Prof. Manji wa MUHAS ashinda tuzo ya mhitimu bora wa Harvard University. Rais Samia Ampongeza

Kwa wajita hilo jina la Manji walipewa sababu wao ni vichwa maji vichwani hamna kitu
 
Na yule mwingine yy amewahi kushinda ipi......yule anaesemaga kila kitu ni hamnaa tusile
 
2 December 2024

Joram Nkumbi akifanya mahojiano na Prof. Karim Manji kupata udani wa mchango wake katika fani ya utabibu, uhadhiri chuo kikuu na utafiti nchini Tanzania

View: https://m.youtube.com/watch?v=wMIcLwGPxdkProf. Karim Manji from MUHAS has made history as the first Tanzanian to win the Harvard T.H. Chan School of Public Health Alumni Merit Award 2024.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…