Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Kwa mara ya kwanza Muhongo kaongea point. Point kubwa na ya msingi ni kwamba akina Sospeter wangebaki vyuoni kama maprofesa wangekuwa useful zaidi kwenye jamii kuliko walivyoingia kwenye siasa.
Hii ndio point ambayo nae inabidi ambiwe. Alitakiwa atulize ball huko chuoni sio kuja kwenye siasa. Yeye mwenyewe mnganga njaa tuu.
 
May I ask the same questions? Ombeni PhD ya Professor Muhongo mpitie maswali hayo hayo. Alishawahi kuwa Waziri, impact yake ni nini? Wanasema ana PhD ya majabali, yaani explosives, imesaidia nini na nini? Wapi? Dotto Biteko simjui wala huyo mernziye simjui - sina sababu ya kuwajua, hawakaja kwangu kuomba ajira. Unless una sababu maalumu I would rather give them the benefit of doubt.
Kama umefikia hatua ya ku question elimu ya Mhongo basi una tatizo mahali.
 
Umeandika utumbo kabisa
Kama Prof. Muhongo hajasoma abstract zao, kama hajasoma conclusions, kama hajui internal supervisor(s) ni akina nani, kama hajui external examiner(s) ni akina nani na kama hajui wamepublish wapi papers zao zilizowasaidia kugraduate anapata wapi sababu ya kuwa na wasiwasi na PhD za hao waheshimiwa? Hapo ni kama ule msemo wa Waingereza wa "jumping the gun". Lakini pia anayesema TCU iko kimya, sidhani kama ni sahihi. Kazi ya TCU ni kutoa ithibati ya program lakini Senate za vyuo husika ndio zina wajibu wa kuhakikisha wanatoa PhD zenye viwango. TCU hawasimamii wanafunzi wa PhD bali wahadhiri walioidhinishwa na Senate. Maswali ya kujiuliza ni je hao waheshimiwa wamepitia michakato yote ya kupata PhD zao? Senate wameridhika kuwa kilichofanyika kinakidhi viwango vya PhD? Wamepublish kwenye majarida yanayotambuliwa na UDOM? Kama jibu ni ndio, huu wasiwasi wa maprofesa wenzangu unatoka wapi? Kwamba kupata PhD ni mchakato mgumu na hivyo waziri ambaye yuko busy na shughuli za kiofisi hawezi ni hoja isiyo na mashiko.
hujaelewa msingi was hoja juu ya PhD za hao mawaziri. Taratibu za kupata PhD ni universal na Zina guidelines sio Mambo ya Senate sijui imeridhika Wala Nini Rudi ukasome vizuri argument za profesa Muhongo then utaelewa, unless elimu yako ni ya mchongo🤣🤣🤣
 
Prof. Muhongo amewalima akina Doto Biteko na cohort nzima ya PhD ( P engine h ana D egree. Someni wenyewe hapa chini:

"Naomba niwasaidie: comments za Prof Mwandosya zichukuliwe kwa uzito wake unaostahili. Tuko kimya siyo kwamba hatujui ukweli wa ukweli.

Kwanini msiombe yafuatayo:

1. Abstract of the PhD thesis/dissertation

2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation

Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.

Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:

3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)

4. External Examiner(s)

Muhimu zaidi, PhD nzuri itatoa publications kwenye International journals zenye measurable IMPACT FACTORS (IF) ambazo zinaheshimika zitakuwa na range ya O.75-10. Manuscripts zipelekwe huko ziwe published kwenye journals zenye hadhi hiyo ya average to good Impact Factor (IF) or Citation Index (IC).

Mengine yote yako nje ya "the realm of academia."

S Muhongo
17.12.2021"


MY TAKE:
Haya sasa TCU wako kimya kama maji ya mtungi.

Vigezo vya PhD vinabakwa mchana kweupe, wao kimyaaa!

View attachment 2050012
Hapa ukichokonao zaidi yanaweza kuwa ya Ben Sanane,mwamba alioji Phd ya jamaa mpaka leo Mungu ndo anajua kama yu mzima au la
 
Hawa kina Prof Mwandosya, Prof Muhongo, Dkt Mwakyembe, Dkt Kijaji, Dkt Jasmine Tiisekwa, Dkt Tito Mwinuka (DG wa zamani TANESCO), Dkt Bashiru Ally, Dkt Leonard Chamuriho, Dkt Pudensiana Kikwembe, Prof Adelardus Kilangi, Prof Palamagamba Kabudi na wengine wengi inabidi warudi vyuoni wakafundishe. Huku kwenye practice wawaachie tenure-track practitioners huko wizarani na kwenye taasisi. Kwani kuna shida gani hawa practitioners waiwa promoted wakachukua hizo nafasi za juu ?

Kwani kuna ulazima wa kiasi hicho wa kuwatoa hawa wahadhiri vyuoni ?

Binafsi siamini kama kuna umuhimu wa kiasi hicho (labda kwenye exception kadhaa nitakubali). Ila hawa practitioners waliopo wizarani na

kwenye taasisi kadhaa za serikali wanatosha kushika hizo nafasi.

Nafikiri sauti inatosha.

Ujumbe uwafikie
 
Hawa kina Prof Mwandosya, Prof Muhongo, Dkt Mwakyembe, Dkt Kijaji, Dkt Jasmine Tiisekwa, Dkt Tito Mwinuka (DG wa zamani TANESCO), Dkt Bashiru Ally, Dkt Leonard Chamuriho, Dkt Pudensiana Kikwembe, Prof Adelardus Kilangi, Prof Palamagamba Kabudi na wengine wengi inabidi warudi vyuoni wakafundishe. Huku kwenye practice wawaachie tenure-track practitioners huko wizarani na kwenye taasisi. Kwani kuna shida gani hawa practitioners waiwa promoted wakachukua hizo nafasi za juu ?

Kwani kuna ulazima wa kiasi hicho wa kuwatoa hawa wahadhiri vyuoni ?

Binafsi siamini kama kuna umuhimu wa kiasi hicho (labda kwenye exception kadhaa nitakubali). Ila hawa practitioners waliopo wizarani na

kwenye taasisi kadhaa za serikali wanatosha kushika hizo nafasi.

Nafikiri sauti inatosha.

Ujumbe uwafikie
Nakubaliana kabisa.
Hawa wasomi warudi vyuini kuweka msimamo na quality ya elimu, hasa ya juu.

Mpaka tunaona mbele ya macho yetu, Mwenyejiti wa University Council ni mwalimu wa sekondari na mwenyekiti wa jumuiya ya chama, ni aibu kubwa.
 
Kwa hiyo hii PhD ni copy and paste kutokea huko garissa kenya? maajabu haya........mbali na abstract tungependa pia kusoma introducton, objectives, some literature review, methodologies, results and a hint on discussion........
Wazee wa kufukua makaburi mpoo
 
Habari za jioni wana JF,
Awali ya yote nianze kwa kuwapongeza Prof. Mark Mwandosya pamoja na Prof. Sospeter Muhongo juu ya kile walichokieleza dhidi ya wahitimu hawa wapya wa PhD. Pia nimpongeze Prof. William Anangsye , Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam pamoja na baadhi ya Wahadhiri kama walivyoeleza kwa ufasaha namna ya upatikanaji wa PhD. Tunaomba mamlaka zinazohusika zijitokeze kujibu hoja kwa manufaa mapana na ustawi wa Taifa letu. Sisi wanazuoni:
1. Tunaomba andiko la research proposal la hao wahitimu
2. Tunaomba minutes za kikao za ku-defend research proposal zao
3. Tunahitaji minutes za vikao vya mara kwa kwa mara kati yao na supervisors wao au wabobezi wengine katika idara za shule zao (progress presentation)
4. Tunaomba barua za intention to submit hizo thesis zao
5. Tunaomba report za internal n a external examiners ziwekwe wazi pia
6. Tunaomba barua zenye kuonesha tarehe ya ku-defend kazi zao
7. Tunaomba orodha ya wale waliohudhuria defense zao
8. Tunaomba thesis zao
9 Tunaomba chapisho walau moja kutoka kwa kila mmoja lililochapishwa katika journals zinazotambulika kimataifa.
 
Habari za jioni wana JF,
Awali ya yote nianze kwa kuwapongeza Prof. Mark Mwandosya pamoja na Prof. Sospeter Muhongo juu ya kile walichokieleza dhidi ya wahitimu hawa wapya wa PhD. Pia nimpongeze Prof. William Anangsye , Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam pamoja na baadhi ya Wahadhiri kama walivyoeleza kwa ufasaha namna ya upatikanaji wa PhD. Tunaomba mamlaka zinazohusika zijitokeze kujibu hoja kwa manufaa mapana na ustawi wa Taifa letu. Sisi wanazuoni:
1. Tunaomba andiko la research proposal la hao wahitimu
2. Tunaomba minutes za kikao za ku-defend research proposal zao
3. Tunahitaji minutes za vikao vya mara kwa kwa mara kati yao na supervisors wao au wabobezi wengine katika idara za shule zao (progress presentation)
4. Tunaomba barua za intention to submit hizo thesis zao
5. Tunaomba report za internal n a external examiners ziwekwe wazi pia
6. Tunaomba barua zenye kuonesha tarehe ya ku-defend kazi zao
7. Tunaomba orodha ya wale waliohudhuria defense zao
8. Tunaomba thesis zao
9 Tunaomba chapisho walau moja kutoka kwa kila mmoja lililochapishwa katika journals zinazotambulika kimataifa.
Nafikiri unaweza kubahatika kupata thesis kama watakuwa wameiweka kwenye library ya chuo na journal publications kama zipo.....cha muhimu TCU wafanye evaluation kama UDOM ina capacity ya kufanya enrolment na ku offer undergraduate na graduate degrees based on technical staff competency and experience na namna wanavyokuwa promoted........hilo ni la muhimu sana, vinginevyo hicho chuo kitabaki kutambulika tu hapa tandale.
 
Habari za jioni wana JF,
Awali ya yote nianze kwa kuwapongeza Prof. Mark Mwandosya pamoja na Prof. Sospeter Muhongo juu ya kile walichokieleza dhidi ya wahitimu hawa wapya wa PhD. Pia nimpongeze Prof. William Anangsye , Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam pamoja na baadhi ya Wahadhiri kama walivyoeleza kwa ufasaha namna ya upatikanaji wa PhD. Tunaomba mamlaka zinazohusika zijitokeze kujibu hoja kwa manufaa mapana na ustawi wa Taifa letu. Sisi wanazuoni:
1. Tunaomba andiko la research proposal la hao wahitimu
2. Tunaomba minutes za kikao za ku-defend research proposal zao
3. Tunahitaji minutes za vikao vya mara kwa kwa mara kati yao na supervisors wao au wabobezi wengine katika idara za shule zao (progress presentation)
4. Tunaomba barua za intention to submit hizo thesis zao
5. Tunaomba report za internal n a external examiners ziwekwe wazi pia
6. Tunaomba barua zenye kuonesha tarehe ya ku-defend kazi zao
7. Tunaomba orodha ya wale waliohudhuria defense zao
8. Tunaomba thesis zao
9 Tunaomba chapisho walau moja kutoka kwa kila mmoja lililochapishwa katika journals zinazotambulika kimataifa.
Mh,nyie!🤭
 
Kwa maprofesa nguli kama hawa kuhoji, kuna kitu nyuma ya pazia! Ni jukumu sasa la mamlaka ya udhibiti wa elimu ya juu nchini (TCU) kutoa majibu fasaha. Kama kuna michezo wanasiasa wanafanya kuchezea elimu angalau wawili watatu wawe mifano kukomesha hali hii for good!

Wekeni hizo abstracts, conclusions, na supervisors online watu wapitie; hata hizo theses hazitakiwi kuwa siri. Ziwekwe public pengine watafiti wengine wangependa "kuanzia walipoishia" kwenye tafiti mpya.
Kaka nimekuelewa wanafanya wenye PhD za kweli wavunjike moyo
 
Hapa ukichokonao zaidi yanaweza kuwa ya Ben Sanane,mwamba alioji Phd ya jamaa mpaka leo Mungu ndo anajua kama yu mzima au la
Usiwe na wasi mkuu.
Kutangulia kwa Muumba ni kwa zamu za uhakika.
Aliyempoteza Ben Saanane si ajabu wako pamoja huko majuu lakini upande kusikowaka jua.
 
Habari za jioni wana JF,
Awali ya yote nianze kwa kuwapongeza Prof. Mark Mwandosya pamoja na Prof. Sospeter Muhongo juu ya kile walichokieleza dhidi ya wahitimu hawa wapya wa PhD. Pia nimpongeze Prof. William Anangsye , Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam pamoja na baadhi ya Wahadhiri kama walivyoeleza kwa ufasaha namna ya upatikanaji wa PhD. Tunaomba mamlaka zinazohusika zijitokeze kujibu hoja kwa manufaa mapana na ustawi wa Taifa letu. Sisi wanazuoni:
1. Tunaomba andiko la research proposal la hao wahitimu
2. Tunaomba minutes za kikao za ku-defend research proposal zao
3. Tunahitaji minutes za vikao vya mara kwa kwa mara kati yao na supervisors wao au wabobezi wengine katika idara za shule zao (progress presentation)
4. Tunaomba barua za intention to submit hizo thesis zao
5. Tunaomba report za internal n a external examiners ziwekwe wazi pia
6. Tunaomba barua zenye kuonesha tarehe ya ku-defend kazi zao
7. Tunaomba orodha ya wale waliohudhuria defense zao
8. Tunaomba thesis zao
9 Tunaomba chapisho walau moja kutoka kwa kila mmoja lililochapishwa katika journals zinazotambulika kimataifa.
Yes!
Lazima wasomi mtetee intergrity ya PhD achievements.
La sivyo tutalalamika elimu ya juu imefitinika, kumbe kuna wahadiri wenye PhD za mchongo.
 
Nakubaliana kabisa.
Hawa wasomi warudi vyuini kuweka msimamo na quality ya elimu, hasa ya juu.

Mpaka tunaona mbele ya macho yetu, Mwenyejiti wa University Council ni mwalimu wa sekondari na mwenyekiti wa jumuiya ya chama, ni aibu kubwa.
Usijitie usahaulifu kushangaa huyo unayemwita mwalimu wa secondary kuwa chairwoman wa University Council na hukumshangaa huyohuyo mwalimu alipokuwa Waziri wa Elimu,Sayansi na Technology
 
Nafikiri unaweza kubahatika kupata thesis kama watakuwa wameiweka kwenye library ya chuo na journal publications kama zipo.....cha muhimu TCU wafanye evaluation kama UDOM ina capacity ya kufanya enrolment na ku offer undergraduate na graduate degrees based on technical staff competency and experience na namna wanavyokuwa promoted........hilo ni la muhimu sana, vinginevyo hicho chuo kitabaki kutambulika tu hapa tandale.
Unamaanisha nini kusema kitafahamika Tandale wakati international ranking katika vyanzo mbalimbali vinavyoaminika ikiwemo Webomatrics wanaki-rank hicho chuo kuwa ni cha 4 kwa ubora Tanzania mwaka wa tano sasa mfululizo?

Mimi naona ni uzwazwa kukilaumu chuo pekee badala ya kukemea huu upuuzi wa wanasiasa kuingilia taaluma. Nakuapia chuo chochote kile unachokiheshimu hapa Tanzania, hawa vilaza wanasiasa hawashindwi kufanya waliyoyafanya UDOM. Fuatilia records UDSM,MZUMBE na Open University uthibitishe nisemalo.


Pia ukitaka kujua kuwa huu upuuzi unaendekezwa kwa wanasiasa tu basi jaribu wewe kapuku mwenzangu kujiunga PhD hapohapo UDOM uone mziki utakaokutana nao.
 
Back
Top Bottom