Prof. Mussa Assad: Baada ya kuondolewa nafasi yangu kwa dhulma, niliendelea kufanya Dua, na Mungu amejibu

Hivi? ndugai anakula mshahara was uspika kama Yule madam spika!? Kwa sababu yule alistaafu huyu alijiuzuru kwa kashfa.

Nionavyo mie madam prezidaa angekuwa na roho ya kishetani angemshughulikia vizur sana ndugai, huyu mgogo ilikuwa ni kama alimtusi Mh Rais.

Magu asingekubali kabisa
 
Atabaki hapo sana wewe ni Mungu? Nafasi aliyonayo na elimu aliyonayo wewe utaipata? Endelea kula mihogo yako na kachumbali huko.
 
Hakuna unalolijua wewe nenda ukaoge alafu upande kitandani ulale
 
Proopesa mzima unalia kutumbuliwa,fanya elimu yako kuwa hela nje ya ajira.nasisi darasa la saba tufanyaje!?
 
Sawa mkuu asamehe yaishe, anachoendelea kukifanya wala hakileti picha nzuri kwake na imani yake.
 
Naona wewe unawashwa pabaya zaidi.
Unataka umfunge mdomo?
Unaysjua madhila aliyopitia?
Ni vyema basi akaeleza hayo yote aliyopitia ili pengine anaweza kujisikia vizuri na kumfanya asamehe na kuendelea na maisha mengine.
Kwa sababu hivi sasa hatujui alichopitia ila tunaona tu chuki ndani yake ambayo inamtafuna ndani kwa ndani, yeye ni mtu wa dini na watu humchukulia kama mchamungu hivyo si vyema kuendelea na hiyo chuki ya waziwazi na kushindwa kusamehe.
 
JPM alivunja katiba. Hapa ndio Suala la msingi lilipo.

"Raisi anaeapa kuilinda katiba na kisha Huyo Huyo anaenda kuivunja katiba aliyoapa kuilinda.. Huyo hatufai"
JK NYERERE.
 
huyo ni mcha shetani wacha Mungu wote huwa wanasamehe.ukiona mtu anakinyongo na hasamehe basi huyo si mcha Mungu ajifunze kama walivyo akina Pengo.
 
Uko sahihi kabisa, Nimetembelea mara kadhaa uarabuni, lkn sijawahi ona muarabu akiwa sigida.
Ni hawa tu kina asad ndiyo sijui wameitoa wapi.
nadhani wanajikwangua....na yule jamaa anaitwa julius mtatiro ile sigida yake ni ya kuswali au amechuna ngozi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…