Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mkuu Kambaya sasa wale waganga ulioenda kuwatafuta Bagamoyo mbona wameshindwa kumuokoa Lipumba ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipumba!, Heshima haitoipata tena amekuwa wa hovyo mno. Msajili mwenyewe alisha badili kila kitu,hadi kwenye website ali pahariri ili pafanane na analo litakaNjia rahisi.
Afute kesi kwa kukubali makosa
Atoke hadharani kusema mimi sio mwenyekiti halali na amwandikie Mutungi kuwa
Akubali nilitumiwa
Basi cuf kitasimama na yeye heshma yake itarudi
CHADEMA anaingiaje hapa? Kwani mimi nilikuuliza CUF wamepata kura ngapi? Si nilikupa data mwenyewe. Nina hakika hata std 8 umemaliza kwa tabu wewe!chadema wamepata kura ngapi kinondoni?!
kama yule wa kinondoni mbunge, imagine polisi anabeba sanduku then anarudisha hahaha...naskia saivi yupo kijini kwao kwenye mimoshi ya majungu domo likae sawa, amezungukwa na mibabu inaimba nyimbo za kale hahaha...hapo wazanzibari nimewakubaliHuwezi kusaliti mabadiliko ya kumkomboa Mtanzania kutoka kwenye makucha ya wauaji kisha ukabaki salama