Kuna mahali kamtaja JPM.....wewe ndio una chuki. Yeye kasema aliendelea kuomba dua.Huyu anawashwa kweli, amejaa chuki tu. JPM alikuwa sahihi kula kichwa, hauwezi kuwa na mtumishi roporopo namna hii.
Nani kamuongelea vibaya?Hivi ni kila ukimuongelea vibaya JPM unalipwa au ?
Kwamba kalipwa baada ya kifo cha Magu na yeye karudishwa nafasi yake?Kuna mahali kamtaja JPM.....wewe ndio una chuki. Yeye kasema aliendelea kuomba dua.
Ndio maana nasema pamoja na kuwa na sigida huyu jamaa ni msindikizaji katika dini.kuna watu wanadhani wao wataishi milele na jpm ndiye aliumbiwa mauti yeye peke yake
Ulishawahi kufundishwa na Prof maishani mwako? Au hapo mwalimu Nyerere hakuna maprof?Profesa wa mchongo huyu .Profesa huwezi kua una chamba kila siku
mwislamu safi mcha Mungu huwezi ukamuona ana sigida. wenye sigida wengi ni wanafiki, wana chuki, roho mbaya na ni wakatili sana. Hata hivyo mbona waarabu hizo sigida hawana? Hata imamu/sheikh mkuu wa maka hana, inakuwaje hawa waswahili wanazo, wanajisugua makusudi?Ndio maana nasema pamoja na kuwa na sigida huyu jamaa ni msindikizaji katika dini.
Kinachombeba ni elimu tu katika uislamu.
Unayehamasisha matusi ni nyie kila akiguswa yule ibilisi mnajiharishia hovyo! RIH JPMHuyu anawashwa kweli, amejaa chuki tu. JPM alikuwa sahihi kula kichwa, hauwezi kuwa na mtumishi roporopo namna hii.
Unaonekana una chuki lukuki na huyu Bwana........kuhusu dini....siwezi sema chochote.Kwamba kalipwa baada ya kifo cha Magu na yeye karudishwa nafasi yake?
Tatizo udini ukikuzidi sana hata kama ni msomi kwa kiwango gani huondoa maarifa na busara.
Yeye angekuwa wa maana dunia ingekuwa imeshamchukua na kumtumia kama kina Mwelle Malecela.
Ana mapungufu mno kuliko anavyodhania yupo sahihi. Kiislam huwa wanaamini kila ridhki hupangwa na mwenyezi Mungu ndio maana huwa wanasema kila mtoto anazaliwa na ridhki yake.
Huyu ridhki zake za visasi na husda. Atabaki hapo sana tu.
Sio bure ndo maana nisha ku ignore kitambo sana .Ulishawahi kufundishwa na Prof maishani mwako? Au hapo mwalimu Nyerere hakuna maprof?
Msema ukweli sio roporopo.Huyu anawashwa kweli, amejaa chuki tu. JPM alikuwa sahihi kula kichwa, hauwezi kuwa na mtumishi roporopo namna hii.