Prof. Mbarawa: Treni hii ya Tanzania siyo high speed train kama zile za vichwa vilivyochongoka, Wananchi eleweni hilo

Prof. Mbarawa: Treni hii ya Tanzania siyo high speed train kama zile za vichwa vilivyochongoka, Wananchi eleweni hilo

Katika hotuba yake Mhe. Rais Magufuli ameelezea kufurahishwa na utekelezaji wa mradi huo ambao amesema utasaidia kurahisisha na kupunguza gharama za usafirishaji wa mizigo na abiria, na pia utaokoa barabara ambazo zinaharibika kutokana na kusafirisha mizigo mizito kwa magari.

“Kwa kutumia Reli hii mtu atasafiri kutoka Dar es Salaam hadi hapa Dodoma kwa saa 3 tu ikilinganishwa na saa 5 hadi 6 zinazotumika hivi sasa kusafiri kwa gari na pia mtu atasafiri kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kwa saa 9 ikilinganishwa na saa 36 anazotumia hivi sasa kusafiri kwa Treni” amesema Rais Magufuli na kuongeza kuwa Reli hiyo itakuwa na uwezo wa kusafirisha Tani milioni 17 za Mizigo kwa Mwaka ikilinganishwa na ya sasa yenye uwezo wa kusafirisha Tani milioni 5 tu.

Hii hotuba ya JPM, kudhihirisha alishozema waziri ni sahihi toka mwanzi ilikuwa train ya speed mpaka 180kmh kwa hiyo hakuna jipya rudieni hotuba za JPM aliyeanzisha huu mradi hakuna sehemu waliseme bullet speed maana ingekuwa 1.5 yu Dar to Dom​
Kwahiyo unakubalina naye kuwa ile picha ya treni mchongoko ni feki! Hiyo ya spidi ni kupoteza hoja na haina uhusiano na mabehewa chakavu. Hebu bofya kwenye ile picha utaona mambo ya ziada yaliyowekwa na TRC ikiwemo ajali ya behewa huko mikoani.
 
Waweke picha ili tuwasute vizuri.
Wewe kama una uhakika na unachokisema kwa nini uogope wao kusutana? Unaficha nini?
Mbona picha zimo nyingi sana kwenye Post inayohusu mabehewa haya, kwa sasa naona muhimu watuambie mwaka wa kuundwa na bei ya kila behewa badala ya bei ya jumla, huko tutasikia vituko na mikanganyiko.
 
Kwahiyo unakubalina naye kuwa ile picha ya treni mchongoko ni feki! Hiyo ya spidi ni kupoteza hoja na haina uhusiano na mabehewa chakavu. Hebu bofya kwenye ile picha utaona mambo ya ziada yaliyowekwa na TRC ikiwemo ajali ya behewa huko mikoani.
Hivi umeshaona tangazo la Macdonald? lile burger kwenye picha ndio unalo nunua? Matangazo yawekwa kuvutia mnunuzi ni kawaida tu hata mke kwenye picha zake kwenye simu yake sio kama navyomuona mimi kuna tofauti kule mweupeee
 
Waziri wa Uchukuzi Prof Mbarawa amewataka Wananchi kutochanganya Treni hii ya Tanzania na zile za high speed zenye vichwa vilivyochongoka.

Prof Mbarawa amesema picha zinazorushwa mitandaoni na watu wasio na nia njema ni zile za high speed zinazotembea zaidi ya km 200 kwa saa.

Za kwetu ni hizi mnazoona tunazipokea na haya ni Mabehewa 14 ya Daraja la tatu(economy) na mwezi February mwakani tutapokea Ya Business class na First class

Mabehewa haya ni kwa ajili ya masafa marefu na yatavutwa na Vichwa vya Umeme lakini yale ya high speed Vichwa vyake vinaunganishwa direct na mabehewa, amesisitiza Mbarawa

Source ITV Habari
Bora huyu kawa mkweli hajazunguuka sana kuremba muandiko

Asante sana mheshimiwa.
 
Kwa hiyo hii ya kwetu Tanzania ni high speed size ya kati ipi? Nchi hii nachokaga kabisa!!!
Umesahau Pm alienda huko juzi kuweka mambo sawa?
Kuna uchaguzi 2025 bro!!!
Tanzania tumesha onekana ni mazuzu. Viongozi ndio wenye akili tuu.
 
Hivi umeshaona tangazo la Macdonald? lile burger kwenye picha ndio unalo nunua? Matangazo yawekwa kuvutia mnunuzi ni kawaida tu hata mke kwenye picha zake kwenye simu yake sio kama navyomuona mimi kuna tofauti kule mweupeee

Kwa hivyo Serikali imeiga kwa McDonald?. Serikali yetu ni laghai.
 
Aliyewaingiza hizo Chaka Ni Nani Kama sio huyo huyo Mwendazake na alivyokuwaga liongo ndio meza Sasa matamshi yake..

Kwani hata pale Tazara au Ubungo ramani za flyovers zilizooneshwa Hadi kuvunjwa majengo ndio zilijengwa?

Tofauti ya Mwendazake na Sasa Ni kwamba wa Sasa wanaongea ukweli vs kujifukiza kwa Moshi 😁😁
Wewe utakuwa na mimba ya mwendazake siyo bure!! Mwache amepumzika mbinguni wewe fanya yako. Kama unashindwa kulea mimba hiyo njoo tukusaidie. Pole sana.
 
Waziri wa Uchukuzi Prof Mbarawa amewataka Wananchi kutochanganya Treni hii ya Tanzania na zile za high speed zenye vichwa vilivyochongoka.

Prof Mbarawa amesema picha zinazorushwa mitandaoni na watu wasio na nia njema ni zile za high speed zinazotembea zaidi ya km 200 kwa saa.

Za kwetu ni hizi mnazoona tunazipokea na haya ni Mabehewa 14 ya Daraja la tatu(economy) na mwezi February mwakani tutapokea Ya Business class na First class

Mabehewa haya ni kwa ajili ya masafa marefu na yatavutwa na Vichwa vya Umeme lakini yale ya high speed Vichwa vyake vinaunganishwa direct na mabehewa, amesisitiza Mbarawa

Source ITV Habari
Tayari tumeishapigwa hapo ccm haifai
 
Sasa la kujiuliza......ilikuwa na maana Gani kutoa tireni la mkoloni harafu tena kutumia matirioni kurudisha mtireni WA kikoloni ule ule Kwa njia nyingine?? Nasema hivi wasomi WA Tanzania ni midude isiyoelewa kabisa yenyewe kazi kuiba Tu ni mijizi balaaa badala ya kuifanyia maendeleo nchi yenyewe ni kuiba harafu kuja na utetezi WA kishamba shamba sijui wanatuona wote ni level za cheke chea??
 
Ni lini JPM aliwaambia kwamba ni High Speed Trail?!

Tangu zamani ilitangazwa kwamba reli inayojengwa itawezesha treni kutembea kwa mwendokasi wa 160KM/saa. Sasa huo ndo mwendo kasi wa high speed train?

Kama ni hivyo kwa Nini tunajenga reli nyingine.
 
Waziri wa Uchukuzi Prof Mbarawa amewataka Wananchi kutochanganya Treni hii ya Tanzania na zile za high speed zenye vichwa vilivyochongoka.

Prof Mbarawa amesema picha zinazorushwa mitandaoni na watu wasio na nia njema ni zile za high speed zinazotembea zaidi ya km 200 kwa saa.

Za kwetu ni hizi mnazoona tunazipokea na haya ni Mabehewa 14 ya Daraja la tatu(economy) na mwezi February mwakani tutapokea Ya Business class na First class

Mabehewa haya ni kwa ajili ya masafa marefu na yatavutwa na Vichwa vya Umeme lakini yale ya high speed Vichwa vyake vinaunganishwa direct na mabehewa, amesisitiza Mbarawa

Source ITV Habari
Kila siku kuna kitu kipya. Ina maana specifications zimebadilika? Au nini kinaendelea? Haya mambo yanaleta maswali mengi na kusema kweli yanazua sintofahamu bila sababu za msingi. Tunapata mashaka kama statements zinabadilika kila siku. Toka mwanzo reli ilijengwa kwa specifications za treni za aina gani? Kuna nini?
 
Kwanini iletwe mwakani na sio leo. Kumbuka kipande Cha Dar Moro kimeisha, na hicho Ni masafa mafupi. Sasa wameleta ya masafa marefu kwenda wapi?.
Bado wenyewe wanayatumia baada ya hapo watatuuzia sisi. Mtu anatangaza kuiuza gari yake mwezi wa tatu mwaka kesho, wewe inajitokeza mnakubaliana bei ya mwaka kesho siyo ya leo ambayo ni kubwa.
 
Ni lini JPM aliwaambia kwamba ni High Speed Trail?!

Tangu zamani ilitangazwa kwamba reli inayojengwa itawezesha treni kutembea kwa mwendokasi wa 160KM/saa. Sasa huo ndo mwendo kasi wa high speed train?

Mmeanza kubadilishana usemi. Kama sio high speed treni ina faida gani? Au mlifanya kuwaiga Kenya. Bora nipande Happy National Luxury dar to Mwanza kuliko hizo treni nikeshe njiani.
 
Back
Top Bottom