Prof. Mussa Assad: Baada ya kuondolewa nafasi yangu kwa dhulma, niliendelea kufanya Dua, na Mungu amejibu

Prof. Mussa Assad: Baada ya kuondolewa nafasi yangu kwa dhulma, niliendelea kufanya Dua, na Mungu amejibu

Profesa gani huyu anayelalama kwa ajili ya cheo cha kuteuliwa kwa miaka mitano sasa; inaonekana atalalama hadi kaburini. Ni kama vile alikatishwa mipango yake ya mbeleni kwenye cheo hicho kabla hajaanza kuitekeleza. Labda alikuwa hajaanza kula vya kutosha akanyang'anywa tonge ghafla. Angesoma sheria zote za bunge akawa anazijua. ALitolewa madarakanai kwa kufuata sheria ya Bunge. Mahakama ilisema kuwa sheria hiyo ya Bunge haikuwa halali, lakini ndiyo sheria iliyokuwepo wakati anasimamishwa. Angekuwa na busara ya kutosha angepinga sheria ile kabla haijafanya kazi dhidi yake badala ya kumlaumu mtu aliyeitumia dhidi yake.
Halalamikiii analalamika ushenzi wa kuikanyaga katiba ujahili uliopitiliza mahakama ilithibitisha hili aliondolewa kimakosa

Sent from my 2201116SI using JamiiForums mobile app
 
mwislamu safi mcha Mungu huwezi ukamuona ana sigida. wenye sigida wengi ni wanafiki, wana chuki na roho mbaya na katili sana. Hata hivyo mbona waarabu hizo sigida hawana? Hata imamu/sheikh mkuu wa maka hana, inakuwaje hawa waswahili wanazo, wanajisugua makusudi?
Mambo yetu Waislam ungeachana nayo tu. Hayakuhusu kabisa. Usijifanye unatujua sana.
 
Profesa gani huyu anayelalama kwa ajili ya cheo cha kuteuliwa kwa miaka mitano sasa; inaonekana atalalama hadi kaburini. Ni kama vile alikatishwa mipango yake ya mbeleni kwenye cheo hicho kabla hajaanza kuitekeleza. Labda alikuwa hajaanza kula vya kutosha akanyang'anywa tonge ghafla. Angesoma sheria zote za bunge akawa anazijua. ALitolewa madarakanai kwa kufuata sheria ya Bunge. Mahakama ilisema kuwa sheria hiyo ya Bunge haikuwa halali, lakini ndiyo sheria iliyokuwepo wakati anasimamishwa. Angekuwa na busara ya kutosha angepinga sheria ile kabla haijafanya kazi dhidi yake badala ya kumlaumu mtu aliyeitumia dhidi yake.
Ninyi mnaongea ya juu juu tu. Huyu bwana alipitia wakati mgumu sana. Hata kuwepo kwake hai mpaka leo, kwa kiasi kikubwa alisaidiwa na dini yake.

Wenzetu waislam, wanasema muislam mwenzako ni mtu wa karibu zaidi kuliko mwingine yeyote.

Wapo watu (sijui kama ni busara kuwataja, maana mpaka sasa wapo kwenye ngazi za juu za Serikali na utumishi wa umma. Wanaojua codes, mmoja ana majina yenye herufi JM, na mwingine BSR, wote waislam) walishikirishwa katika mipango ya kumpoteza Duniani huyu profesa aliyekuwa CAG eti kwa sababu ana kiburi. Na jambo hilo ilikuwa lifanyike baada ya uchaguzi wa 2020. Watu hao hao walioshirikishwa kwenye mipango hiyo, kwa vile ni waswahilina wenzake, walienda kumtonya kuwa aondoke haraka mjini. Na alifanya hivyo.

Ikumbukwe kuwa alitekwa kwa mara ya kwanza akiwa Mlimani City, lakini ikawa bahati nzuri watu wengi wakawa wameona. Akaachiwa baada ya masaa 8.
 
Profesa gani huyu anayelalama kwa ajili ya cheo cha kuteuliwa kwa miaka mitano sasa; inaonekana atalalama hadi kaburini. Ni kama vile alikatishwa mipango yake ya mbeleni kwenye cheo hicho kabla hajaanza kuitekeleza. Labda alikuwa hajaanza kula vya kutosha akanyang'anywa tonge ghafla. Angesoma sheria zote za bunge akawa anazijua. ALitolewa madarakanai kwa kufuata sheria ya Bunge. Mahakama ilisema kuwa sheria hiyo ya Bunge haikuwa halali, lakini ndiyo sheria iliyokuwepo wakati anasimamishwa. Angekuwa na busara ya kutosha angepinga sheria ile kabla haijafanya kazi dhidi yake badala ya kumlaumu mtu aliyeitumia dhidi yake.
Sheria ya kijinga sana ile,nchi ilipitia wakati mgumu sana.
 
Kwamba kalipwa baada ya kifo cha Magu na yeye karudishwa nafasi yake?

Tatizo udini ukikuzidi sana hata kama ni msomi kwa kiwango gani huondoa maarifa na busara.

Yeye angekuwa wa maana dunia ingekuwa imeshamchukua na kumtumia kama kina Mwelle Malecela.

Ana mapungufu mno kuliko anavyodhania yupo sahihi. Kiislam huwa wanaamini kila ridhki hupangwa na mwenyezi Mungu ndio maana huwa wanasema kila mtoto anazaliwa na ridhki yake.

Huyu ridhki zake za visasi na husda. Atabaki hapo sana tu.
Mungu anazidi kumbariki na kumwimarisha kwa sababu alikataa dhambi ya wazi ya kuungana na wauaji na wezi wa mali za umma kwa ajili ya kuimarisha sehemu walizozaliwa kwa kodi ya Watanzania.
 
Back
Top Bottom