Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Ha ha haa! Niombe radhi, PhD kwa sisi makapuku tunawaachia academicians na researchers. Degree moja tu imenitosha kuniwezesha kumudu maisha japo kwa mbinde.

Back to the main issue! Haya hebu nipe utofauti kati ya hao wawili huku ukizingatia kuwa huyu mwalimu ana-experience zaidi kwenye masuala ya elimu Tz maana ameshakuwa naibu na waziri kamili wa elimu kwa miaka kadhaa.

Huyu Lubuva baada ya kumaliza shahada yake ya kwanza/pili mambo ya elimu hayajawahi kumshughulisha kabisa.

Kama kigezo cha kuwateua hawa wenyeviti wa council vyuo vikuu ni pamoja na experience kwenye mambo ya elimu basi UDOM wamefanya vizuri zaidi ya UDSM.

Lakini kabla ya kwenda mbali hebu tuainishe kwanza power na majukumu ya hawa wenyeviti kwenye vyuo vikuu. Huenda tunachanganya kati ya Chairman/woman of univ council, Chancellor na Vice-chancellor.
Wote wawili si academicians lakini mfano wa mama Kabaka ni mnaya zaidi.
Anawezaje kusimamia wana taaluma kiwango cha PhD, kitaaluma huku akiwa na Diploma ya ualimu?
 
Wote wawili si academicians lakini mfano wa mama Kabaka ni mnaya zaidi.
Anawezaje kusimamia wana taaluma kiwango cha PhD, kitaaluma huku akiwa na Diploma ya ualimu?
... Council ni chombo cha kiutawala zaidi; Senate ni chombo cha kitaaluma. Unlike Council ambako akili za kawaida za kiutawala zinatosha, Senate inatakiwa kuwa na wanataaluma wabobezi wa fani tofauti tofauti; by the way faculty deans (formerly)/principles of schools and colleges are automatically members of Senate by virtue of their positions.

Councils' membership is more "inclusive" to include politicians, lawyers, business, military, etc. to oversee government interests in "all perspectives" apart from academics. That's how the state machinery works.
 
... Council ni chombo cha kiutawala zaidi; Senate ni chombo cha kitaaluma. Unlike Council ambako akili za kawaida za kiutawala zinatosha, Senate inatakiwa kuwa na wanataaluma wabobezi wa fani tofauti tofauti; by the way faculty deans (formerly)/principles of schools and colleges are automatically members of Senate by virtue of their positions.

Councils' membership is more "inclusive" to include politicians, lawyers, business, military, etc. to oversee government interests in "all perspectives" apart from academics. That's how the state machinery works.
All the same, academic confidence inapungua when you have a Diolomer holder chairing a Council to cater up to higher standards of academic perfection.
 
UDOM wangepewa Waislamu kama ilivyokuwa Chuo cha TANESCO Morogoro. Hiki ni chuo chenye hadhi ya chini sana.
nakwambia bora UDOM kuliko Mocu, pale MoCU watumishi wao kwanza wana dharau sana ukiend una shida utajibiwa upuuzi tu,kuna mmoja nilibishana nae sana wakati fulani mpaka akawa mpole
mambo ya MoCU ni kama sio chuo kikuu,pale kuna baadhi ya lecturers hawasahihishi mitihani yani anawakadiria grades,mwingine anarudisha watu supp zaidi ya watu mia hadi wenzie wanashangaa. yani pale kuna jamaa walikua na course work 30+ na UE ikaja vizuri ila wakalambwa C
 
Jamani mbona mnawaibisha hawa wajamaa?. Ninashauri hatua kali zichukuliwe dhidi ya Chuo Kikuu cha UDOM kama hawatatoa majibu ya maswali ya Prof. Muhongo na Prof. Mwandosya. Kama sivyo na mimi mwaka kesho nataka kuwa na PhD kwa kupitia njia ya mkato na hela ninazo.
 
Wote wawili si academicians lakini mfano wa mama Kabaka ni mnaya zaidi.
Anawezaje kusimamia wana taaluma kiwango cha PhD, kitaaluma huku akiwa na Diploma ya ualimu?
Umeweza kutofautisha majuku ya kiutendaji kati ya Council na senate?

Pia kuweka taarifa sahihi tu yule mama ana Masters aliyoipata tangu 2002. Hivyo hoja yako inazidi kukosa nguvu.
Screenshot_2021-12-21-17-00-18-173_com.opera.browser.jpg
 
Umeweza kutofautisha majuku ya kiutendaji kati ya Council na senate?

Pia kuweka taarifa sahihi tu yule mama ana Masters aliyoipata tangu 2002. Hivyo hoja yako inazidi kukosa nguvu.View attachment 2052590
Mkuu usimtetee sana huyo mama.
Ni recycled academic matter na bado hakidhi viwango.
Unless watanzania tunaridhika na usimamizi kiutendaji wa wanasiasa, ambao sasa wanagawana PhD..
It does not wash!
 
Mkuu usimtetee sana huyo mama.
Ni recycled academic matter na bado hakidhi viwango.
Unless watanzania tunaridhika na usimamizi kiutendaji wa wanasiasa, ambao sasa wanagawana PhD..
It does not wash!
Mkuu ukisoma comments zangu kwa makini utagundua kuwa najaribu kuonyesha uozo kwenye mfumo mzima badala ya kuiona UDOM kama ni ya kipekee kwenye uozo huo
 
Mkuu ukisoma comments zangu kwa makini utagundua kuwa najaribu kuonyesha uozo kwenye mfumo mzima badala ya kuiona UDOM kama ni ya kipekee kwenye uozo huo
Ktk hili nipo nyuma yako mnama,tatizo ni la mfumo wetu wa elimu haupo sawa na hata hao waliopewa dhamana ya usimamiz wa huo mfumo hawapo sirias wanaishia kudemka tu.
 
Hii argument nimeisikia na bado nazidi kuisikia, kwamba wasomi wanalazimika kuingia kweye siasa kisa kwenye siasa kunalipa sana kuliko kwenye academics. Mi nina majibu mawili kuhusu hiyo argument. Kwanza nchi yoyote ile isiyoweza kutambua academics wake bora na ikaweza kuwaheshimu na kuwalipa inavyostahili hiyo nchi itabaki kuwa duni sana. Pili kuna shida kwa wasomi wetu ambao hawawezi kuwa proud na taaluma zao na wakajifanya cheap kwa kujiuza kwingineko wasikostahili eti kisa kunalipa. I can understand msomi ngazi ya profesa kuwa advisor wa serikali kwenye mambo yanayohitaji utaalamu. Lakini profesa kabisa, mtu aliyespend zaidi ya nusu karne akispecialize kwenye kitu kimoja flani afu anaacha kabisa taaluma yake na kwenda kugombea ubunge? Hapo kuna shida. Pia ni tabia mbovu kabisa kwa watawala wetu kuwateua maprofesa kwenda kufanya kazi trivial za adminstration kwenye serikali. You dont spend miaka kibao kubobea kitu fulani afu umfanye mtu huyo awe karani wa kusoma mafaili hata kama utamlipa mamilioni ya mshahara na posho. Huku kutoallocate resources appropriately, zikiwemo human na financial resources, kutaitesa hii nchi miak mingi ijayo. Tuna majitu mengi sana yanafanya kazi pasipostahili na tuna watu wengi sana wanalipwa isivyostahili.
Hoja nzuri sana hii.....
 
Mkuu hivi unaelewa kinachojadiliwa hapa ? Sio kila mada lazima uchangie. Hapa watu wanaonyesha jinsi elimu inavyo haribiwa kwa evidence wewe unaonyesha ujinga wako hapa.
Let the fools speak......
they are part a parcel of the society
 
Jamani mbona mnawaibisha hawa wajamaa?. Ninashauri hatua kali zichukuliwe dhidi ya Chuo Kikuu cha UDOM kama hawatatoa majibu ya maswali ya Prof. Muhongo na Prof. Mwandosya. Kama sivyo na mimi mwaka kesho nataka kuwa na PhD kwa kupitia njia ya mkato na hela ninazo.
Ha ha ha!
Hela zako mkuu!
 
Kwa mara ya kwanza Muhongo kaongea point. Point kubwa na ya msingi ni kwamba akina Sospeter wangebaki vyuoni kama maprofesa wangekuwa useful zaidi kwenye jamii kuliko walivyoingia kwenye siasa.
Asante sana! Umenena! Hawa ndiyo ma PhD holder wa Tanzania wanakubali mwaliko wa kujiunga na msafara wa kwenda kwa Mganga wa Kienyeji kupiga ramli. Halafu wakitoka huko wanashindwa kuona njia ya kurudi walikotoka. Inakuwa "Ukimeza Nchale, Ukimumunya Nchale, Ukitema Nchale" mpaka mchawi mkuu afe!
 
Ni vitu vya kushangaza sana. Musukuma tunaelewa hiyo takataka ameipata toka kwenye takataka huko India.

Yaani huyu Biteko na Jafo, ambao hata ukijadiliana nao, ni vigumu kufikiria wana viwango hata vya shahada za pili, leo eti wana PhD.

Kwa hili, UDOM imeonekana ni chuo takataka. Hata hao lecturers na professors wa UDOM, kuna taarifa pia hawana viwango vinavyotakiwa. Waligawana uprofesa na udokta kama mahindi ya kuchoma.

Kwanza wachunguzwe hao lecturers, pili hawa waliopewa PhD za michongo waundiwe tume ya kitaluma. Chuo kitazamwe upya, na kufanyiwa marekebisho makubwa ili kitoe elimu yenye ubora.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom