Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

Jiwe alikiwa anaiua Nchi yetu ...


Mungu aliona mbali sana, kumzoa huyu mzeee...

tulikuwa tukiandika uzi za kumsema mamod wanazichinja juu kwa juu, kikowapi sasa, nilisema mimi nafanya mazoezi ya kucheza sukari ya zuchu na kunywa henessy kidimbwi bora lilifokufa lile shetani
 
Tukiwaambia watu kushangilia miradi ambayo hawajui mikataba inasema nini ni ujinga wanaona kama tuna chuki na marehemu.

majitu ya ccm haina akili imekaa kimya haijui cha kushangilia. Tatizo walikuwa wanamwona Magufuli ni Mungu na wao ni kina Yesu na wananchi wengine ni mashetani, kiko wapi ?
 
H
Mkuu hajamsuta mtu baada ya chuo kikuu cha Dar midahalo yake kuzimwa na wakuu wa chuo kuwa mataga wa kusifu nguvu imehamia chuo cha kiislamu Morogoro ndio huko midahalo inaendelea sasa kuhusu rushwa, Profesa Assad amezindua mdahalo
Midaharo ya vyuo hufanyikia vyuoni, hapo chuo kimetumika kuhalalisha ujinga. Assad asikigombanishe chuo na serikali wala wananchi. Asimame yeye kama yeye. Kwa alichoropoka Jana, Kwisha habbari yake
 
ATCL ivunjwe utalii utaukuza kwa ma.takle yako?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
ATCL inakuzaje utalii ?

Takwimu zinaonyesha kipindi ATCL haina ndege utalii ulikuwa unaingiza mapato makubwa kuliko sekta yoyote nchini.

Sasa hivi ATCL ina ndege lakini utalii unazidiwa na madini kuingiza mapato.
 
H
Mkuu hajamsuta mtu baada ya chuo kikuu cha Dar midahalo yake kuzimwa na wakuu wa chuo kuwa mataga wa kusifu nguvu imehamia chuo cha kiislamu Morogoro ndio huko midahalo inaendelea sasa kuhusu rushwa, Profesa Assad amezindua mdahalo
Midaharo ya vyuo hufanyikia vyuoni, hapo chuo kimetumika kuhalalisha ujinga. Assad asikigombanishe chuo na serikali wala wananchi. Asimame yeye kama yeye. Kwa alichoropoka Jana, Kwisha habbari yake
 
Kwa hiyo sasa hizo ndege zikishauzwa ndo inakuwaje... au ndo tukakope sasa. Hawa watu wanatumiwa na nani kwani? Kama kosa limeshafanyika, je hiyo njia anayosema ndo njia sahihi ya kutatua tatizo. Mbona mataifa ya ulaya yanamiliki ndege zake wenyewe. Iweje kwetu iwe shida? Itamfaidia nan ndege zikiuwpzwa sasa. Anko Magu, bora hata ufufuke tu jamani, wahaini wameongezeka mtaani huku dah... mtu hujivunii kuwa na chako bali mkopo. Pathetic people... kauze nyumba yako ukapange basi kama unadhani ni jambo sahihi... sijui huyu mzee kalogwa na nani?
 
Huyu Mzee atabaki na heshima yake milele. Mama anaweza kumpa shavu wakati wowote kuanzia sasa.

Jiwe yeye ameondoka kwa aibu na anasindikizwa kaburiki kwake na ufisadi, mauaji, uongo na utekaji. Hakika hana amani huko alipo.
CAG akishastaafu hawezi kuteuliwa tena kuingia kwenye utumishi wa umma.
 
Binadamu wa sasa ile kitu inaitwa aibu hakuna kabisa.

Yaani mtu anaitisha press kumsuta marehemu ilhali anajua kabisa mhusika hayupo na hataweza kujitetea.
Mkuu, hakuitisha press conference. Ilikuwa ni public lecture then baada ya hapo akaulizwa maswali.... Na hayo ndiyo majibu yenyewe.
 
CAG akishastaafu hawezi kuteuliwa tena kuingia kwenye utumishi wa umma.
Tunaomba kifungu cha sheria kinachosema hivyo. Au ni hisia zako tu!?

Kuna kifungu cha Katiba kinasema Rais ana uwezo wa kumteua mtu yeyote kwa sababu yeyote na hakina masharti. Hivyo hata CAG anaweza kuteuliwa pia.
 
Alipaswa kujiuzuru immediately.

Kama umepewa kazi flani ufanye halafu ukanyimwa vitendea kazi, hapo utakua unafanya kazi gani? Unapaswa kuachana nayo haraka.

Sasa yeye hakujiuzuru halafu anakuja kulia lia hapa. Hizi ni chuki tu za kufumuzwa u cag.
 
mbona naye haeleweki ,tatizo ni kununua ndege kwa cash au tatizo ni uwepo wa ATCL .

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa Masikio yangu nimemsikiliza na kumuona Azam akiwa kwenye mjadala alisema ATCL ifutwe na ndege ziuzwe ila navyofikiria mimi hata na hoja yake kwamba tusingenunua ndege kwa cash nayo ina mantiki ,na hata kwenye miradi mikubwa kwa mfano bagamoyo amesema tusijenge kwa fedha zetu maana ni fedha nyingi inabidi tutafute wadau tukubuliane tu kwenye terms(win win situation).
 

Tambua kwamba hata yeye CAG alinyimwa kuona huo mkataba.
 
Tunaomba kifungu cha sheria kinachosema hivyo. Au ni hisia zako tu!?

Kuna kifungu cha Katiba kinasema Rais ana uwezo wa kumteua mtu yeyote kwa sababu yeyote na hakina masharti. Hivyo hata CAG anaweza kuteuliwa pia.
Ibara ya 144 (6) mkuu
 
Tunaomba kifungu cha sheria kinachosema hivyo. Au ni hisia zako tu!?

Kuna kifungu cha Katiba kinasema Rais ana uwezo wa kumteua mtu yeyote kwa sababu yeyote na hakina masharti. Hivyo hata CAG anaweza kuteuliwa pia.
Hebu nitajie na wewe kifungu kinachompa mamlaka rais kumteua mtu yoyote bila masharti
 

Prof Assad mtu mwenye weledi ameongea mimi ni nani nimbishie Prof?? Labda angekuwa Prof wa majalalani huyo tungeweza kuanzisha mjadala.
 
Prof Assad mtu mwenye weledi ameongea mimi ni nani nimbishie Prof?? Labda angekuwa Prof wa majalalani huyo tungeweza kuanzisha mjadala.
Usitishike na jina Prof... tumia common sense kufikiri. Hauhitaji elimu yoyote kuelewa mambo madogo kama hayo. Kosa limefanyika, sasa tuuze halafu tukakope si ndio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…