Mbona wewe unaendeleza uzalendo wako uchara humu JfHuyu anawashwa kweli, amejaa chuki tu. JPM alikuwa sahihi kula kichwa, hauwezi kuwa na mtumishi roporopo namna hii.
mwenye sijida sawa na wakuzikwa na watu wengi sio kwenda peponi..Zamani nilikuwa najua mwenye SIGIDA ni mcha wa mungu sana, kumbe hapana
Haya le porofesa
Halalamikiii analalamika ushenzi wa kuikanyaga katiba ujahili uliopitiliza mahakama ilithibitisha hili aliondolewa kimakosaProfesa gani huyu anayelalama kwa ajili ya cheo cha kuteuliwa kwa miaka mitano sasa; inaonekana atalalama hadi kaburini. Ni kama vile alikatishwa mipango yake ya mbeleni kwenye cheo hicho kabla hajaanza kuitekeleza. Labda alikuwa hajaanza kula vya kutosha akanyang'anywa tonge ghafla. Angesoma sheria zote za bunge akawa anazijua. ALitolewa madarakanai kwa kufuata sheria ya Bunge. Mahakama ilisema kuwa sheria hiyo ya Bunge haikuwa halali, lakini ndiyo sheria iliyokuwepo wakati anasimamishwa. Angekuwa na busara ya kutosha angepinga sheria ile kabla haijafanya kazi dhidi yake badala ya kumlaumu mtu aliyeitumia dhidi yake.
Heshima ipi wakato yupo kitaa anapiga kelele tu.Dua yake ilipokelewa kwa mikono miwili,na heshima yake imeludi dhidi ya mzurumati yule
Mambo yetu Waislam ungeachana nayo tu. Hayakuhusu kabisa. Usijifanye unatujua sana.mwislamu safi mcha Mungu huwezi ukamuona ana sigida. wenye sigida wengi ni wanafiki, wana chuki na roho mbaya na katili sana. Hata hivyo mbona waarabu hizo sigida hawana? Hata imamu/sheikh mkuu wa maka hana, inakuwaje hawa waswahili wanazo, wanajisugua makusudi?
JPM hakutaka mchezo katika swala la maendeleo, ndio maana hakuelewana na CAG mstaafu.
Huoni watu ndiyo tumejua bwana yule alikuwa mpigaji?Heshima ipi wakato yupo kitaa anapiga kelele tu.
Wewe ndo UNAWASHWA...nyanono kuweni na heshima kwa Wazee wetuHuyu anawashwa kweli, amejaa chuki tu. JPM alikuwa sahihi kula kichwa, hauwezi kuwa na mtumishi roporopo namna hii.
Ninyi mnaongea ya juu juu tu. Huyu bwana alipitia wakati mgumu sana. Hata kuwepo kwake hai mpaka leo, kwa kiasi kikubwa alisaidiwa na dini yake.Profesa gani huyu anayelalama kwa ajili ya cheo cha kuteuliwa kwa miaka mitano sasa; inaonekana atalalama hadi kaburini. Ni kama vile alikatishwa mipango yake ya mbeleni kwenye cheo hicho kabla hajaanza kuitekeleza. Labda alikuwa hajaanza kula vya kutosha akanyang'anywa tonge ghafla. Angesoma sheria zote za bunge akawa anazijua. ALitolewa madarakanai kwa kufuata sheria ya Bunge. Mahakama ilisema kuwa sheria hiyo ya Bunge haikuwa halali, lakini ndiyo sheria iliyokuwepo wakati anasimamishwa. Angekuwa na busara ya kutosha angepinga sheria ile kabla haijafanya kazi dhidi yake badala ya kumlaumu mtu aliyeitumia dhidi yake.
we unafanywa nini, unakunwa hapo ulipo? Angemfukuza kazi babako ndio akili ingekurudi. Yule alikuwa mwonevu sana, libaguzi, kwanza hakuna mtanzania, alikuwa lihutu na PhD fekiHuyu anawashwa kweli, amejaa chuki tu. JPM alikuwa sahihi kula kichwa, hauwezi kuwa na mtumishi roporopo namna hii.
we ukimtetea unaliwa nyuma?Hivi ni kila ukimuongelea vibaya JPM unalipwa au ?
Naona wewe unawashwa pabaya zaidi.Huyu anawashwa kweli, amejaa chuki tu. JPM alikuwa sahihi kula kichwa, hauwezi kuwa na mtumishi roporopo namna hii.
Ulaaniwe kama Magufuri.Huyu anawashwa kweli, amejaa chuki tu. JPM alikuwa sahihi kula kichwa, hauwezi kuwa na mtumishi roporopo namna hii.
Waombe ndugu zako wakukimbize Milembe hospital.Huyu fala Asad atulie fala sana yeye akiwa UDSM kafelisha sana watu chizi huyu na alikuwa anajisifiaga shenzi sana huyu,sasa ale mavi bwege sana
Historia itaongelewa tu ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.Profesa wa mchongo huyu .Profesa huwezi kua una chamba kila siku
Sheria ya kijinga sana ile,nchi ilipitia wakati mgumu sana.Profesa gani huyu anayelalama kwa ajili ya cheo cha kuteuliwa kwa miaka mitano sasa; inaonekana atalalama hadi kaburini. Ni kama vile alikatishwa mipango yake ya mbeleni kwenye cheo hicho kabla hajaanza kuitekeleza. Labda alikuwa hajaanza kula vya kutosha akanyang'anywa tonge ghafla. Angesoma sheria zote za bunge akawa anazijua. ALitolewa madarakanai kwa kufuata sheria ya Bunge. Mahakama ilisema kuwa sheria hiyo ya Bunge haikuwa halali, lakini ndiyo sheria iliyokuwepo wakati anasimamishwa. Angekuwa na busara ya kutosha angepinga sheria ile kabla haijafanya kazi dhidi yake badala ya kumlaumu mtu aliyeitumia dhidi yake.
Mungu anazidi kumbariki na kumwimarisha kwa sababu alikataa dhambi ya wazi ya kuungana na wauaji na wezi wa mali za umma kwa ajili ya kuimarisha sehemu walizozaliwa kwa kodi ya Watanzania.Kwamba kalipwa baada ya kifo cha Magu na yeye karudishwa nafasi yake?
Tatizo udini ukikuzidi sana hata kama ni msomi kwa kiwango gani huondoa maarifa na busara.
Yeye angekuwa wa maana dunia ingekuwa imeshamchukua na kumtumia kama kina Mwelle Malecela.
Ana mapungufu mno kuliko anavyodhania yupo sahihi. Kiislam huwa wanaamini kila ridhki hupangwa na mwenyezi Mungu ndio maana huwa wanasema kila mtoto anazaliwa na ridhki yake.
Huyu ridhki zake za visasi na husda. Atabaki hapo sana tu.
Mshindi wa wajinga.Nafikiri Prof inatosha otherwise legacy yako yote kuanzia UDSM itaonekana ni upuuzi mtupu.
Mwisho wa siku JPM ni mshindi.