Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Prof. Muhongo amewalima akina Doto Biteko na cohort nzima ya PhD ( P engine h ana D egree. Someni wenyewe hapa chini:

"Naomba niwasaidie: comments za Prof Mwandosya zichukuliwe kwa uzito wake unaostahili. Tuko kimya siyo kwamba hatujui ukweli wa ukweli.

Kwanini msiombe yafuatayo:

1. Abstract of the PhD thesis/dissertation

2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation

Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.

Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:

3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)

4. External Examiner(s)

Muhimu zaidi, PhD nzuri itatoa publications kwenye International journals zenye measurable IMPACT FACTORS (IF) ambazo zinaheshimika zitakuwa na range ya O.75-10. Manuscripts zipelekwe huko ziwe published kwenye journals zenye hadhi hiyo ya average to good Impact Factor (IF) or Citation Index (IC).

Mengine yote yako nje ya "the realm of academia."

S Muhongo
17.12.2021"


MY TAKE:
Haya sasa TCU wako kimya kama maji ya mtungi.

Vigezo vya PhD vinabakwa mchana kweupe, wao kimyaaa!

View attachment 2050012

PhD hizi zihakikiwe. Waziri wa Elimu na timu yote Udom na wote waliohisika wawajibishwe.
 
Ni vitu vya kushangaza sana. Musukuma tunaelewa hiyo takataka ameipata toka kwenye takataka huko India.

Yaani huyu Biteko na Jafo, ambao hata ukijadiliana nao, ni vigumu kufikiria wana viwango hata vya shahada za pili, leo eti wana PhD.

Kwa hili, UDOM imeonekana ni chuo takataka. Hata hao lecturers na professors wa UDOM, kuna taarifa pia hawana viwango vinavyotakiwa. Waligawana uprofesa na udokta kama mahindi ya kuchoma.

Kwanza wachunguzwe hao lecturers, pili hawa waliopewa PhD za michongo waundiwe tume ya kitaluma. Chuo kitazamwe upya, na kufanyiwa marekebisho makubwa ili kitoe elimu yenye ubora.
Kamwe siwezi kumuita Jaffo PHD holder yeye na mwenzake BITEKO hawa walijitengenezea mazingira ya kuwa juu kivyeo. Kumbuka Jafoo alijipambanua km kipenzi wa Jiwe na Dotto ni mjomba wa Jiwe. UDOM wamesex elimu yetu kwa kiwango kikubwa sana. Na hakuna wa kulisemea hili maana tuna Waziri wa Elimu wa ajabu sana.
 
Hizi Dr,prof na ujinga mwingine kama huo hazijawahi kuwa na msaada wowote kuondoa ujinga wa wahusika..

Ndio maana wengi wamefeli kwenye nyanja mbalimbali.Hao ndio wanaoitwa wa jalalani ,wanaongea professorial rubbish na kuongea nonsense za kuzidi.
Wanaonekana wajinga kwa sababu huko hapawafai. Kila kitu kina misingi yake na mizizi yake. Huwezi kubobea sehemu fulani miaka zaidi ya 50 halafu eti uende kufanya kitu kipya ukifanye kwa ufanisi.
 
Nothing is impossible under the sun 😂
Study HARD vs Study SMART
"Analogy" vs "digital"💪🇹🇿👍
 
PHD kama za kina msukuma zipo mkuu,shida ni nani kazitoa! Na sababu ya kuzitoa.
Hata Mzindakaya Alikuwa nayo!
Hivi Leo Chuo Fulani kikimpa Mbunge wa Kahama Kishimba digrii ya heshima kitakosea..

Jamaa huwa anatoka nje yaa box aisee[emoji1][emoji1]
Ya ujangili?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Sipo toufauti na mtoa hoja, ...ila issue ya PhD honor. haikuanza karne hii , au kwa sababu za kisiasa...
Vilevile tusiingize siasa kwenye vitu vya msingi.
Hoja yangu ni kwamba mtu kupata phD ya heshima aina maana elimu yetu itapungua ila hizi ni exceptional honor.. mfano vyuo vya nje , zilimtunuku jakaya phD honor.
Sasa kupewa u- Doctor ya heshima haina maana kwamba walienda darasani kusomea bali ni kwa namna gani wanatoa mchango kwenye jamii. Na impact yao ilivyo ..
Sisi watu weusi tuna kuwa na roho za wivu yaani mwezetu kapewa heshima kwa mchango haliyoitowa kwenye jamii ..tunaanza kujadili personality ya mtu kweli.., hatuwezi ku- develops kifikra tutakuwa ivi tulivyo.
Nilazima tujifunze ku- appreciate vitu.
Hauna akili hao hawajapewa za heshima wamejifanya wamesoma

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hii argument nimeisikia na bado nazidi kuisikia, kwamba wasomi wanalazimika kuingia kweye siasa kisa kwenye siasa kunalipa sana kuliko kwenye academics. Mi nina majibu mawili kuhusu hiyo argument. Kwanza nchi yoyote ile isiyoweza kutambua academics wake bora na ikaweza kuwaheshimu na kuwalipa inavyostahili hiyo nchi itabaki kuwa duni sana. Pili kuna shida kwa wasomi wetu ambao hawawezi kuwa proud na taaluma zao na wakajifanya cheap kwa kujiuza kwingineko wasikostahili eti kisa kunalipa. I can understand msomi ngazi ya profesa kuwa advisor wa serikali kwenye mambo yanayohitaji utaalamu. Lakini profesa kabisa, mtu aliyespend zaidi ya nusu karne akispecialize kwenye kitu kimoja flani afu anaacha kabisa taaluma yake na kwenda kugombea ubunge? Hapo kuna shida. Pia ni tabia mbovu kabisa kwa watawala wetu kuwateua maprofesa kwenda kufanya kazi trivial za adminstration kwenye serikali. You dont spend miaka kibao kubobea kitu fulani afu umfanye mtu huyo awe karani wa kusoma mafaili hata kama utamlipa mamilioni ya mshahara na posho. Huku kutoallocate resources appropriately, zikiwemo human na financial resources, kutaitesa hii nchi miak mingi ijayo. Tuna majitu mengi sana yanafanya kazi pasipostahili na tuna watu wengi sana wanalipwa isivyostahili.
Suluhisho hapa ni kupata katiba bora ambayo itaweka maslahi bora ya wataalam wetu kuliko maslahi ya wanasiasa hilo litachochea ushindani kwenye elimu yetu na kupata viwango vya elimu vyenye hadhi ya juu kabisa.
 
Kwa mara ya kwanza Muhongo kaongea point. Point kubwa na ya msingi ni kwamba akina Sospeter wangebaki vyuoni kama maprofesa wangekuwa useful zaidi kwenye

Prof. Muhongo amewalima akina Doto Biteko na cohort nzima ya PhD ( P engine h ana D egree. Someni wenyewe hapa chini:

"Naomba niwasaidie: comments za Prof Mwandosya zichukuliwe kwa uzito wake unaostahili. Tuko kimya siyo kwamba hatujui ukweli wa ukweli.

Kwanini msiombe yafuatayo:

1. Abstract of the PhD thesis/dissertation

2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation

Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.

Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:

3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)

4. External Examiner(s)

Muhimu zaidi, PhD nzuri itatoa publications kwenye International journals zenye measurable IMPACT FACTORS (IF) ambazo zinaheshimika zitakuwa na range ya O.75-10. Manuscripts zipelekwe huko ziwe published kwenye journals zenye hadhi hiyo ya average to good Impact Factor (IF) or Citation Index (IC).

Mengine yote yako nje ya "the realm of academia."

S Muhongo
17.12.2021"


MY TAKE:
Haya sasa TCU wako kimya kama maji ya mtungi.

Vigezo vya PhD vinabakwa mchana kweupe, wao kimyaaa!

View attachment 2050012
Wahitimu wa ukweli kwa levels zote hapa Tanzania waliishia miaka ya 1990s.

Wahitinu wa kuanzia mwaka 2000 wengi wao hawaendani ata na walichokisoma eg.unakuta mtu graduate hajui ata kuandika barua na cv achilia mbali kujibu maswali kwenye interview.
 
Kwa maprofesa nguli kama hawa kuhoji, kuna kitu nyuma ya pazia! Ni jukumu sasa la mamlaka ya udhibiti wa elimu ya juu nchini (TCU) kutoa majibu fasaha. Kama kuna michezo wanasiasa wanafanya kuchezea elimu angalau wawili watatu wawe mifano kukomesha hali hii for good!

Wekeni hizo abstracts, conclusions, na supervisors online watu wapitie; hata hizo theses hazitakiwi kuwa siri. Ziwekwe public pengine watafiti wengine wangependa "kuanzia walipoishia" kwenye tafiti mpya.
Tunajadiliana hapa haya mambo ambayo kimsingi Senate ya UDOM ingepaswa kujadili na kupima uzito wake.
Kama uongozi na Senate ya UDOM ina viwango hafifu basi haya madudu yasingejadiliwa hadharani.
 
Wahitimu wa ukweli kwa levels zote hapa Tanzania waliishia miaka ya 1990s.

Wahitinu wa kuanzia mwaka 2000 wengi wao hawaendani ata na walichokisoma eg.unakuta mtu graduate hajui ata kuandika barua na cv achilia mbali kujibu maswali kwenye interview.
Watu wazamani mnajionaga sana ila in reality mko obsoleted bora ata mngekuwa mmekusa nazumia msuva mchezaji mzuri tu ananiambia umemuona pawasa wewe mmejawa na primitive minds

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Sipo toufauti na mtoa hoja, ...ila issue ya PhD honor. haikuanza karne hii , au kwa sababu za kisiasa...
Vilevile tusiingize siasa kwenye vitu vya msingi.
Hoja yangu ni kwamba mtu kupata phD ya heshima aina maana elimu yetu itapungua ila hizi ni exceptional honor.. mfano vyuo vya nje , zilimtunuku jakaya phD honor.
Sasa kupewa u- Doctor ya heshima haina maana kwamba walienda darasani kusomea bali ni kwa namna gani wanatoa mchango kwenye jamii. Na impact yao ilivyo ..
Sisi watu weusi tuna kuwa na roho za wivu yaani mwezetu kapewa heshima kwa mchango haliyoitowa kwenye jamii ..tunaanza kujadili personality ya mtu kweli.., hatuwezi ku- develops kifikra tutakuwa ivi tulivyo.
Nilazima tujifunze ku- appreciate vitu.
Sijui unaelewa unachochangia au umekurupuka! Hizo PhDs za Biteko na Jaffo ni za heshima?
 
Back
Top Bottom