Kenya 2022 Prof. Lumumba kama Mwl aliyepishana na gari ya mshahara

Kenya 2022 Prof. Lumumba kama Mwl aliyepishana na gari ya mshahara

Kenya 2022 General Election
Ukoo wa Jaramogi Oginga hawana makuu, hawana visasi, wanaogopa damu, wanapiga vita maonevu, wana maslahi ya taifa kwenye nyoyo zao, wana matokeo makubwa, hawana majivuno, hawapendi ukabila, ni Centre-Left-Wingers kwa mrengo wao, wanachukia umasikini, wana faraka/uadui na ufisadi, ni waumini wazuri (wana hofu ya Mungu) wa Anglikana.

Pale Uhuru atastaafu kwa uhakika wa amani yake. Wakikuyu pia wako assured kwamba hakuna malipizi kwao kwa damu za Arwings Kodhek, Tom Mboya, Robert Ouko, Kisumu massacre ya 1969 videos of kisumu massacre 1969 - Bing video .
ni kweli Ruto akiingia ikulu atawazingua sana nao wameliona hilo ndio maana mzee baba uhuru anampigia chapuo sana naamini Odinga ni muda wake yule mzee sasa
 
Kumbe umeoona vizuri mkuu, wapiga kura-za-uchungu za kuleta mabadiliko ni wanawake, hivyo wanawake wote wa Kenya wanatafuta coalition yenye mwanamke ili wapate ukombozi kwa sababu wanawake ndiyo hustlers wazuri kuliko wanaume tena wanawake ndiyo wahanga wa mabalaa yote ya sayari hii kuanzia ukame, njaa, vita, maradhi nk.

Lkn mkuu, EAC yote wanawake wameishapata high profile positions kasoro Kenya tu;

Tz SSH - VC na President.

UG Specioza Kazibwe 6th VC.

RW Agathe Uwilingiyimana PM na Acting President 1993 kabla ya kuwa assassinated 1994.

SS Jemma Nunu Kumba - National Assembly Speaker.

BI Sylvie Kinigi Mtusi - PM.

DRC Jeanine Mabunda National Assembly Speaker.

Why not Martha Karua for Kenya this time around?

Raila ondoa mfumo dume Kenya.
Usichokijua wanawake ni wanafiki hawapendani na hawaaminiani,SSH huku mitaani anasemwa vibaya sana na wanawake
 
Haina tofauti kwa idadi ya miaka, lakini ina tofauti kwa content na objectives ukisoma vizuri hiyo image. Hata wao 233333 inazidi 844 kwa mwaka mmoja tu. Sisi mfumo wetu kwa miaka mingi umekuwa wa kukariri kufaulu mitihani tu.
Kuwa makini jombaa, acha kufanya copy & paste bila kuelewa kinachozungumziwa. Mfumo ni wa 2-6-3-3-3, miaka 2 pre-primary, 6 primary, 3 highschool, 3 senior school kisha 3 chuo kikuu. Sijui hiyo 233333 umeitoa wapi.
 
@ProfPLOLumumba prediction of "politics of hygiene" he thought @RailaOdinga lacked has afterwards made PLO a pseudapostle as a multimaterialist-Baba is poised for MAGUFULIFICATION OF HIS KENYA. PLO should come back to Nkrumah Hall UDSM to square his oratory!


Excerpt from JK Nyerere oratory.

‘I’m a good Mzanaki, but I won’t advocate a Kizanaki-based political party. ... So I’m a Tanzanian, and of course I am Mzanaki; politically I’m a Tanzanian, culturally I’m Mzanaki.’ (Sandbrook & Halfani eds. 1993: 31-32).
 
Hapo ndipo wakenya wataanza kuziona rangi zote za pichu za mwanamke kama sisi tz .....lazima walie na kusaga meno
Raila leads Africa and perhaps the planet with six foiled assassination attempts!

Intelijensia yake ni kali kuliko ya State.

Mnajuwa, kuna historia ya ukoo wa Jaramogi Oginga ambayo haijawa documented anywhere lakini inafanyakazi effectively katika mafanikio ya kisiasa ya kizazi chake.

Wakati Tom Mboya anashauriwa na Jaramogi kwamba asiende Nairobi aenda Kisumu baada ya ziara ya nje, kwamba Jaramogi ameona kuna damu inamwagika nchini na roho ya Mboya inatafutwa, alikaidi ushauri na kesho yake 5 Julai 1969 Jomo akatangazia dunia kuwa bendera za Kenya zipepee nusu mlingoti, Tom Mboya hatunaye! Mwili wake umeokotwa Moi Avenue mkabala na mtaa busy wa Victoria ukiwa na majeraha ya risasi.

Wajaluo wakaliamsha kumlipiza Jomo. Ndani ya masaa 10 (hakukuwa na mitandao jamii enzi hizo bali redio ya VOK sasa KBC tu) vurugu zikasambaa nchi nzima yenye ukubwa wa kilomita za mraba 580,367.

Jaramogi alikuwa na kipawa cha kuona mbele kwa mida mifupi na mirefu, soma hata kile kitabu chake cha Not Yet Uhuru utakubaliana na ukweli huu kwamba he was a fore-teller, ndiyo maana hata akina Nyerere walimtumiaga sana kwenye PAN AFRICANISM na PAFMECA nk. Alikuwa kifaa.

Mimi nafuatiliaga sana historia yao kwa sababu wanani-inspire, alafu ni historia tamu, pia ni historia ya watu wenye mafanikio.

Jaramogi mwenyewe wakati anaenda Lancaster kudai uhuru, alipata habari za kijasusi sijui kwa njia ya mizimu/roho za utambuzi au nini, kwamba Waingereza wamepanga assassination yake kwa njia ya sumu kwenye chakula (dhifa) (kwa sababu tayari walijuwa kuwa Jomo lazima tu atafia gerezani Kapenguria West-Pokot, hivyo wamalizane na Jaramogi pia ili waendelee kutawala Kenya).

Kwa siri hiyo iliyovuja, Jaramogi alibeba chakula cha asili ya Wajaluo na Wakikuyu cha kutosha delegation yake yote kwa siku zote za mkutano, Waingereza wakaduwaa.
 
Back
Top Bottom