowe akajua yeye ndiye atakayekuwa Waziri Mkuu, nani tena mwingine wa kumtisha, akamuacha Dr. Slaa achague yeye mwenyewe kusuka ama kunyoa.

Ikumbukwe wakati huu wote, nguvu ya Mbatia wa mwenyekiti wa NLD (sasa marehemu) haikuweza kuonekana, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi macho yalikuwa Vunjo kwenye Ubunge akifikiria kupewa uwaziri. Mwenyekiti NLD macho yalikuwa Kusini akitegemea kupata Ubunge pengine uwaziri baadaye.

Katika matukio kama haya, nani hapa sio msaliti na ni nani hapa ndani ya UKAWA hajasalitiwa? Ikumbukwe lengo kuu la MBOWE lilikuwa ni kukidhoofisha CUF na vyama vingine vyote vya upinzani, lengo ambalo leo liko wazi na tunayaona yanayoendelea. Maalim leo yupo wapi? Lowassa yupo wapi? Haji Duni alisharudi CUF au bado?

"Siasa ni sayansi ... Dr. W.P. Slaa, 2015"
 
Ukitaka kujuwa kuwa Lipumbavu hana ushawishi tizama namna alivyoshindwa kukipatia chama chake hata kiti kimoja cha ubunge mkoa aliotoka!
Lipumba katokea mkoa gani? Kama hujui kaa kimya. Kwa taarifa yako Lipumba ni mwenyeji wa Tabora na CUF ilishinda kiti kimoja cha Ubunge.
 
Inasikitisha sana profesa mzima kutumwa kazi chafu na yule chakubanga.
 
Tetesi...na iendelee kubakia hivyo until proven otherwise.
 
Lipumba adhabu yake ni kufungwa jiwe nakutoswa baharini hafai katika jamii, alitosa UKAWA katika uwanja wa vita, Lipumba na Dr. Slaa hawafai kabisa katika jamii
 
lipumba huo uprofesa sijui aliupataje ni sawa na yule jamaa wa phd feki yani wote ni ziro km bashite
 
Hivi kwa nini mzee hajamkumbuka Lipumba kwenye ubalozi?
Mkuu jukumu la kuiua CUF kabla ya 2020 ni jukumu kubwa sana na ndo maana dola nzima iko nyuma ya le professeri na mihela anamwagiwa. Akifanikiwa utaona akipongezwa baada ya 2020. Akishindwa atajiju.
 
Haki ya mungu wiki 3-4 zilizopita niliota lipumba anamuangukia maalim na kumuomba msamaha mpaka akawa analia ,maalim akashindwa kujizuia akawa analia pia

[emoji23] [emoji23] duh inabidi nicheke
 
Lipumba katokea mkoa gani? Kama hujui kaa kimya. Kwa taarifa yako Lipumba ni mwenyeji wa Tabora na CUF ilishinda kiti kimoja cha Ubunge.
UKAWA walishinda Tabora sio CUF, kama CUF walishinda TABORA wasingeangukia kura 1900 kutoka 70,000 KINONDONI. Kabla ya UKAWA 2010 Lipumba alikuwa bado hajawa mwenyeji wa TABORA? CUF ilishinda kiti Tabora?

Wewe lazima utakuwa Phd holder kwa unavyotowa jawabu bila ya kupambanua hoja. Usifikirie watu wote wapumbavu kama Li pumbavu lako humu kwenye jukwaa!

By the way, wakati "CUF" wanashinda hicho kiti cha Tabora, Li-pumbavu alikuweko kwenye active politics?
 
Propaganda za chadema hizo
Umeona ..then mtu wao wa propaganda sijui mara hii wamemtolea wapi amepoteza hana tena uwezo bhana, ata vitoto vya nursery vinamshinda kwa story za abunuasi.
 
Kaka, alishawishi wenzake waungane katika uchaguzi mkuu wa 2015 kwa jina la UKAWA, wakiwa wamemuacha nje ya ulingo mwanzilishi wa UKAWA, Marehemu Mchungaji Mtikila. Mkakati ukaonekana unafaa.

Hatua ya kuachiana kiti ilianza, Lipumba akataka yeye awe mgombea wa Urais. Akaulizwa maswali mawili tu, atoe sababu za kwanini apewe yeye na sio mwingine, alipomaliza kujibu swali la kwanza tu akapewa la pili, je unaresource za kufanya kampeni nchi nzima. Mzee wa watu akawa mkiwa. HAPA MAMBO YALIKUWA HAYAJAIVA.

Wakasema twendeni Colloseum kwenye kikao tukatangaze jina la mgombea wetu wa UKAWA. Wengi walimtegemea Dr. Slaa kuwa mteule. Lakini ghafla Kaka (MBOWE) akasema tunakwenda kutangaza chama kitachotoa mgombea URAIS na sio jina. Kikao hakikufanyika maana kuna mwenyekiti mwenza hakutokea.

CUF Zanzibar wakamtuhumu Prof. Lipumba kutaka kuuza Chama, ikabidi aende kujieleza kwenye Baraza Kuu la Chama. Baada ya majadiliano basi Baraza Kuu - CUF likatoa baraka. UKAWA akatangaza Chama kitachotoa mgombea na sio jina la mgombea. DHUMUNI LA KUIFIFISHA CUF ambao ndio ulikuwa mkakati mkuu wa CHADEMA ukaanza kuzaa matunda.

Majadilioano yaliendelea ili CUF wamlete mgombea mweza ambaye atahama CUF na kujiunga na CHADEMA ili apitishwe na TUME ya UCHAGUZI. CUF wakafanya hayo wakiamini eti mwanachama huyo mpya wa CHADEMA aliyehama CUF atakwenda kupigania maslahi ya CUF baada ya kushinda Uchaguzi.

Mara baada ya mchakato wa ndani wa CCM kumpata mgombea wake wa URAIS kukamilika, mambo yakabadilika kwa haraka ndani ya UKAWA. Prof. Lipumba akiwa bado anapigania maslahi ya CUF ndani ya UKAWA na hasa juu ya mgawanjo wa Kata na majimbo, akaonekana anapinga mambo mengi yasiende. Pasipo kujua kwamba Kaka, ameanza mazungumzo ya siri na mgombea mwingine toka CCM. Alipopokelewa tu, Dr. Slaa na Prof. Lipumba walishikwa na butwaa kiasi lakini kwa kuwa walikuwa bado wanaimani na viongozi wao wengine yaani MBOWE na Maalim Seif, wakabakia kuwa wapole na wavumilivu.

Ghafla gia ikabadilishwa hewani na Mbowe kumtangaza Mh. LOWASSA kuwa mgombea wa kiti cha Urais. Na haya yalitokea baada ya Dr. Slaa na Prof. Lipumba kuachwa nje ya mjadala ambao ulifanywa na Mbowe, Maalif Seif kwa upande wa UKAWA na LOWASSA na kundi lake la wataalam kama wageni wapya. Hawa wawili wakaona wameachwa, Prof. LIPUMBA akajiondoa kuwa Mwenyekiti wa Chama na Dr. Slaa akajivua uongozi na uanachama wa CHADEMA.

Maalif Seif aliahidiwa kwamba ataupata urais wa Zanzibar kwa namana yoyote ile kwa maana LOWASSA alikuwa anategemea kushinda, hapa Maalif Seif akaona Lipumba sio chochote kwake kwa kuwa anakwenda kuwa Rais wa visiwani. Mbowe akajua yeye ndiye atakayekuwa Waziri Mkuu, nani tena mwingine wa kumtisha, akamuacha Dr. Slaa achague yeye mwenyewe kusuka ama kunyoa.

Ikumbukwe wakati huu wote, nguvu ya Mbatia wa mwenyekiti wa NLD (sasa marehemu) haikuweza kuonekana, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi macho yalikuwa Vunjo kwenye Ubunge akifikiria kupewa uwaziri. Mwenyekiti NLD macho yalikuwa Kusini akitegemea kupata Ubunge pengine uwaziri baadaye.

Katika matukio kama haya, nani hapa sio msaliti na ni nani hapa ndani ya UKAWA hajasalitiwa? Ikumbukwe lengo kuu la MBOWE lilikuwa ni kukidhoofisha CUF na vyama vingine vyote vya upinzani, lengo ambalo leo liko wazi na tunayaona yanayoendelea. Maalim leo yupo wapi? Lowassa yupo wapi? Haji Duni alisharudi CUF au bado?

"Siasa ni sayansi ... Dr. W.P. Slaa, 2015"
Hapana mkuu

Kabla ya lowassa kupewa nafasi ya ukawa kuwa mgombea wa urais, kulifanyika kikao na Lipumba alikuwepo, walikubaliana hili suala, suala sio kuwa nani awe rais, suala ilikuwa vipi tutaiyondoa ccm, na lowassa alikuwa na ushawishi mkubwa sana katika siasa.
 
UKAWA walishinda Tabora sio CUF, kama CUF walishinda TABORA wasingeangukia kura 1900 kutoka 70,000 KINONDONI. Kabla ya UKAWA 2010 Lipumba alikuwa bado hajawa mwenyeji wa TABORA? CUF ilishinda kiti Tabora?

Wewe lazima utakuwa Phd holder kwa unavyotowa jawabu bila ya kupambanua hoja. Usifikirie watu wote wapumbavu kama Li pumbavu lako humu kwenye jukwaa!

By the way, wakati "CUF" wanashinda hicho kiti cha Tabora, Li-pumbavu alikuweko kwenye active politics?
chadema wamepata kura ngapi kinondoni?!
 
Wahenga walisema kupanda mchongoma kuushuka ndio ngoma pamoja na usaidizi wa kila Aina anaopewe lipumba na wanaomfadhili ili kuidhoofisha CUF sasa mambo yameharibika upande wa Lipumba ni dhahiri sasa Lipumba ameedhoofika yeye kifikra na kiafya baada ya kutengezewa ziara fake kisiwani Pemba na baada ya kuiona hali ya Pemba ilivyo lipumba aliporudi Dar aliwakusanya wasaliti wenzake akawaambia jamani tusidanganyane alisema lipumba hali kiupande wetu ni mbaya wanaotuunga mkono ni wachache mno na hao wanakimbia siku hadi siku.

Tulitegemea Upande wa bara ungetuunga mkono lakini nako hali imekua mbaya sana mfano mzuri ni jimbo la kinondoni ambalo tunaamini ndo ngome yetu, tumepata kura 1943 kutoka kura 70500 mwaka 2010 ni dhahiri jamani wanachama hawatutaki, na mahakamani sioni tutatokea wapi nimekwiteni tupeane ushauri tufanyeje?

Alimalizia Lipumba ndipo akasimma kibaraka khalifa akasema mimi pia nakubali hili yetu ni mbaya mana tulitakiwa sisi tunaotoka Zanzibar tufanye kazi zanzibar lakini hatuthubutu hata kulikaribia tawi lolote la CUF sote tumejazana Dar nako pia hatutakiwi, mimi naona bora tukubali makosa tuombe radhi viongozi halali na wanachama lakini kwanza anza wewe lipumba ndipo lipumba akampigia simu mkurugenzi mmoja ambae inaaminika ni miongoni mwa vijana wanaoaminika sana katika CUF.

Lipumba akaanza kuomba radhi nakubali nimekosa nimeivuruga cuf, naomba jamani mnisamehe sina shida tena ya uenyekiti hewa nataka heshma yangu tu irudi kama zamani, mwisho alamalizia niombee kwa maalim Seif tukutane yalopita yamepita, baada ya kumalizana na mkurugenzi huyo lipumba akampigia kuongozi mmoja mstaafu aliewahi kushika nyadhifa za juu katika CUF hapo lipumba alishindwa kujizuiya na akalia akasema naomba mnisamehe, tamamaaa imeniponza kimekua kituko katika jamiii, jamani nisameheni aliishia hivo yule mstaafu akakata simu.

Sisi tunawambia viongozi wetu sisi wanachama wa CUF hatuna suluhu na Lipumba, kama mtamsamehe nyinyi kibinafsi sio kichama, wanachama tutamalizana nae mahakamani.

HATUNA SULUHU NA WASALITI,
Any trusted source of this news!?? If no that's rubbish.
 
Kulikoni kua na elimu Kama ya Le Profeseri bora uwe std II
 
Watu mnajua kutunga hadithi, Mimi mwenyewe machozi yamenitoka
 
Back
Top Bottom