EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Hamna hoja yaficha madudu yenu mnataka wanyamaze??Kawaida ukishastaafu au kuondoka kwenye nafasi yako usipende kuongelea mambo ya ofisi uliyokuwa.
Ulishamalizana nao basi sababu wakikubana ukasema una ushahidi ukienda ofisini kuomba hata barua labda hawakupi. Si sahihi sana ukishatoka kuongelea mambo ya ofisi ulikokuwa achana nayo endelea na maisha mengine.
Usiwe "hardheaded" anaongea haya wakati muafaka kila mtu mwenye akili anamuelewa kikamilifu, kipindi kile kila mmoja alikuwa na hofu kusema chochote, sababu unazijua., ata uyo mama Samia unayetaka awe makini ndani ya huu mwezi mmoja alioapishwa na yeye ameungana na kina hawahawa prof Assad ingawa yeye katumia njia ya indirect kuonyesha weaknesses za mtangulizi wake je na yeye tuseme alikuwa mnafiki kwa vile alikuwa madarakani na mwandazke?Wale wale, ondoka usemwe, huyu ni wa tatu baada ya Kigwangala na Ndugai, so what ? Anafuta huruma kwa nani sasa,? Ikiwa 2+ years alikuwa kimya, namsihi mama Samia awe makini sana na watu wa aina hii.
#kaziIendelee
hawezi kuwa na lolote Assad machoni kwako, ila, at least kwa sasa anaweza kuongea akiwa na hakika ya usalama wa maisha yake. Mzee baba alikuwa hayupo tayar kukosolewa, na ili uwe na guts za kusema mbona Assad hakusema haya kipindi kile, lazma ujue mazingira ya yeyote aliemkosoa ama kuikosoa serikali yake iliishiaje.umesikiliza upande mmoja na kutoa conclussion .Ushahidi wa kusema hakkutiñoa uko wapi.Kafa atasingiziwa mengi
Ripoti añizosoms huyo Former CAG Assad miaka yake mbona hakusema kuwa alinyimwa nyaraka kwenye ripoti zake? Ripoti zote za Audit ukinyimwa taarifa fulani kwenye ripoti yako inataliwa uandike na usome hivyo Yeye mbona hilo.hakulionyesha kwenye ripoti zake za wakati huo? Naye mbabaishaji na mnafiki tu hana lolote
Usitishike na jina Prof... tumia common sense kufikiri. Hauhitaji elimu yoyote kuelewa mambo madogo kama hayo. Kosa limefanyika, sasa tuuze halafu tukakope si ndio?
Kwa kiongozi wa nchi ni shida mkuu lazima watu wata react kwa mabaya yake na mazuri yake aliyofanya hilo ni jambo la kawaida., Viongozi wa nchi wanaacha history sasa nadhan hili jambo halizuiliki., wanaomjua kwa mazuri watasema na wanaomjua kwa mabaya sidhani kama watasita kusemaBinadamu wa sasa ile kitu inaitwa aibu hakuna kabisa.
Yaani mtu anaitisha press kumsuta marehemu ilhali anajua kabisa mhusika hayupo na hataweza kujitetea.
Mnafiki,katili,mbishi na mbinafsi mwenye kisasi kisichoisha.Vetting ya kupata wagombea urais isiishie kwenye vyama pekee,kuwe na Multi Displenary electoral committee kuhakiki wagombea wote.Tungeepuka majanga aliyotuletea Jiwe hapa nchini.Mtupoli alikua MWIZI, TAPELI, MTESAJI na MUUAJI.
Ndio mana kiongozi anatakiwa awe muadilifu ili siku akifa watu wamseme kwa mazuri, huwezi kuzuia kiongozi wa nchi aliyekuwa watu wabaki kimya tu, ata mimi na wewe tutende mema ili tuje tusemwe kwa mema zaidiMbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine
Mwendazake angekuwepo asingeruhusu hio ripoti ianike uozo wake.Mwehu huyo, huyu wa sasa alipewa na nani? Maana wakati anakagua bado hayati alikuwepo
Sasa naww mbona huna akili. Hebu tuchukulie mfano. Umenunua kiwanja cha kujenga ofisi yako au nyumba lakini baada ukagundua kuwa kiwanja hicho ulikinunua kwa haraka haraka sana, labda hukutafakari njia nzuri ya kukinunua na labda hukujua kama utaweza kujenga hiyo ofisi au nyumba.Yeye ameshauri ATCL ifutiliwe mbali na madege yauzwe.
Nini cha kufanya sasa?
Wataalamu wengi walishauri including current CAG.
-Kwenye bodi ya ATCL hakuna hata mtaalamu mmoja mwenye elimu ya kuhusu mambo ya ndege na uendeshaji wake ,sasa unategemea shirika litaendelea wakati inside kuna vilaza?
-Zitto alishauri mwanzoni kabisa biashara ya ndege watu hawanunui kwa cash ,hapo ndipo nakuja kukujibu baada ya kuuza midege ,tuwe na bizness plan ambayo imeandaliwa na wabobezi na jinsi ya kuitekeleza ikiwa inaonyesha jinsi shirika litakavyoundwa upya ,jinsi ya kunua midege(not by cash) ,jinsi ya kuajiri wataalamu(salary zao) ,faida itakayopatikana kulinga na tafiti za sasa etc.
Hao ndio ma Professor wetu hawana mawazo ya kujenga Taifa ,wanachowaza ni mishahara kwa mwezi. Yeye ni msoni mzuri huwezi sikia anasema ATCL miaka hii tumekula hasara, tufanye hivi tuimarishe shirika letu liwe shirika shindani duniani na tupate faida, ni bora hata watu wa darasa la saba wanaweza wakasimamia kampuni na ikaendelea kuliko hizi ngonjera za ma professor wetu. Leo hii Jirani zetu ethiopia wana sherekea miaka 75 ya shirika lao la ethiopia airways kuwa angani, wanajivunia, sisi Rais kawanunulia watanzania mil60 ndege 8 na zingine 3 ambazo hazijawasili bado hatuwezi kuendesha shirika hili, sasa elimu zetu zinatusaidia nini? kubishana tu mitandaoni?, hivi kweli sisi watanzania tunashindwa kuendesha shirika hili la ATCL? ATCL hatuwezi endesha, TTCL hatuwezi, Reli tuliua tukakimbilia kwenye malori, viwanda tulikula vyote tukakimbilia kuagiza mizigo china, bandari hatuwezi endesha, elimu hatuwezi at the same time kila siku wana post kumlaumu magufuli eti hakuajiri watanzania, mnataka ajira zipi wakati huo hamtaki kusimamia makampuni yetu yakuwe na kuajiri watanzania wengi? hamuwezi kuwaza ajira za ualimu ,nurse na halmashauri tu? ni lazima tujifunze kwa kila aina kusimamia makampuni yetu yakuwe na yatoe ajira kwa watanzania wengi, sasa Professor anaposema ndege ziuzwe anafikiri vijana walioajiriwa ATCL waende wapi? suppliers wachakula ATCL wata muuzia nani? wakala wa tickets ATCL wafanyakazi wake waende wapi?, utakuta mtu ana bwabwaja tu eti hakuna faida, hivi hamuoni chain ndefu ya watanzania wenzetu wanalisha familia zao kwa uwepo wa ATCL?Kwa hiyo sasa hizo ndege zikishauzwa ndo inakuwaje... au ndo tukakope sasa. Hawa watu wanatumiwa na nani kwani? Kama kosa limeshafanyika, je hiyo njia anayosema ndo njia sahihi ya kutatua tatizo. Mbona mataifa ya ulaya yanamiliki ndege zake wenyewe. Iweje kwetu iwe shida? Itamfaidia nan ndege zikiuwpzwa sasa. Anko Magu, bora hata ufufuke tu jamani, wahaini wameongezeka mtaani huku dah... mtu hujivunii kuwa na chako bali mkopo. Pathetic people... kauze nyumba yako ukapange basi kama unadhani ni jambo sahihi... sijui huyu mzee kalogwa na nani?
Sasa naww mbona huna akili. Hebu tuchukulie mfano. Umenunua kiwanja cha kujenga ofisi yako au nyumba lakini baada ukagundua kuwa kiwanja hicho ulikinunua kwa haraka haraka sana, labda hukutafakari njia nzuri ya kukinunua na labda hukujua kama utaweza kujenga hiyo ofisi au nyumba.
Sasa ukasema ngoja nikiuze kiwanja halafu nijipange tena na upya kufanya utaratibu wa kununua kiwanja hiko hiko ili nijenge ofisi... unadhani ina make sense... sijui hata kama unanielewa
Ndugu, kama mzee kafufua shirika 2016 sijui, hivi hiyo faida ya haraka haraka inatoka wapi??? Na tayari ilikuwa inajiendesha kwa hasara tangu awali. Ni wajinga tu ndo wanaweza kuropoka ushenzi wanaoufanya asahivi.Hao ndio ma Professor wetu hawana mawazo ya kujenga Taifa ,wanachowaza ni mishahara kwa mwezi. Yeye ni msoni mzuri huwezi sikia anasema ATCL miaka hii tumekula hasara, tufanye hivi tuimarishe shirika letu liwe shirika shindani duniani na tupate faida, ni bora hata watu wa darasa la saba wanaweza wakasimamia kampuni na ikaendelea kuliko hizi ngonjera za ma professor wetu. Leo hii Jirani zetu ethiopia wana sherekea miaka 75 ya shirika lao la ethiopia airways kuwa angani, wanajivunia, sisi Rais kawanunulia watanzania mil60 ndege 8 na zingine 3 ambazo hazijawasili bado hatuwezi kuendesha shirika hili, sasa elimu zetu zinatusaidia nini? kubishana tu mitandaoni?, hivi kweli sisi watanzania tunashindwa kuendesha shirika hili la ATCL? ATCL hatuwezi endesha, TTCL hatuwezi, Reli tuliua tukakimbilia kwenye malori, viwanda tulikula vyote tukakimbilia kuagiza mizigo china, bandari hatuwezi endesha, elimu hatuwezi at the same time kila siku wana post kumlaumu magufuli eti hakuajiri watanzania, mnataka ajira zipi wakati huo hamtaki kusimamia makampuni yetu yakuwe na kuajiri watanzania wengi? hamuwezi kuwaza ajira za ualimu ,nurse na halmashauri tu? ni lazima tujifunze kwa kila aina kusimamia makampuni yetu yakuwe na yatoe ajira kwa watanzania wengi, sasa Professor anaposema ndege ziuzwe anafikiri vijana walioajiriwa ATCL waende wapi? suppliers wachakula ATCL wata muuzia nani? wakala wa tickets ATCL wafanyakazi wake waende wapi?, utakuta mtu ana bwabwaja tu eti hakuna faida, hivi hamuoni chain ndefu ya watanzania wenzetu wanalisha familia zao kwa uwepo wa ATCL?
Hili zee jinga... Halina integrity waka confidentiality. Bure kabisa kama mavi ya kuku.Kawaida ukishastaafu au kuondoka kwenye nafasi yako usipende kuongelea mambo ya ofisi uliyokuwa.
Ulishamalizana nao basi sababu wakikubana ukasema una ushahidi ukienda ofisini kuomba hata barua labda hawakupi. Si sahihi sana ukishatoka kuongelea mambo ya ofisi ulikokuwa achana nayo endelea na maisha mengine.
Ikiwa mnasema ndege hazinunuliwi kwa cash unataka kumuuzia nani...?Mfano wako hauendani na hili,halafu jenga hoja matusi hayafai kwenye mijadala,kutumia matusi inaoneysha unaendeshwa na mihemko na mahaba/unazi wa chama,tambua tumetumia zaidi ya trilioni 2 kununua midege , kwasasa midege na shirika linatutuia hasara solution ni kufutiliwa mbali na midege kuuzwa, kwasasa hauwezi kufanya chochote kututoa kwenye hasara au kulinusuru shirika maana tulishavurunda kwenye msingi(Foundation)...CAG alichoshauri ni kuvunja nyumba yote na kujenga msingi upya ,kuendelea kurepair ufa wakati msingi mbovu ni kujidanganya nadhani umenielewa.
Njia waliyopendekeza ni kulifutilia mbali shirika.(Kuvunja nyumba yote yenye msingi mbovu ,msingi hauna zege ,msingi hauna nondo ,msingi hauna mawe ,msingi hauna blinding etc) hata ukijenga juu ya msingi mbovu hakuna kitu ni kendelea kupata hasara kwenye maintanance ya nyumba maana cracks ,fungus ,hazitokuacha salama.
Acha unyang'au pimbi ww huyo marehemu ndio alikuwa anawasema hadi marehemu au umesahau, pia ni marehemu huyohuyo aliyesababisha wengine kuwa marehemu.Binadamu wa sasa ile kitu inaitwa aibu hakuna kabisa.
Yaani mtu anaitisha press kumsuta marehemu ilhali anajua kabisa mhusika hayupo na hataweza kujitetea.
Huo ni utaratibu wa jiwe na haupo kisheriaKawaida ukishastaafu au kuondoka kwenye nafasi yako usipende kuongelea mambo ya ofisi uliyokuwa.
Ulishamalizana nao basi sababu wakikubana ukasema una ushahidi ukienda ofisini kuomba hata barua labda hawakupi. Si sahihi sana ukishatoka kuongelea mambo ya ofisi ulikokuwa achana nayo endelea na maisha mengine.
Alipokuwa hai naye alifanya hayo hayo ya kuwasuta wengine akijua fika hawawezi kujibu mana ukijibu tu alikuwa anakupoteza. Wacha na yeye alipwe kwa matendo yake.Binadamu wa sasa ile kitu inaitwa aibu hakuna kabisa.
Yaani mtu anaitisha press kumsuta marehemu ilhali anajua kabisa mhusika hayupo na hataweza kujitetea.
Ikiwa mnasema ndege hazinunuliwi kwa cash unataka kumuuzia nani...?
Utakuwa mnafaika wa jiwe wewe sio bureKuna kitu hakiingii akilini. Unaposema aliomba maana yake ni nini? Huwa hatuombi nyaraka, huwa tunapewa nyaraja kufanya audit. Ukishaanza audit utakuwa uneshapewa kika unachohitaji, kimeandaliwa kabla hujaja. Wao pia ni wahasibu kama wewe, wanajua mahitaji. Isitoshe tayari una data za mwaka jana na mwaka juzi hii si audit mpya. Kama angesema aliomba nyaraja za SGR, zipi, akanyimwa ningeelewa, lakini alipisema aliomba za SGR NA za ndege NA za barabara nikajua si kweli, these are different audits. Na hasemi ni nyaraka gani, kwa sababu hata jina ni nyaraka, bajeti ni nyaraja, bank statement ni nyaraka, invoice ni nyaraka na risiti ni nyaraka unapewa moja kwa moja kutoka benki au kwa creditor hupitii kwa Magu. Na pale anaposema ana uzoefu na hayo mambo si kweli, ni wa chuo kikuu mtu wa library. Sitashangaa kama hata train hajapanda si mtu wa Bara.
Wazazi wengine huwa wanazaa hasara kwakweli, wazazi wako kwako walipata hasara,Ndio nini,, wewe huna wazazi?? Wazazi wanaingiaje humu?? Akili kama chembe ya haradali