Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

Kuna kitu hakiingii akilini. Unaposema aliomba maana yake ni nini? Huwa hatuombi nyaraka, huwa tunapewa nyaraja kufanya audit. Ukishaanza audit utakuwa uneshapewa kika unachohitaji, kimeandaliwa kabla hujaja. Wao pia ni wahasibu kama wewe, wanajua mahitaji. Isitoshe tayari una data za mwaka jana na mwaka juzi hii si audit mpya. Kama angesema aliomba nyaraja za SGR, zipi, akanyimwa ningeelewa, lakini alipisema aliomba za SGR NA za ndege NA za barabara nikajua si kweli, these are different audits. Na hasemi ni nyaraka gani, kwa sababu hata jina ni nyaraka, bajeti ni nyaraja, bank statement ni nyaraka, invoice ni nyaraka na risiti ni nyaraka unapewa moja kwa moja kutoka benki au kwa creditor hupitii kwa Magu. Na pale anaposema ana uzoefu na hayo mambo si kweli, ni wa chuo kikuu mtu wa library. Sitashangaa kama hata train hajapanda si mtu wa Bara.
Du huu uharo una nuka hatari ndezi jike wee
 
Unafiki gani wakati alipishana na mkuu alipotaka kuanza kukagua ndege

Bunge lilimuomba akakague ndege, Huko ndiko nyaraka watu wakaficha

Ni mwalimu wako Yes lakini wewe ni kilaza na mpumbavu ulifaulu kwa kujaza makaratasi lakini hukuelewa kitu
Afaulu wapi huyu kama ana degree bc ya chupi
 
Mkuu wewe huna exposure yeyote kaa kimya

uwezo wako wa kufikiri unaishia mlangoni kwako

Hapa sio darasani utakapofundishwa maana ya nyaraka

Hapa wamejaa Manguli na wataalamu wa mambo

Kama hujaelewa uzi Nenda jukwaa la mapenzi
Mwambie huyo kindele hana ajualo
 
Naona wahanga wanatema nyongo.

Jambo moja tu, msisahau aliyoyafanya Mwendazake sis wananchi wa kawaida tunayaona

Je pesa alitoa wapi Kama alikua ni mpigaji?! Au shida yake ni kutofuata utaratibu?!

Wenye akili tunaelewa kinachoandaliwa, Ila kuweni makini Legacy ya JPM itawagharimu.
BOT walichukua pesa nyingi za watanzania wanazozituma toka nje pia wafanyabiashara walioporwa pesa nyingi kwenye Account zao, wakichukua pesa nyingi tokea kwenye maduka ya kubadili pesa za ikigeni
 
Naona wahanga wanatema nyongo.

Jambo moja tu, msisahau aliyoyafanya Mwendazake sis wananchi wa kawaida tunayaona

Je pesa alitoa wapi Kama alikua ni mpigaji?! Au shida yake ni kutofuata utaratibu?!

Wenye akili tunaelewa kinachoandaliwa, Ila kuweni makini Legacy ya JPM itawagharimu.
Alichofanya ni utaratibu wa ilani ya chama chake, hakuna jipya
Blueprints ya hizo white elephants projects zilikuwepo donkeys ago..
Mkapa na Kikwete laid foundation...........with cautious
Yeye kakurupuka wakati anavaa pacemaker

Labda kuaachia nyie wachuuzi wanyonge mzagae mtaani na kuchafua miji kwa kisingizio cha kujiari ndio kinawafanya aonekane kafanya kitu
 
Anajisahau kuwa alusha hand over office ya CAG kwa mtu mwingine.Unspo hand over una hand over kils kitu ikiwemo reports .Sasa kama ali hand over report kuwa hakupewa document fulani hiyo inakuwa jukumu la CAG mpya kulichukulia kama pending work
Alisha hand over a shut up kuongelea ya office ya CAG amwachie aliyepo ayaongelee.Hana Authority ya kuongelea mambo ya ofisi ya CAG akiwa alishatoka.Alikabidhi basi
Du chief uwezo wako wa kufikiri upo chini sana
 
Kawaida ukishastaafu au kuondoka kwenye nafasi yako usipende kuongelea mambo ya ofisi uliyokuwa

Ulishamalizana nao basi.sababu wakikubana ukasema una ushahidi ukienda ofisini kuomba hata barua labda hawakupi.Si sahihi sana ukishatoka kuongelea mambo ya ofisi ulikokuwa achana nayo endelea na maisha mengine
Kotekote nchumari ,ukisimama nchumari ,ukikimbia nchumari
 
Kuna kitu hakiingii akilini. Unaposema aliomba maana yake ni nini? Huwa hatuombi nyaraka, huwa tunapewa nyaraja kufanya audit. Ukishaanza audit utakuwa uneshapewa kika unachohitaji, kimeandaliwa kabla hujaja. Wao pia ni wahasibu kama wewe, wanajua mahitaji. Isitoshe tayari una data za mwaka jana na mwaka juzi hii si audit mpya. Kama angesema aliomba nyaraja za SGR, zipi, akanyimwa ningeelewa, lakini alipisema aliomba za SGR NA za ndege NA za barabara nikajua si kweli, these are different audits. Na hasemi ni nyaraka gani, kwa sababu hata jina ni nyaraka, bajeti ni nyaraja, bank statement ni nyaraka, invoice ni nyaraka na risiti ni nyaraka unapewa moja kwa moja kutoka benki au kwa creditor hupitii kwa Magu. Na pale anaposema ana uzoefu na hayo mambo si kweli, ni wa chuo kikuu mtu wa library. Sitashangaa kama hata train hajapanda si mtu wa Bara.
Ummy Mwalimu njoo umchukua CPA TZ mwingine huyu hapa. Umesoma vyema alichosema ASSAD? Kasema kuna Documents hakuzikuta hivyo akaomba apewe.
 
We Ku.ma endelea kuhangaika na mitandao mi nilikua sitegemei Mtu mzee Salary yangu inangia kila mwezi na enjoy maisha hii nafasi niliopo hata aje Rais gani nitaendelea ku enjoy na kula bata
Tamba tu na hicho kinafasi subiri wakungwa wanavyo kuja kukupiga vamshy
 
Mkuu wewe huna exposure yeyote kaa kimya

uwezo wako wa kufikiri unaishia mlangoni kwako

Hapa sio darasani utakapofundishwa maana ya nyaraka

Hapa wamejaa Manguli na wataalamu wa mambo

Kama hujaelewa uzi Nenda jukwaa la mapenzi
Mshenzi sana huyo jamaa. Sijui kaandika nini. Prof. Kasema kabisa aliomba nyaraka akaupewa which means hakuwepo na nyaraka hizo. Sasa huyu mchicha mwitu anaongea uharo gani? Mungu ni mwema jiwe alikuwa anaenda kuibamiza nchi baharini tuzame wote. Hakuwa kiongozi kabisa utoto na masihara yalikuwa ni mfumo wa maisha yake.
 
Alichofanya ni utaratibu wa ilani ya chama chake, hakuna jipya
Blueprints ya hizo white elephants projects zilikuwepo donkeys ago..
Mkapa na Kikwete laid foundation...........with cautious
Yeye kakurupuka wakati anavaa pacemaker

Labda kuaachia nyie wachuuzi wanyonge mzagae mtaani na kuchafua miji kwa kisingizio cha kujiari ndio kinawafanya aonekane kafanya kitu
Asante kwa kutudharau sis wapiga kura tulio wengi.

Sis wanyonge, wachuuzi unaodhani tunazagaa badala ya kufanya kazi katika nchi yetu.

Enzi za marehemu wote tulikua sawa, naona taratibu zile Zama za unanijua mimi Nani !! Zikirejea.

Ila nakuahidi, ni swala la muda tu, watu sasa wanajielewa hasa baada ya marehemu kuwafumbua macho.
 
Ila naanza kunusa harufu ya kuondoka kwa utawala wa kidikteta na kurudi kwa utawala wa mlegezo. Kikwete yupo active sana na kila kinachosemwa sasa hivi ni calculated movie yake. Huu mradi wa Bagamoyo unapigiwa debe sana na pro Kikwete na haikuna wa kuuzuia. Ni mkataba mbovu wa kuiuza nchi yetu. Wananchi tusidhani kina Ndugai wanatupenda sana kiasi ambacho wanapenda kutuletea vitu vyenye faida.
Maelezo ya mkataba tumesikia upande mmoja tu wa mwendazake kama katupiga sound? Upelekwe bungeni kila kitu kiwe wazi ndio tutajua mbivu na mbichi
 
Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine
Umemsikiliza vizuri alivyongea? Unakumbuka alitolewa vipi ofisini? Kwa mtazamo huuhakunania ya dhati ya kuzuia haya maboacha watawala waendelee wanaovyo on inafaa ili tuwe kama ulaya
 
Kuna kitu hakiingii akilini. Unaposema aliomba maana yake ni nini? Huwa hatuombi nyaraka, huwa tunapewa nyaraja kufanya audit. Ukishaanza audit utakuwa uneshapewa kika unachohitaji, kimeandaliwa kabla hujaja. Wao pia ni wahasibu kama wewe, wanajua mahitaji. Isitoshe tayari una data za mwaka jana na mwaka juzi hii si audit mpya. Kama angesema aliomba nyaraja za SGR, zipi, akanyimwa ningeelewa, lakini alipisema aliomba za SGR NA za ndege NA za barabara nikajua si kweli, these are different audits. Na hasemi ni nyaraka gani, kwa sababu hata jina ni nyaraka, bajeti ni nyaraja, bank statement ni nyaraka, invoice ni nyaraka na risiti ni nyaraka unapewa moja kwa moja kutoka benki au kwa creditor hupitii kwa Magu. Na pale anaposema ana uzoefu na hayo mambo si kweli, ni wa chuo kikuu mtu wa library. Sitashangaa kama hata train hajapanda si mtu wa Bara.
Mkuu, labda nikuhoji kitu - hivi unataka ku-pre empty kitu gani,husitufanye Watanzania hatuna akili ya kubaini kilicho kuwa kinaendelea nyuma ya pazia.

Professor Assad is unquestionably mega smart upstairs - hapa anatumia a diplomatic language ku-drive point home, wewe unatujia na Mickey Mouse auditing jargon kwa lengo la kujaribu ku-derail mada ili Prof. Assad aonekane ni mzushi/muongo - who can take your skewed comments/remarks seriously - may be the marines.

Kwani Prof. Assad anaposema aliomba nyaraka zinazo husu: SGR,ATCL na Barabara nk hii si inadhiliisha kwamba yeye kama Auditor in Chief wahusika bila shaka wahusika wa vitengo tajwa hapo juu walipewa instructions from higher Authority kwamba wasishirikiana na Prof. Assad from day one - yeye kutumia neno "aliomba" ina maana hakupewa hii inakupa picha gani zaidi kama sio niliyo yataja hapo juu ie hawakutaka kuwa audited, swali ni: nani alikuwa anawapa jeuri ya kumdharau CAG.

Nakumbuka vizuri Watanzania tulivyo shuhudia kwa macho yetu Prof. Assad alivyo ondolewa ofisini unceremonously like a seasoned criminal, wakahakikisha wanaleta flying squad ya waadishi wa habari na TV ya taifa kuonyesha LIVE mzee wa watu anavyo timuliwa ofisi - humiliating poor Assad to the letter, kilicho msaidia Prof ni his MAKER aliye muhumba by endowing him with a nerve of steel, hakuteteleka chochote, as if that was not demonic enough wabunge wa chama tawala Bungeni wakamshambulia kweli kweli kwa maneno ya ajabu just to get even - kisa kwa nini anakuwa mkweli. Sasa ameanza kufunguka zaidi by spilling the beans, nyinyi mnaanza kuja na mbinu mpya ya kumshabulia tena ili mfunge mdomo kwa mara nyingine tena.
 
Naona wahanga wanatema nyongo.

Jambo moja tu, msisahau aliyoyafanya Mwendazake sis wananchi wa kawaida tunayaona

Je pesa alitoa wapi Kama alikua ni mpigaji?! Au shida yake ni kutofuata utaratibu?!

Wenye akili tunaelewa kinachoandaliwa, Ila kuweni makini Legacy ya JPM itawagharimu.
Kwa comment hii clueless na inayojichanganya yenyewe unadiriki vipi kujiita mwenye akili??
 
Mwehu huyo, huyu wa sasa alipewa na nani? Maana wakati anakagua bado hayati alikuwepo

Inafikirisha Sana! Kwa Maneno Yake Anasema Zilifichwa. Kama Yeye Assad Alinyimwa Kwa Nini Huyu Apewe Wakati Kazi Wanayokuwanayo kwenda Kuifanya Inafanana?

Lengo La Kumfichia Assad Lilikuwa Ni Nini Hasa Kumtoa Ofisini Au Kuzuia Madudu Ambayo CAG Huyu Wa Sasa Kaja Kuyatoa?

Binafsi Kama Yeye Alibaniwa Hata Huyu Angebaniwa Tu Kufikia Lengo. Na Kama Huyu Wa Sasa Kapewa Basi Haina Muda Ni Juzi Tu Baada Ya Mzee Kuondoka. Tunaona Tu Report Imetoka Ila Chumvi Imekuwa Nyingi Sana!

Muda Waliotumia Kutuambia Yote Ni Mfupi Sana Kulinganisha Na Uzito Wa Mambo Yenyewe!

Kinachoendelea Hapa Ni Fitna...Nchi Imekuwa Ya Mipasho Na Modern Taarab
 
Back
Top Bottom