Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Jamaa zetu hata hawajui, high speed train ina reli yake mahususi,,, ukiweka kwenye reli hii ya SGR haiweziNi SGR mkuu, aliyewaambia ni high speed (Bullet train) aliwadanganya mchana kweupe, hii ya kwetu inaweza hata isifike 180km/hr..... nadhani itakuwa between 100 and 150km/hr max