Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Iweje mabehewa ya masafa marefu yaagizwe mapema wakati mradi umekamilika Hadi Morogoro? Haya mambo mbona hayana mantiki?
Mkiona mainzi yanaruka nje jua wanaenda kudeposit mgao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iweje mabehewa ya masafa marefu yaagizwe mapema wakati mradi umekamilika Hadi Morogoro? Haya mambo mbona hayana mantiki?
Sio tenda tu, hata mahojiano ndani ya tereni hotopata.Tukiisha anza kuitana watu wasio na nia njema!, kama naanza kuogopa ogopa hivi!, hivi kwa bandiko kama hili... Hongera TRL kwa Mabehewa Mapya. SGR ni Reli Mpya ya Kisasa; Je, Mabehewa Haya ni Mapya ya Kisasa? Hakuna Ubaya Kutumia Mitumba, Ila Tuambiwe Ukweli!, hivi viji tenda vya kutangaza uzuri wa tereni hizi mupya, tutapata kweli?.
P
Magufuli hakuwa muongo na treni za mchongoko alikuwa kashazilipia. Kosa ilikuwa yeye kufa mapema ila angekuwepo zingeshakuja. Kuna mtu aliingilia hio tender akabadili terms akaihamishia kwengine ambako watanunua vya bei chee na kubakia na chenchi.Tokea mwanzo nilikuwa ninajua hiyo habari ya treni ya umeme ni uongo wa dhahiri. Na tulisema yule baba wa uongo haaminiki. Kwa sasa kinachoendelea ni muendelezo wa ule uongo wa yule mkuu wa uongo aliyeko jehanamu.
Washatupiga hapoView attachment 2427485
Kwahiyo hapo TRC walimaanisha nini?
Tunataka mkataba alioacha JPM ndio uendelee sio huo waliobadilisha kwa kisingizio cha kijinga kumbe lengo ni kutupiga.Hapanaa hapanaaa, Mambo yamebadilishwa hapa mwishoni..huoni reli iko vizuri tuu?
Naomba kueleishwa hii ya kwetu kwa maelezo hayo ina tofauti na ile ya Kenya kwa kasi?
Mitanzania imeshazoea kupigwa ndo maana unaona inaendeshwa hivi. Jamaaa hapo tayari wameshabadilisha mabehewa kwa pesa ile ile ya kwanza ambayo utakuta wamegawana.Tunataka mkataba alioacha JPM ndio uendelee sio huo waliobadilisha kwa kisingizio cha kijinga kumbe lengo ni kutupiga.
Ndio maana yake yani, ishu ilianzia hapa.Mitanzania imeshazoea kupigwa ndo maana unaona inaendeshwa hivi. Jamaaa hapo tayari wameshabadilisha mabehewa kwa pesa ile ile ya kwanza ambayo utakuta wamegawana.
Ndio maana yake yani, ishu ilianzia hapa.
Wew unaona kwa hayo mabehewa 150km/h sitaweza kweli kufikiaNi SGR mkuu, aliyewaambia ni high speed (Bullet train) aliwadanganya mchana kweupe, hii ya kwetu inaweza hata isifike 180km/hr..... nadhani itakuwa between 100 and 150km/hr max
Changa la machoHii sasa kitaalamu tunaita Chenga ya mwili
Hii ndio hasara ya Kununua online,ulichoagiza na kilicholetwa tofauti kabsa.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app