Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasafwa 😂😂😂😂😂😂Sasa ulitaka wauziwe kina nani?
Usinipe kazi zako za kijinga,angalia Bajeti zao za kwanza na mwisho utapata majibu.Siyo kweli maanake Kikwete alikopa 70T? Nyerere, Mwinyi na Mkapa walikopa ngapi kama ni hivyo?
Kuwa na akili,za Korea zitaanza kujumuishwa kuanzia mwaka ujao wa Fedha na sio zote zile ambazo zitatolewa mwaka husika tuu maana ule ni Mkopo utatolewa Kwa miaka 5 sio mara 1Tilioni 6 za Korea zimejumulishwa hapo?
Ndio mkuu,wewe ulitaka alie?Wakati huo chura anachekelea tu
Bado hadi tutakapozipokeaTilioni 6 za Korea zimejumulishwa hapo?
Na tukamuona mushamba amabeya hatembei nje ya nchi licha ya kuanza na kiendesha mamiradi makubwamakubwaHatari sn, dikteta kwa miaka yake 6 alikopa 13T pekee
Sasa kama ni trilion 10 kwa mwaka na mama kakaa miaka 3 maana yake si trilion 30?Haiwekani Kwa sababu wastani wa kukopa Kwa Serikali kila mwaka ni Kati ya Trilioni 7-10 ,so acha uongo
Hapana nimeangalia kwenye Bajeti hakuna mwaka wamekopa Trilioni 10 Bali ni 8-9 TSasa kama ni trilion 10 kwa mwaka na mama kakaa miaka 3 maana yake si trilion 30?
Sasa akisema ndani ya miaka 3 kakopa trilion 30 uongo uko wapi?
Nyerere na Mwinyi walikuwa hawakopesheki, mikopo kwa wakomunist ilikuwa marufuku, tulipata mikopo midogo midogo tuu na grants from British government na Scandinavian countriesSiyo kweli maanake Kikwete alikopa 70T? Nyerere, Mwinyi na Mkapa walikopa ngapi kama ni hivyo?
Lakini mikopo Yao ndio hiyo ilifutwa awamu ya Mkapa na mabeberuNyerere na Mwinyi walikuwa hawakopesheki, mikopo kwa wakomunist ilikuwa marufuku, tulipata mikopo midogo midogo tuu na grants from British government na Scandinavian countries
Hatari snNa tukamuona mushamba amabeya hatembei nje ya nchi licha ya kuanza na kiendesha mamiradi makubwamakubwa
Acha kudanganya ,dikteta alikopa zaidi ya Trilioni 27Na tukamuona mushamba amabeya hatembei nje ya nchi licha ya kuanza na kiendesha mamiradi makubwamakubwa