Wewe ulitakq ty prof. Amsifie Lissu ndo ufurahi.Hakuna profesa hapo, ni mlamba viatu asiye na chembe ya heshima!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulitakq ty prof. Amsifie Lissu ndo ufurahi.Hakuna profesa hapo, ni mlamba viatu asiye na chembe ya heshima!
Huwa nasema,kama uprof ni yale ninayoyashuhudia,uho sii wa kuutaka kwani umekuwa ni aibu badala ya heshima.Hakuna profesa hapo, ni mlamba viatu asiye na chembe ya heshima!
Ila duh! watanzania walivokuwa wanajaza nyomi kwa Lisu halafu kura walivomjazia JPM! inauma saana.Hakuna profesa hapo, ni mlamba viatu asiye na chembe ya heshima!
Namwomba Magufuli amteue kama mshauri wa Rais katika maswala ya sheria!Hizi ndio Salam za pongezi kutoka kwa Prof. Lumumba.
Imani yake bado ni kubwa kwa Rais Magufuli
Kura za Lissu hazijatangazwa. NEC wametangaza kura za TISS hata Magufuli mwenyewe anajua!Ila duh! watanzania walivokuwa wanajaza nyomi kwa Lisu halafu kura walivomjazia JPM! inauma saana.
Wacha tutukane tu. maana maandamano yenyewe watanzania wametugomea.
Yaani Risasi zote 16 halafu wanatupa kura milioni moja?
Professor njaa kali karudi tena...haraka haraka nikajua ni Prof. Lipumba
Hakuna profesa hapo, ni mlamba viatu asiye na chembe ya heshima!
Tatizo lenu ni kuwa,masikio yenu mumeyaandaa kusikia kile ambacho ninyi mnapenda kusikia,ukweli kama Huu kwenu ni mkuki uwakao motoMiccm mtakufa kama kuku wenye kideri,mtapukutika kuliko maelezo yaani kama ni maajabu ya korona Tanzania basi na maajabu ya kupukutika kwa washindi waliopokea ushindi wa uwongo na kuukubali na kufikia kuapa ,vifo vinavyofuatana vipo njiani na mbali ya vilivyokwisha anza juu waliotangazwa washindi, CCM mbele ya Mwenyezi Mungu hamna pa kukimbilia tuone kama hio tume itaweza kuwalinda na umauti ulioanza kuwaandama maana imewalinda msishindwe na kuwapa ushindi,ila kwa hili mtapukutika kama kuku wanavyokufa wakivamiwa na kideri.
Afadhali kamanda.Kura za Lissu hazijatangazwa. NEC wametangaza kura za TISS hata Magufuli mwenyewe anajua!
Ukiacha elimu aliyonayo mnadhani huyu Lumumba ana akili timamu ?Hizi ndio Salam za pongezi kutoka kwa Prof. Lumumba.
Imani yake bado ni kubwa kwa Rais Magufuli
Dua la kukuMiccm mtakufa kama kuku wenye kideri,mtapukutika kuliko maelezo yaani kama ni maajabu ya korona Tanzania basi na maajabu ya kupukutika kwa washindi waliopokea ushindi wa uwongo na kuukubali na kufikia kuapa ,vifo vinavyofuatana vipo njiani na mbali ya vilivyokwisha anza juu waliotangazwa washindi, CCM mbele ya Mwenyezi Mungu hamna pa kukimbilia tuone kama hio tume itaweza kuwalinda na umauti ulioanza kuwaandama maana imewalinda msishindwe na kuwapa ushindi,ila kwa hili mtapukutika kama kuku wanavyokufa wakivamiwa na kideri.
Unajua tumekuwa watu wa ajabu sanaaaa! Majirani zetu wanatudharau sanaaa! Haiwezekani tumepata Rais mzalendo, mwenye upendo na watu wake mwenye kuchukua hatua haraka sana dhidi ya ujinga Sisi gunatanguliza Ujinga mtu! Nini shida wapendwa?
Aisee!This is not a professor. He is a pro-fedheha, a stinking bootlicker in the veil of academics.
Nanchime nokho nyanda nashik'aha?Afadhali kamanda.
Inasaidia kutuliwaza.
Kiwango chako cha chuki kimekuwa kikubwa mnoHili baba juzi lilisema hakiyashiriki uchaguzi mwingine tena hadi kuwe na tumu huru ya uchaguzi...sasa leo tena..
Ukiwa na mizee 10 kama hii nchini aisee ni kazi ngumu mno kufikia malengo!! Inabadilika badilika tu kama homa za vipindi.
hapana, nawahurumia watanzania ambao wanageuzwa kama dagaa kwenye kikaangio na hawa wanasiasa - Siasa ndipo maisha ya watu yalipo, kucheza na siasa ni sawa na kuchezea maisha ya watu !!Kiwango chako cha chuki kimekuwa kikubwa mno
Kwahiyo huruma yako kwa watanzania huzidi na hasira yako huwaka zaidi pale mtu anapompongeza Magufuli hadi unatumia maneno Kama "hili li baba...... Mizee kama hii" ?hapana, nawahurumia watanzania ambao wanageuzwa kama dagaa kwenye kikaangio na hawa wanasiasa - Siasa ndipo maisha ya watu yalipo, kucheza na siasa ni sawa na kuchezea maisha ya watu !!