Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Sasa mbona anakuwa kama mtoto au ndo Uzee?
Wapi tena kawa utoto?? Kutujuza kuwa kuna mgonjwa wa Covid 19 katoroka karantini Mbeya akasafiri hadi Lufilyo ni utoto?? Ameshangaa kuwa mtu huyu katorokaje hadi afike huko kijijini bila kukamatwa. Yaani watu ka hao walitakiwa ikijulikana tu kuwa kuna mtoro basi itangazwe "Fatwa" na kichwa chake kiwekwe hadharani. Huenda ikaleta hifu kwa wengine kutoroka.
Usimwite tena mtoto mzee wetu
 
Wewe ni moja wa wapumbavu

Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana

Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere

Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya

Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana

Wamekwisha staafu

Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee

You are gifted fool


Asante sana kwa kunipa CV yake, nilikuwa simjui kiasi hicho, sasa mbona hafanani na fani yake au ni Mzee sana?
 
Mzee wa " Kyoto" huyo........ana mambo mengi kichwani.

2005 alishika namba 3 kwenye kura za maoni kinyang'anyiro cha urais CCM usimchukulie poa comrade!
Huyo Mwandosya ni moja ya maprofesa ambao maandiko yao kwenye mambo ya Climate change yameacha alama Africa

Unapoongelea manguli na maprofesa ambao Nyerere aliwaamini kama vijana wake basi huyu ni namba moja

Hawa ndio walikuwa Think Tank wakati nchi yetu inajifunza kujitawala kutoka kwa mkoloni

Unapoongelea Mapinduzi Haya ya matumizi ya simu Tanzania huwezi mkwepa Mark Mwandosya akiwa Waziri wa communication

Huyu ni Prof wa electronics and electrical engineering na Mwana ccm Nguli
 
Alikuwa mojawapo wa Maprofessor kuli wa Electrical Engineering (EE) pale Udsm katika iliyokuwa ikiitwa Faculty of Engineeering (FOE).

Ahsante


OK, basi labda amefikia peak na sasa grafu inaanza kushuka, wanasema tukizeeka IQ inashuka pia.
 
Tweet hii ya Prof. Mark Mwandosya aliyoitoa leo inaacha ujumbe mzito kwa wizara ya afya ambayo kimsingi imegeuka kuwa wizara ya kutoa matangazo zaidi. Mbaya zaidi kwa sasa wizara hiyo imevurugwa baada ya hotuba ya juzi na hawajui waende na lipi. Kujifukiza ama? Wagonjwa wameamua kujiongeza.
View attachment 1431217
Amkeni amkeni Mbeya,sasa ni muda wa kujifukiza na kuchapa kazi,serikali inataka revenue
 
Wewe ni moja wa wapumbavu

Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana

Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere

Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya

Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana

Wamekwisha staafu

Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee

You are gifted fool

Mkuu hao wako kama kenge kusikia mpaka damu ziwatoke masikioni.
 
Wapi tena kawa utoto?? Kutujuza kuwa kuna mgonjwa wa Covid 19 katoroka karantini Mbeya akasafiri hadi Lufilyo ni utoto?? Ameshangaa kuwa mtu huyu katorokaje hadi afike huko kijijini bila kukamatwa. Yaani watu ka hao walitakiwa ikijulikana tu kuwa kuna mtoro basi itangazwe "Fatwa" na kichwa chake kiwekwe hadharani. Huenda ikaleta hifu kwa wengine kutoroka.
Usimwite tena mtoto mzee wetu


Sasa kwa nini asingepiga simu kwa Mamlaka husika ili akamatwe, Wagonjwa kutoroka Hospitalini ni kawaida hutokea Dunia nzima.
 
Mkuu wengine hao hata ukiwafahamisha haisaidii.

Elimu wanapokuwa ni ya katani.
Mkuu hawa ni vijana wa Nyerere na Marafiki sana, JK, Ben Mkapa, Mwandosya na salim Ahmed

Walilelewa na chama na kupewa majukumu wakiwa vijana

Huyu ameacha alama kubwa hapa Tanzania kwa Wanaojua machapisho yake na ushauri

Ushauri wake sekta ya maji na Mawasiliano huwezi kuusahau
 
Hivi huyo Mzee ni Profesa wa fani gani? Mbona hafundishi popote?
Electrical engineering yupo zaidi kwenye mambo ya administration alikuwa Chancellor apo Mbeya university of Science and technology ni Chair man pia wa board ya Stanbic Tanzania.
 
Back
Top Bottom