Prof. Mkenda, hivi Rais Samia anajua hizi shule zinazofunguliwa hazina walimu na wanagawana walewale wachache?

Prof. Mkenda, hivi Rais Samia anajua hizi shule zinazofunguliwa hazina walimu na wanagawana walewale wachache?

WhoWeBe

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
2,299
Reaction score
4,282
Kabla ya kuongezwa madarasa, yale ya covid 19 n.k, tayari kulikuwa na upungufu mkubwa. Wastani wa hadi walimu 8 kwa shule (wastani wa chini).

LEO, kuna wimbi kubwa la ujenzi wa mashule. Kuna halmashauri zina jumla ya shule hadi nane (primary na sekondari) zikiwa zimeshapata usajili na kufunguliwa. Wanafunzi wanaflow huko kwa kasi kubwa.

TATIZO WALIMU SASA, Wanamegwa kutoka katika hawa hawa wachache waliopo, na kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi. Uchunguzi wangu unaonyesha wastani wa wa chini wa upungu wa walimu ni 15 sasa.

Naona kama hili ni suala linahitaji uamuzi wa haraka lakini naona kimya.

Waziri, hivi Madame President anaijua kweli hali hiii? Au mnajua hawapo mtaani?
 
Wanafunz wanaoingia kidato Cha kwanza hawajui kusoma inamaanisha nini.

Walimu hawapewi stahiki hawana transport allowance, house allowance, teaching allowance. Wamepuuzwa. Hata ufanye nni. Unampigia mbuzi gitaa. Haitakuja saidia Kwa kum diss mwalimu
 
Mbona ni kawaida mkuu kwa serikali ya ccm.Utakuta shule Ina wanafunzi 300 walimu watatu tu.Hizo shule ni nyingi sana hasa vijjini
Bado Dunia haipo fair yaan wakati Tupo chuo kikuu hapa hapa DSM

Mwaka wa mwisho tukielekea kuumaliza, nilimpokea mdogo angu kuja kuanza form five shule Moja mashuhuli hapa hapa mkoan pwani. Baadae dogo alifanikiwa kwenda UDOM na alisomea UALIMU.

Kuna rafk angu I know the guy very well jamaa alikua anasomea UALIMU mm nikiwa course tofaut na wenzake walipenda kumwita KITIVO aliitwa KITIVO kutokana na akili kubwa na uwezo MKUBWA wa kufundisha watu na wakaelewa. Hata mdogo angu Huyu nilie mpokea alifundishwa na jamaa.

Maajab ya MUNGU WALIFANYA application na dogo....dogo kapata post huko Iringa vijijini.

Still KITIVO yupo mtaan. come to realize Kuna watu wana bahati sana.

Sometimes roho Huwa inaniuma Kwa ajili yake....yaan kama kujitolea kesha jitolea sana huko morogoro vijijini.
Mbaya Zaid Kuna WALIMU vilaza wapo kwenye payroll....au watu wengine wamezaliwa ku suffer.
 
Ana masomo
Bado Dunia haipo fair yaan wakati Tupo chuo kikuu hapa hapa DSM
Mwaka wa mwisho tukielekea kuumaliza,
nili mpokea mdogo angu kuja kuanza form five shule Moja mashuhuli hapa hapa mkoan pwani.....
Baadae dogo alifanikiwa kwenda UDOM na alisomea UALIMU.....

Kuna rafk angu I know the guy very well jamaa alikua anasomea UALIMU mm nikiwa course tofaut na wenzake walipenda kumwita KITIVO
aliitwa KITIVO kutokana na akili kubwa na uwezo MKUBWA wa kufundisha watu na wakaelewa....
Hata mdogo angu Huyu nilie mpokea alifundishwa na jamaa....

Maajab ya MUNGU WALIFANYA application na dogo....dogo kapata post huko Iringa vijijini.....

Still KITIVO yupo mtaan.....I come to realize Kuna watu wana bahati sanaa...

Sometimes roho Huwa inaniuma Kwa ajili yake....yaan kama kujitolea kesha jitolea sana huko morogoro vijijini....
Mbaya Zaid Kuna WALIMU vilaza wapo kwenye payroll....au watu wengine wamezaliwa ku suffer...
Ya Satans au ati
 
Wanafunz wanaoingia kidato Cha kwanza hawajui kusoma inamaanisha nini.

Walimu hawapewi stahiki hawana transport allowance, house allowance, teaching allowance. Wamepuuzwa. Hata ufanye nni. Unampigia mbuzi gitaa. Haitakuja saidia Kwa kum diss mwalimu
Hhhahaha
 
Wanafunz wanaoingia kidato Cha kwanza hawajui kusoma inamaanisha nini.

Walimu hawapewi stahiki hawana transport allowance, house allowance, teaching allowance. Wamepuuzwa. Hata ufanye nni. Unampigia mbuzi gitaa. Haitakuja saidia Kwa kum diss mwalimu
Mwalimu apewe nafasi muhimu. Viongozi acheni siasa
 
Back
Top Bottom