Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Tweet hii ya Prof. Mark Mwandosya aliyoitoa leo inaacha ujumbe mzito kwa wizara ya afya ambayo kimsingi imegeuka kuwa wizara ya kutoa matangazo zaidi. Mbaya zaidi kwa sasa wizara hiyo imevurugwa baada ya hotuba ya juzi na hawajui waende na lipi. Kujifukiza ama? Wagonjwa wameamua kujiongeza.
Screenshot_20200426-162503_Twitter.jpg
 
Tweet hii ya Prof. Mark Mwandosya aliyoitoa leo inaacha ujumbe mzito kwa wizara ya afya ambayo kimsingi imegeuka kuwa wizara ya kutoa matangazo zaidi. Mbaya zaidi kwa sasa wizara hiyo imevurugwa baada ya hotuba ya juzi na hawajui waende na lipi. Kujifukiza ama? Wagonjwa wameamua kujiongeza.
View attachment 1431217
Mungu wa mbinguni aturehemu.

Huyu Albert Chalamila kazi yake ni kumdhibiti Sugu badala ya kupambana na Corona.
 
Hivi huyo Mzee ni Profesa wa fani gani? Mbona hafundishi popote?
Wewe ni moja wa wapumbavu

Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana

Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere

Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya

Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana

Wamekwisha staafu

Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee

You are gifted fool
 
Nadhani kuna umri mtu ukifikia kuna mambo inapaswa kuwaachia vijana, matumizi ya vitu kama facebook, tweeter n.k.
 
Mkuu umemshauri na umeeleza vizuri sana maana hata Mimi sikujua huyu ni prof.wa kitu gani ,hongera ila hapo mwisho umeharibu ,elimu ni elimu tu haijarishi umeichukulia kwenye chuo cha kata au lah,isingekuwa ni elimu government yetu isingeitambua
Wewe ni moja wa wapumbavu

Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana

Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere

Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya

Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana

Wamekwisha staafu

Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee

You are gifted fool

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom