Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Kumbe shetan ana agent,Ndio mtu apigwe risasi kwa sbb eti Mungu alisema tutakufa, ww utakuwa agent wa shetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe shetan ana agent,Ndio mtu apigwe risasi kwa sbb eti Mungu alisema tutakufa, ww utakuwa agent wa shetani
Au hujui kuwa sera maana yake policy? Mbona tuna policy nyingi Sana hebu Google hapo hata sera ya mazingira au sera ya ukimwi🚮
Kinachotakiwa ni uhuru na haki kwenye upigaji kura.
Ukiacha wizi, ni sera gani nyingine ya ccm inayojulikana kwa wananchi?
Jibu ni hakuna!!
Tatzo mnasiasa za mitandaoni, Wananchi wanataka facts siyo hzo blah blah za kutafuta follwersSio kujifariji CCM wizi umekua mwing sana yan ad marehemu wamepiga kula sjui walifufuka
Mkuu,Au hujui kuwa sera maana yake policy? Mbona tuna policy nyingi Sana hebu Google hapo hata sera ya mazingira au sera ya ukimwi
Umeona ee?!!! Nyumbu aiseeee, sijui watajifunza lini.Huwa mnajifariji sana badala mfanye siasa muwaeleze watu sera zenu nyie mnapiga porojo mitandaoni
Dr wa milwmbeUmeona ee?!!! Nyumbu aiseeee, sijui watajifunza lini.
Nawe ukiwemo.Ni ujinga tu wa wananchi wenyewe kutoelewa hiki kipande Cha Dunia ni chetu tukiwekeje.