Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!


PhD hizi zihakikiwe. Waziri wa Elimu na timu yote Udom na wote waliohisika wawajibishwe.
 
Kamwe siwezi kumuita Jaffo PHD holder yeye na mwenzake BITEKO hawa walijitengenezea mazingira ya kuwa juu kivyeo. Kumbuka Jafoo alijipambanua km kipenzi wa Jiwe na Dotto ni mjomba wa Jiwe. UDOM wamesex elimu yetu kwa kiwango kikubwa sana. Na hakuna wa kulisemea hili maana tuna Waziri wa Elimu wa ajabu sana.
 
Hizi Dr,prof na ujinga mwingine kama huo hazijawahi kuwa na msaada wowote kuondoa ujinga wa wahusika..

Ndio maana wengi wamefeli kwenye nyanja mbalimbali.Hao ndio wanaoitwa wa jalalani ,wanaongea professorial rubbish na kuongea nonsense za kuzidi.
Wanaonekana wajinga kwa sababu huko hapawafai. Kila kitu kina misingi yake na mizizi yake. Huwezi kubobea sehemu fulani miaka zaidi ya 50 halafu eti uende kufanya kitu kipya ukifanye kwa ufanisi.
 
Nothing is impossible under the sun πŸ˜‚
Study HARD vs Study SMART
"Analogy" vs "digital"πŸ’ͺπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‘
 
PHD kama za kina msukuma zipo mkuu,shida ni nani kazitoa! Na sababu ya kuzitoa.
Hata Mzindakaya Alikuwa nayo!
Hivi Leo Chuo Fulani kikimpa Mbunge wa Kahama Kishimba digrii ya heshima kitakosea..

Jamaa huwa anatoka nje yaa box aisee[emoji1][emoji1]
Ya ujangili?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hauna akili hao hawajapewa za heshima wamejifanya wamesoma

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Suluhisho hapa ni kupata katiba bora ambayo itaweka maslahi bora ya wataalam wetu kuliko maslahi ya wanasiasa hilo litachochea ushindani kwenye elimu yetu na kupata viwango vya elimu vyenye hadhi ya juu kabisa.
 
Kwa mara ya kwanza Muhongo kaongea point. Point kubwa na ya msingi ni kwamba akina Sospeter wangebaki vyuoni kama maprofesa wangekuwa useful zaidi kwenye

Wahitimu wa ukweli kwa levels zote hapa Tanzania waliishia miaka ya 1990s.

Wahitinu wa kuanzia mwaka 2000 wengi wao hawaendani ata na walichokisoma eg.unakuta mtu graduate hajui ata kuandika barua na cv achilia mbali kujibu maswali kwenye interview.
 
Tunajadiliana hapa haya mambo ambayo kimsingi Senate ya UDOM ingepaswa kujadili na kupima uzito wake.
Kama uongozi na Senate ya UDOM ina viwango hafifu basi haya madudu yasingejadiliwa hadharani.
 
Wahitimu wa ukweli kwa levels zote hapa Tanzania waliishia miaka ya 1990s.

Wahitinu wa kuanzia mwaka 2000 wengi wao hawaendani ata na walichokisoma eg.unakuta mtu graduate hajui ata kuandika barua na cv achilia mbali kujibu maswali kwenye interview.
Watu wazamani mnajionaga sana ila in reality mko obsoleted bora ata mngekuwa mmekusa nazumia msuva mchezaji mzuri tu ananiambia umemuona pawasa wewe mmejawa na primitive minds

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Sijui unaelewa unachochangia au umekurupuka! Hizo PhDs za Biteko na Jaffo ni za heshima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…