King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kweli JF sasa wamejaa "GRITI SINKER" yaani haujui kumuapisha mtu halafu uje kumtengua ni aibu kwa mkulu kuliko hii futuhi ya kuonyesha kwamba mwenye kosa ni Francis? Kutengeua ni kashfa kwa vyombo vya uteuzi.Kwani mh rais asingeweza kutengua uteuzi wake kabla ya kiapo kama kulikua na makandokando kama unavyodai .ingekua vizuri kama ungetaja hayo makandokando ambayo raisi hawezi kutengua uteuzi hadi hiyo unayodai ni FUTUHI inafanyike
Yes ni FUTUHI mkuu!! Hadi Katibu Kiongozi alikuwa anajua KIFUATACHO ITV....Ndio maana MEKO alionyesha ishara tu,Katibu Kiongozi akatekeleza.......Msikubali vitu kiwepesi wepesi....hiyo kitu staged.Kwa hiyo mkuu unataka kumaanisha Magu na Francis walikubaliana akosee ili atemwe?
Ana kisauti fulani hivi.. tulikua tunamchekaga, ila yuko poa sana..tumemweka sana kwenye ma cv yetu kama refereeHongera sana.
Mlimwelewa plate tectonics ?Ana kisaut flan hiv..tulikua tunamchekaga..ila yuko poa sana..tumemweka snaa kwenye ma cv yetu kama referee
Nimecheeka [emoji23][emoji23][emoji23] kama namuona saa anauulizia kama wameuona...mbaya kama wameupoteza sijui itakuwaje.huyu Prof kakubali kuukabithi uprof wake mtaa wa Lumumba, ataupitia siku akistaafu.
Kwani ni nani huyu....Sundi Malomo namwona analanda landa tu.
Duh, haya bhana. Yawezekana uko ndani ya duara na unajua kinachojiri.Yes ni FUTUHI mkuu!! Hadi Katibu Kiongozi alikuwa anajua KIFUATACHO ITV....Ndio maana MEKO alionyesha ishara tu,Katibu Kiongozi akatekeleza.......Msikubali vitu kiwepesi wepesi....hiyo kitu staged.
Aliyeuziwa nyumba za serikali kipindi akiwa mwanafunzi UDSM. Leo ni manager pale tume ya madini sector ya migodi na mazingira.Kwani ni nani huyu....
Watu wa Lindi wanajuanaHivi kweli unaamini Francis alikuwa anashindwa kusoma?
Pia hapa kaka nasi tujiridhishe kidogoHongera Sana Mwanya ,Nimesoma CV yako kweli imeshiba, Nakutakia Kiapo chema!! pepo la kigugumizi likupitie pembeni.
Ukiniteua kazi na kuniambia nifqnye kazi, kuna reserve wengi, najiuzulu hapo hapo kuwapa nafasi reserve.Profesa Shukrani Elisha Manya, ameapishwa kuwa Naibu Waziri wa Madini, baada ya Francis Kumba Ndulane kushindwa kuapa na kuteuliwa mwingine
Manya ni mbunge wa kuteuliwa aliyeapishwa masaa machache yaliyopita katika viwanja vya bunge na Spika wa Bunge. Job Ndugai
Kassim Majaliwa amuambia rais kuwa anaweza akaangaliangalia pa kumuweka Francis Ndulane
Waziri Mkuu: Profesa Manya tunamfahamu, kati ya mambo makubwa yaliyofanyika kwenye madini, yeye akiwa mtendaji wa tume amekuwa na mchango mkubwa sana, uteuzi wako ni uteuzi sahihi.
Sitaki sana kuzungumzia alilosema mheshimiwa Spika, naamini na mimi najua, eneo hili mheshimiwa Rais sio eneo la mzaha mzaha sana. Hata mimi siku ile naapa, ukitamkwa pale kuvuka mpaka hapa unatakiwa utumie nguvu kidogo. Kwa hiyo mheshimiwa Rais yaliyotokea Juzi si tu ya Lindi bali tuendelee kumuombea kijana wetu. Naamini bado unaweza ukaangalia angalia.
Katika Hotuba yake Rais Magufuli amesema tangu juzi walisema wana reserve ya kutosha
RAIS MAGUFULI: Umepata hii nafasi ya kuwa Naibu waziri wa madini, siku tulipokuwa tukiwaapisha mawaziri na manaibu waziri hapa, mheshimiwa Makamu wa Rais aliwadokeza kwamba 'Reserve' tunao wengi na ukiwa na timu nzuri na ukiwa na timu nzuri ambayo unataka ifanye kazi vizuri lazima uwe na 'Reserve' kwa hiyo nataka kuwahakikishia kwamba 'Reserve' hukuwa wewe tu, bado tuna 'Reserve' nyingine. Kwa hiyo wachezaji mliochaguliwa pamoja na wewe lazima mkachape kazi.
Tumekuchagua wewe kwenda kuwa Naibu Waziri kwa sababu wizara hii tuliona kwenye nafasi za juu inayumba proffesions kwa sababu waziri hajui madini, yeye proffesion yake ni mwalimu, katibu mkuu ni profesa lakini nafikiri amechukua mambo ya komputa hivi au statistics, kitu kama hicho.
Kwa hiyo hayana uhusiano na Copper na Red. Tumeona tukuweke wewe ukawe link nzuri kwenye wizara hii. Wewe ni profesa lakini haina maana maprofesa waliowahi kukaa wizara ya madini walifanya vizuri kwa hiyo uende na observasion hii kwa sababu tumewahi kuwa na waziri Profesa, tumewahi kuwa na katibu mkuu profesa tena wa madini, mambo hayakwenda vizuri na hili nataka niku-caution ili utakapoenda kule usije ukaangukia kwenye mtego huo ambao maprofesa wenzako waliufanya walipokuwa wizara ya madini, sitaki kukuficha.
Wakati wanaingia kina Biteko mapato yalikuwa bilioni 168 leo makusanyo mwaka huu ni bilioni 527, sasa mkiamua sekta ya madini inaweza ikatoa mchango mkubwa sana kwenye Taifa hili.
Shida zote kaziacha getiniNimeona alikuwa anasoma kwa makini. Madaraka ni matamu. 2025 anakwenda kugombea jimboni kiulaaiiini.
Ah wapi wazee wa kujiongeza tu hawa wala hana lolote ajualoDuh, haya bhana. Yawezekana uko ndani ya duara na unajua kinachojiri.
Chura akitoka kwenye maji ya kisimani akakuambia hayo maji ni ya moto inakubidi uamini tu mkuu.
Wabongo wanapenda sana stories hizo.
Ujue kukubali kudhalilika vile na kuukosa uwaziri sio mchezo.Ah wapi wazee wa kujiongeza tu hawa wala hana lolote ajualo
Duh aisee ana bahati sana...Aliyeuziwa nyumba za serikali kipindi akiwa mwanafunzi UDSM. Leo ni manager pale tume ya madini sector ya migodi na mazingira.
Kwani mh Rais asingeweza kutengua uteuzi wake kabla ya kiapo kama kulikua na makandokando kama unavyodai .ingekua vizuri kama ungetaja hayo makandokando ambayo raisi hawezi kutengua uteuzi hadi hiyo unayodai ni FUTUHI inafanyike