Mbeya City Spurs I
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 482
- 1,025
Kwa hiyo neno ku'lease ndilo linakufanya umuone mwenzako mjinga ikiwa halielewi! Kwani ukiandika 'kukodi' utakuwa mshamba! Acheni utumwa wa kifikra. Kujua kiingereza kusikufanye uwadharau wengine. Huo nao ni upoyoyo.Usilolijua ni usiku wa giza
Air Tanzania ina lease ndege...manunuzi yake hayapo ATCL..
Ss sijui km ht unaelewa ku'lease ni nini
Ndo hapo inashangaza watu wanaposhangaa kusemwa kwa mwendazake akiwa kafarikiUkiwa Kiongozi you have only two options
1) Kubali kusemaa Ukiwa madarakani
2) Subiri kusemwa ukishaondoka madarakan
Nyerere na JPM walichagua option ya pili
Mh hebu kuwa na hofu ya Mungu. Hata wewe ni Mzoga mtarajiwa! Unajua umebakisha mda gani wa Kuringa hapa Duniani? Have some Respect yule ni Baba wa mtu na wanaumia kuona such Comments kwa Mzazi wao.
Naona alivyogoma kabisa ndo wakammezesha Polepole aje atetee 1.5T😀😀😀😀Kila mtu anajua hiyo Issue Ofisi ya NAO
Ilikuwa analazimishwa aitishe Press conference akanushe ile Scandle ya 1.5 Trillion pamoja na kukana udhaifu wa Bunge aliosema
Naona alivyogoma kabisa ndo wakammezesha Polepole aje atetee 1.5T😀😀😀😀
Namfahamu alikuwa mwl wangu.. ILA KWENYE HILI NIMEMSHUSHA KWA UNAFIKI WAKE
At least Nyerere was a brave enough kukubali makosa ya undeshaji kwenye utawala wakeUkiwa Kiongozi you have only two options
1) Kubali kusemaa Ukiwa madarakani
2) Subiri kusemwa ukishaondoka madarakan
Nyerere na JPM walichagua option ya pili
ATCL ivunjwe utalii utaukuza kwa ma.takle yako?Nimemsikia Prof Assad ,Huyu inatakiwa arudishwe ili aendelee kulitumika taifa.
Amesema ATCL ivunjwe ,ndege ziuzwe maana hamna kitu wanafanya.
Mkataba wa bagamoyo uweke wazi watu wasome na kama kuna vitu vya kukubaliana vinaweza kurekebishwa ili mradi ujengwe.
ulitaka apotezwe na meko?Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine
Mh WANGU mama SSH , sitomuelewa Kama atashindwa kutumia vichwa vya aina hii ya pro Assad, ni Kati ya mtu mwanzo niliandika apa Jamvin, kwamba alitufaa Sana hata kuaVP, Ndugu na jamaa apa Jamvin wakaanza Mara rais ,waziri MKUU , vp hawawezi kua wote dini moja, Sasa Kama unapata WATU wenye uwezo wa fikra , na utashi wa kweli wa kulitumikia Taifa unashindwaje kuwatumia kisa dini, ifike mda haya Mambo ya imani zetu yasiingilie utendaji hatuwezi fika tunapopahitaji Kama Taifa, kwa kuwa na WATU walewale , low IQ people,s KATIKA mfumo ,we need strong people, like prof AssadProfesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.
Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga.
Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua.
Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu.
===
Wakati nipo ofisini, katika vitu ambavyo ninvitu vitatu: niliomba SGR, niliomba document ya Air Tanzania upya na niliomba project ya Stiegler's Gorge -- feasibility studies. Na sikupewa hata moja. Nilichopata ilikuwa ni barua kwamba mwaka haujamalizika na kwahiyo ukaguzi wa hesabu si wakati wake.
Na kila mtu mwenye akili alikuwa anajua nilichokuwa nataka kufanya si ukaguzi wa hesabu, lakini ilikuwa ni technical response ya kusogeza muda na kuniondoa katika reli tu. Kwahiyo, mpaka nimeondoka ofisini I never got that information na mpaka sasa hivi sijatafuta na sijasoma.
Wewe ni kama mimi. I'm a private citizen now. Ikitokea taarifa hii ipo wazi, tutaisoma na tutatoa commentary...
mbona naye haeleweki ,tatizo ni kununua ndege kwa cash au tatizo ni uwepo wa ATCL .Nimemsikia Prof Assad ,Huyu inatakiwa arudishwe ili aendelee kulitumika taifa.
Amesema ATCL ivunjwe ,ndege ziuzwe maana hamna kitu wanafanya.
Mkataba wa bagamoyo uweke wazi watu wasome na kama kuna vitu vya kukubaliana vinaweza kurekebishwa ili mradi ujengwe.
Jibu lako lipo mstari wa tatu wa Uzi huu kama huelewi basi nawe ni tatizo.Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine
Kwani marehemu alikuwa anasutika wakati yupo hai?Nani anataka uokotwe kwenye viroba?Binadamu wa sasa ile kitu inaitwa aibu hakuna kabisa.
Yaani mtu anaitisha press kumsuta marehemu ilhali anajua kabisa mhusika hayupo na hataweza kujitetea.
Mkuu wa nchi wa wakati huo alituhujum sana ndo maana watu walijichotea kodi zetu bila huruma ukiitazama ripoti ya CAGProfesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.
Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga.
Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua.
Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu.
===
Wakati nipo ofisini, katika vitu ambavyo ninvitu vitatu: niliomba SGR, niliomba document ya Air Tanzania upya na niliomba project ya Stiegler's Gorge -- feasibility studies. Na sikupewa hata moja. Nilichopata ilikuwa ni barua kwamba mwaka haujamalizika na kwahiyo ukaguzi wa hesabu si wakati wake.
Na kila mtu mwenye akili alikuwa anajua nilichokuwa nataka kufanya si ukaguzi wa hesabu, lakini ilikuwa ni technical response ya kusogeza muda na kuniondoa katika reli tu. Kwahiyo, mpaka nimeondoka ofisini I never got that information na mpaka sasa hivi sijatafuta na sijasoma.
Wewe ni kama mimi. I'm a private citizen now. Ikitokea taarifa hii ipo wazi, tutaisoma na tutatoa commentary...
Kichwa chako kinachanganya,kukoroga pamoja na kushindwa kuchakata taarifa,Mwehu huyo, huyu wa sasa alipewa na nani? Maana wakati anakagua bado hayati alikuwepo
Huyu Mzee atabaki na heshima yake milele. Mama anaweza kumpa shavu wakati wowote kuanzia sasa.mleta mada, umechanganya madawa Assad Kasema aliomba nyaraka za SGR, Stieglers na Ndege na siyo bandari ya bagamoyo
Msikilize alichosema hapa:
Tujifunze kusema mabaya ya marehemu ili waliopo hai wapate kujifunza kuacha kutenda mabaya wakiwa madarakaniBinadamu wa sasa ile kitu inaitwa aibu hakuna kabisa.
Yaani mtu anaitisha press kumsuta marehemu ilhali anajua kabisa mhusika hayupo na hataweza kujitetea.