Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Sasa mbona anakuwa kama mtoto au ndo Uzee?
Wapi tena kawa utoto?? Kutujuza kuwa kuna mgonjwa wa Covid 19 katoroka karantini Mbeya akasafiri hadi Lufilyo ni utoto?? Ameshangaa kuwa mtu huyu katorokaje hadi afike huko kijijini bila kukamatwa. Yaani watu ka hao walitakiwa ikijulikana tu kuwa kuna mtoro basi itangazwe "Fatwa" na kichwa chake kiwekwe hadharani. Huenda ikaleta hifu kwa wengine kutoroka.
Usimwite tena mtoto mzee wetu
 


Asante sana kwa kunipa CV yake, nilikuwa simjui kiasi hicho, sasa mbona hafanani na fani yake au ni Mzee sana?
 
Mzee wa " Kyoto" huyo........ana mambo mengi kichwani.

2005 alishika namba 3 kwenye kura za maoni kinyang'anyiro cha urais CCM usimchukulie poa comrade!
Huyo Mwandosya ni moja ya maprofesa ambao maandiko yao kwenye mambo ya Climate change yameacha alama Africa

Unapoongelea manguli na maprofesa ambao Nyerere aliwaamini kama vijana wake basi huyu ni namba moja

Hawa ndio walikuwa Think Tank wakati nchi yetu inajifunza kujitawala kutoka kwa mkoloni

Unapoongelea Mapinduzi Haya ya matumizi ya simu Tanzania huwezi mkwepa Mark Mwandosya akiwa Waziri wa communication

Huyu ni Prof wa electronics and electrical engineering na Mwana ccm Nguli
 
Alikuwa mojawapo wa Maprofessor kuli wa Electrical Engineering (EE) pale Udsm katika iliyokuwa ikiitwa Faculty of Engineeering (FOE).

Ahsante


OK, basi labda amefikia peak na sasa grafu inaanza kushuka, wanasema tukizeeka IQ inashuka pia.
 
Amkeni amkeni Mbeya,sasa ni muda wa kujifukiza na kuchapa kazi,serikali inataka revenue
 

Mkuu hao wako kama kenge kusikia mpaka damu ziwatoke masikioni.
 


Sasa kwa nini asingepiga simu kwa Mamlaka husika ili akamatwe, Wagonjwa kutoroka Hospitalini ni kawaida hutokea Dunia nzima.
 
Mkuu wengine hao hata ukiwafahamisha haisaidii.

Elimu wanapokuwa ni ya katani.
Mkuu hawa ni vijana wa Nyerere na Marafiki sana, JK, Ben Mkapa, Mwandosya na salim Ahmed

Walilelewa na chama na kupewa majukumu wakiwa vijana

Huyu ameacha alama kubwa hapa Tanzania kwa Wanaojua machapisho yake na ushauri

Ushauri wake sekta ya maji na Mawasiliano huwezi kuusahau
 
Hivi huyo Mzee ni Profesa wa fani gani? Mbona hafundishi popote?
Electrical engineering yupo zaidi kwenye mambo ya administration alikuwa Chancellor apo Mbeya university of Science and technology ni Chair man pia wa board ya Stanbic Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…