Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

Huyu Mzee atabaki na heshima yake milele. Mama anaweza kumpa shavu wakati wowote kuanzia sasa.

Jiwe yeye ameondoka kwa aibu na anasindikizwa kaburiki kwake na ufisadi, mauaji, uongo na utekaji. Hakika hana amani huko alipo.
Kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji uovu mateso kwa wapinzani ikiwemo kuwapora ushindi kwenye chaguzi zote, kupiga marufuku mikutano ya siasa na mabaya mengineyo kibao
 
Marehemu akifa husingiziwa mengi sababu hawezi kutoka aliko kujitetea .Tutasikia mengi.Kila mtu akijinadibu ohhh matehemu.msrehemu alisema ohh !!!
Kuwabambikia kesi wapinzani uonevu kwa wafanyabiashara kutumia task force kupora pesa zao kuwabambikia kodi kutumia Sheria mbovu ya uhujumu uchumi kuwakomoa watu ni vitu anasingiziwa? ni kwa nini hamtaki marehemu akubali mapungufu udhaifu wake kipindi akiwa madarakani ili waliosalia wapate kujifunza kutenda wema
 
Ununuzi wa Ndege kwa cash maana yake ni ufisadi maana mnunuzi kachukua 10% yake cash kwa Siri ndiyo maana mikataba ikafichwa sana
 
Huyu profesa anaonyesha ni mtu mwenye maadili na nidhamu ya kazi yake.

Kama amezungumza hivyo kuna shida kubwa sana ameiona ukizingatia ni mtaalamu mbobezi wa hesabu za fedha
Shida ipo na ilikuwepo kubwa zaidi ambayo sasa Rais mpya yupo mbioni kuimaliza, magufuli hakuwa mzalendo alitawala kwa propaganda za kuwajali wanyonge kumbe alikuwa ni fisadi mkubwa zaidi
 
Ya Bagamoyo ili sainia lini , kabla ua huyu wa Awamu ya Tano au wa Awamu ya 4.
Na kama ya awamu ya nne , he uliupata? Na nini, ushauri wako kwa Sasa
 
Mh hebu kuwa na hofu ya Mungu. Hata wewe ni Mzoga mtarajiwa! Unajua umebakisha mda gani wa Kuringa hapa Duniani? Have some Respect yule ni Baba wa mtu na wanaumia kuona such Comments kwa Mzazi wao.
Tujifunze kusema mabaya ya marehemu ili waliopo hai wapate kujifunza kutenda wema Duniani
 
Ya Bagamoyo ili sainia lini , kabla ua huyu wa Awamu ya Tano au wa Awamu ya 4.
Na kama ya awamu ya nne , he uliupata? Na nini, ushauri wako kwa Sasa
Binadamu wa sasa ile kitu inaitwa aibu hakuna kabisa.

Yaani mtu anaitisha press kumsuta marehemu ilhali anajua kabisa mhusika hayupo na hataweza kujitetea.
Na hasa kama wewe una Mwami Alah
 
Uwazi kwenye miradi yote itasaidia kupunguza minong’ono toka kwa wananchi ni vyema waanike kila kitu kwa uwazi ili watanzania wote wapate kutafakari vizuri
 
Kila mtu anajua hiyo Issue Ofisi ya NAO

Ilikuwa analazimishwa aitishe Press conference akanushe ile Scandle ya 1.5 Trillion pamoja na kukana udhaifu wa Bunge aliosema
Trilion 1.5 ilipigwa na marehemu ikaenda kujenga chato, kuwanunua wabunge madiwani wa chadema na upinzani kwa ujumla, wanufaika wakuu wa hizo pesa ni polepole na Bashiru na wenzao akina Doto aliyekuwa katibu mkuu wizara ya fedha
 
True, tuwe na heshma na ubinadamu wake hata kama hatukukubaliana na baadhi ya approach zake
Pardon me, double tapping quoting
Heshima wala ubinadamu kwa dikteta huwa haipo, na haitakaa iwepo, i.e. Mobutu, Bokassa, Mengistu, .........
Huyu alikuwa anajipigia debe aongezewe muda, Am gobsmacked beyond belief, (alijenga urafiki wa karibu na Burundi, Rwanda, Uganda i.e incumbent dictators).

His famous quote;
"Nitawapoteza"

Kwa mtu anaeelewa mustabali wa nchi, huyu ni dikteta asiye na ubinadamu wala heshima
Lazima avuliwe nguo na aburuzwe mtaani (virtually) I guess.....
 
Ukiona mtu mwenye Akili timamu kaamua kujitoa fahamu hataki kusikia mabaya madhaifu mapungufu ya marehemu magufuli yakitajwa kwa uwazi, utambue moja kwa moja ni mnufaika wa udikiteta wake, ikiwemo uchakachuaji kwenye chaguzi, kuwapora wafanyabiashara pesa zao, kutumia Sheria mbovu ya uhujumu uchumi, utakatishaji fedha kuwakomoa watu kuwatesa kuwafirisi, Wanufaika wa utawala wa marehemu magufuli wapo tayari kuaibika kutetea uonevu wake hawajali chochote ndiyo maana tupo humu kuwambia ukweli
 
Naona wahanga wanatema nyongo.

Jambo moja tu, msisahau aliyoyafanya Mwendazake sis wananchi wa kawaida tunayaona

Je pesa alitoa wapi Kama alikua ni mpigaji?! Au shida yake ni kutofuata utaratibu?!

Wenye akili tunaelewa kinachoandaliwa, Ila kuweni makini Legacy ya JPM itawagharimu.
 
Wanufaika wa marehemu magufuli wapo busy kumtetea kwa hali na mali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…