Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

Mimi alichokuwa ananiogopesha ni kuongo hadharani bila aibu. Anadai miradi yote anatekeleza kwa fedha za ndani huku akikopa kila kukicha. Deni la taifa linaongezeka huku yeye kila siku anadai anatumia fedha za ndani na si mikopo. Akageuza hazina ya taifa kuwa wallet yake binafsi. Bajeti za bunge zikawa hazina maana tena. Bila aibu anautangazia umma kila kukicha kuwa fedha za maendeleo anatoa yeye. Kwa kweli yule mtu alikuwa mgonjwa wa akili. Ni mara ya kwanza watanzania tukaishi ktk zama za giza la kutisha mno. Kichaa akapewa Nchi. Mungu ni Mkuu sana. Bila kutuepusha na hilo balaaa tungeishi humo gizani kwa miaka mingi sana mana mpango wa hao wanafiki wanaojifanya sasa kumkana huko Bungeni ilikuwa ni kumuongezea muda atawale milele.
Mungu anatupenda watanzania.
 
We Ku.ma endelea kuhangaika na mitandao mi nilikua sitegemei Mtu mzee Salary yangu inangia kila mwezi na enjoy maisha hii nafasi niliopo hata aje Rais gani nitaendelea ku enjoy na kula bata
[emoji23][emoji23]Mkasiriko, mahasra ya choni udugu wane?
 
Mimi alichokuwa ananiogopesha ni kuongo hadharani bila aibu. Anadai miradi yote anatekeleza kwa fedha za ndani huku akikopa kila kukicha. Deni la taifa linaongezeka huku yeye kila siku anadai anatumia fedha za ndani na si mikopo. Akageuza hazina ya taifa kuwa wallet yake binafsi. Bajeti za bunge zikawa hazina maana tena. Bila aibu anautangazia umma kila kukicha kuwa fedha za maendeleo anatoa yeye. Kwa kweli yule mtu alikuwa mgonjwa wa akili. Ni mara ya kwanza watanzania tukaishi ktk zama za giza la kutisha mno. Kichaa akapewa Nchi. Mungu ni Mkuu sana. Bila kutuepusha na hilo balaaa tungeishi humo gizani kwa miaka mingi sana mana mpango wa hao wanafiki wanaojifanya sasa kumkana huko Bungeni ilikuwa ni kumuongezea muda atawale milele.
Mungu anatupenda watanzania.
Alikuwa ni kiongozi wa hovyo kabisa kuwahi kutokea
 
Mwehu huyo, huyu wa sasa alipewa na nani? Maana wakati anakagua bado hayati alikuwepo
Unadhani angeisoma hiyo report kama ilivyo na au anavyoisoma sasa?

Tusaidie sababu gani ilisababisha atolewe katika hiyo nafasi!?

Na kwanini ilitumika nguvu kubwa hata kutoka kwa yule Ndugai pale Bungeni?
 
Sasa kama mlikua mnazificha ili mje kutudanganya kua tuko kwenye RIGHT TRACK
 
Kawaida ukishastaafu au kuondoka kwenye nafasi yako usipende kuongelea mambo ya ofisi uliyokuwa.

Ulishamalizana nao basi sababu wakikubana ukasema una ushahidi ukienda ofisini kuomba hata barua labda hawakupi. Si sahihi sana ukishatoka kuongelea mambo ya ofisi ulikokuwa achana nayo endelea na maisha mengine.
Hana maadili. Kashindwa hata kujiuliza kwamba kwa kumuongelea Marehemu sasa anakuwa anaonekana kama mpiga soga tu.
 
Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine
Mmesahau aliongelea nini na akafanywa nini? Angeongelea hayo nini kingefuata?

Kwakuwa ndugu yenu ndio aliongoza kwa unafiki na ukatili nchi hii ilibidi watu wanate na beat ili kwenda nae sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mtu mpumbavu kama Prof. Assad. Kwanza asije kujidanganya kama yuko popular kiasi cha kutumika kuua heshima ya JPM. Ndiyo maana limekaa kama nguruwe pori hata umbo lake. Kwani nani hajuwi kama Assad anamchukia JPM hata kabla hajawa Rais? Huyu si ndiye alisemaga JPM siyo waziri na hafai kwa kuwa ni mjasiriamali wa kisiasa? Pamoja na sigida yake hana Mungu ni mpumbavu fulani.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Heshima ipi ha JPM? Kuwateka, kuwatesa, na kuwaua watesi wake?

Ni bora wazazi wako wangepiga blowjob.
 
Marehemu akifa husingiziwa mengi sababu hawezi kutoka aliko kujitetea. Tutasikia mengi. Kila mtu akijinadibu ohhh matehemu. Marehemu alisema ohh!!!
Marehemu asingeyataka hayo asingewaziba watu midomo na kutaka kusifiwa tu. Hayo ndio matokeo yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa, tujifunze, tulipokosea, ili tusirudie.
Hili la katiba mpya, Rais apunguziwe madaraka, ni la muhimu sana!
Mwendazake alikuwa anaelekea kuwa hatari kwa afya ya nchi na hata majirani zetu.

Everyday is Saturday............................... 😎
Shida watu walikuwa washajengewa mentality ya kukubali kila jambo na yeyote anaepinga kuonekana sio mzalendo.
 
Kwanza

Kwanza pole huenda ni mmoja wa majeruhi,Jpm anabaki kuwa mmoja wa Marais Bora,aliyewaelewa vyema watu wake na akafanya kutokana na jinsi watu wake walivyo,Wa tz hajui wanataka Nini,ili kuwaongoza inabidi kiongozi ndo ajiongeze kufanya mambo kwa maslahi yao.
Kwahiyo watanzania walihitaji kupigwa bunduki na kutekwa ?
 
Alikuwa bize na Mambo yake. Leo aliulizwa na Wana habari ndo mana akasema
Anaongea baada hayati hayupo? Ni unafiki siku zote alikuwa wapi? Au hayati awezi kujitetea huko alipo basi nae kahamu kutafuta kick?
 
Back
Top Bottom