Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Dunia nzima ni hivyo, labda Tanzania ni tofauti sijui, lkn Profesa kama siyo wa heshima na ni wa kusomea huwa wanakuwa kwenye research vyuoni na kufundisha, kufanya tafiti kwenye fani zao.
Mkuu uko sahihi
 
Wewe unaiona UDSM ya sasa ni sawa na ya miaka ya 1980. Waliitengeneza hasa Elimu ya Tanzania. Sahizi ndiyo imebomolewa. Kuna wakati UDSM iliwahi kuwa mpaka chuo cha 3 kwa ubora barani Afrika kutokana na maprofesa hawa nguli wa zamani. Tena wakati huo walikuwa bado ni doctors. Siyo udokta huu wa akina Mwigulu na hawa wengine ambao hata kupresent jambo kwa sentensi moja iliyo sawa katika content na ufasaha wa lugha ni shida!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AIGIPII ZERO aende kumkamata Prof kwa kutangaza mgonjwa wa korona19.
 
Ok kama havunji sheria yoyote haina haja kumsengenya.
Hakuna aliyemsengenya hapa nimetoa maoni yangu tu, kama maoni yangu unaona ni kumsengenya hilo sasa ni tatizo lako wewe mwenyewe, deal with it.
 
Mkuu huyu alikuwa anaenda kujifukizia kutii ushauri wa rais? Kabla ya ushauri huo ni mgonjwa gani alikuwa anatoroka hospitalini? Tena watu walikuwa wanajipeleka wenyewe,but now nani ataenda hospitalini.Mungu atunusuru tu
 
Hakuna aliyemsengenya hapa nimetoa maoni yangu tu, kama maoni yangu unaona ni kumsengenya hilo sasa ni tatizo lako wewe mwenyewe, deal with it.
Maoni yako ungeyatoa kwa mzee wako au yeye hujamnunulia Smartphone!!
 
Huyu aliyeuza TTCL kwa bei ya mkeka?
Na offer ya mwanaye kusomeshwa bure SA.?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hujui kuwa Prof ni mwanaccm? Mbona hata mzalendo wetu alihonga nyumba ya serikali? Mkuu ukishasikia huyu Ni mwanaccm jua wizi na uharibifu wa Mali ya umma ni sera ya chama,hata ungekuwa wewe ungefanya hivyo tu
 
Mbona wapo wengi sana wanaotumia hiyo Profesa au wao ndio wana hati miliki, BTW kama umewasifia hivyo ni lazima kuna makubwa wamefanya unaweza kuyaweka hapa?
Tafuta biography zao utanielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…