Nyamatare1987
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 416
- 493
Kwa hiyo alikuwa anasubiri atolewe,bora hajauliwa maisha yaendeleealikuwa hawajibiki kabisaa, yani yupo kama hayupo......wizara ili dorora, alikuwa anazuga tu, bora kawekwa benchi.
Sasa Prof Mbarawa ni Mfuatiliaji mzuri, ila tunamuomba awe mkali, tunafahamu kuwa hapo wizarani kuna vidudu watu, tunawafahamu kwa majina yao.