data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Kwakweli...Profesa wa mchongo huyu .Profesa huwezi kua una chamba kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli...Profesa wa mchongo huyu .Profesa huwezi kua una chamba kila siku
too difficult for you to swallow? waarabu hawana hizo sigida, ninyi wala mihogo na ndizi mnajibua kiunafiki tuHakuna unalolijua wewe nenda ukaoge alafu upande kitandani ulale
Kipindi anaapa atakuwa mtii kwa mamlaka hakulijua hilo??Tatizo kulikuwa na watu wanapenda kuabudiwa na yeye alikataa kuwaabudu.
Kwa sababu ya 1.5 Trillion.Sheria hiyo ilikuwepo siku nyingi sana. hakuna CAG aliyewahi kutumika zaidi ya vipindi viwili bila kujari umri wake. Miaka yoyte ya nyuma Rauis allikuwa anaamua kumuongezea CAG kipindi kingine, lakini mwaka huo fateful, Rais akaamua kutoongeza kipindi cha pilia kama ambavyo sheria hiyo ilivyokuwa inaruhusu.
nadhani wanajikwangua....na yule jamaa anaitwa julius mtatiro ile sigida yake ni ya kuswali au amechuna ngozi?
unafiki kwa kwenda mbele. tabia ambayo hata mtume aliikemea sanaYaani ni shidaa, mtu anajipaka sijui nini ili ajioneshe kwa watu kwamba yeye ni mtu wa swalah.
Si sifa nzuri kwa imani yake kuonyesha kuwa yeye ni mtu ambaye sio mwenye kusamehe binafsi naingiwa na mashaka sana kwa vile tunavyomchukulia kama huko kumuona ni mchamungu.huyo ni mcha shetani wacha Mungu wote huwa wanasamehe.ukiona mtu anakinyongo na hasamehe basi huyo si mcha Mungu ajifunze kama walivyo akina Pengo.
Acha ushamba. Matatizo ya viroba hayajaondoka. Huwezi kutenganisha Security Services na wanton killings.Wale waliokuwa wanaokotwa kwenye viroba baada ya kutoswa baharini pia aliji sacrifice kwa ajili yao?
Huyu nae hana tofauti na wale wa milembeC.A.G Mussa Assad, akihojiwa na channel ya YouTube inayoitwa "CHANZO" amesema aliondolewa nafasi yake kwa dhulma, na kwamba baada ya kuondolewa aliendelea kuomba dua, na Mwenyezi Mungu amejibu.
Prof. Mussa Assad alijikuta katika misukosuko na John Magufuli na Spika mstaafu Job Ndugai.
View attachment 2629494