Prof. Muhongo amewalima akina Doto Biteko na cohort nzima ya PhD ( P engine h ana D egree. Someni wenyewe hapa chini:
"Naomba niwasaidie: comments za Prof Mwandosya zichukuliwe kwa uzito wake unaostahili. Tuko kimya siyo kwamba hatujui ukweli wa ukweli.
Kwanini msiombe yafuatayo:
1. Abstract of the PhD thesis/dissertation
2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation
Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.
Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:
3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)
4. External Examiner(s)
Muhimu zaidi, PhD nzuri itatoa publications kwenye International journals zenye measurable IMPACT FACTORS (IF) ambazo zinaheshimika zitakuwa na range ya O.75-10. Manuscripts zipelekwe huko ziwe published kwenye journals zenye hadhi hiyo ya average to good Impact Factor (IF) or Citation Index (IC).
Mengine yote yako nje ya "the realm of academia."
S Muhongo
17.12.2021"
MY TAKE:
Haya sasa TCU wako kimya kama maji ya mtungi.
Vigezo vya PhD vinabakwa mchana kweupe, wao kimyaaa!
View attachment 2050012
PhD hizi zihakikiwe. Waziri wa Elimu na timu yote Udom na wote waliohisika wawajibishwe.