Prof. Mussa Assad: Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya

Namshauri atulie kama Utouh alivyojikalia zake kimya, mweyewe amesema kazi zipo nyingi za kufanya atuliza ball, hii nchi Maganster wengi.
 
Assad ana ujeuri. Ila watamvamia wamtoe documents zote kama walivyomfanyia fulani.
 
Namshauri atulie kama Utouh alivyojikalia zake kimya, mweyewe amesema kazi zipo nyingi za kufanya atuliza ball, hii nchi Maganster wengi.


Huyu wala hana huo muda mchafu kupiga makelele..kwanza mtu mwenyew ni smart kuliko boss kwake kazi njee nje!naona leo Ndugai hatameza yale madawa yake acelebrate
 
Ndio maana jina lako nguruwe uliona wapi mtumishi amuulize mwajiri wake eti naendelea au hapana laana tulilahi aleik ya nguruwe
 
Inaelekea zaidi ya 95% ya wanaotumbuliwa wanakuwa na makandokando yanayowafanya waogope 'kujitetea' maana wanakuwa wanajua kuwa ukisema lolote na 'uchunguzi' ukafuatia matokeo hayabebeki.
Sasa huyu prof inaelekea anajiamini kuuliza hata kama ni 'kutii mamlaka' lakini bado anao ubavu wa kusema kulikoni.
Anyway, wengine tunaendelea kufuatilia uchukuaji fomu kwa watendaji.
 
Mazingira aliyosema alitegemea hili litokee ni mazingira gani?
 
Nami nilitaka kushangaa, yaan muajiliwa utoe taarifa kwa muajili inashangaza
 
Inaonesha alishapitia vitisho vingi sana. Inaonesha pia yalitokea mengi.
Nasikia hata mafuta walimnyima
 
Nikaonaa hataa...ngoja nijee huku "where we dare to talk openly"
 
Wote tunajua ww kila kitu unasifia hilo halina ubishi, hata utenguzi wa kichere tra ulisema sawa na leo pia unasema sawa,
 
Kuna aina za utumishi ambazo unatakiwa kutoa taarifa kama hiyo. Kwa case ya CAG kwa kuwa umri wa kustaafu kwa lazima ni miaka 65 hakutakiwa kufanya kama unavyofikiri.
 
Wa tz tunapelekwa puta mno yani,cjui tumelogwaa hau ndo mnyaazmungu kataka tuwe hivi mazezeta
 
CAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake



Huyu mzee anazeeka vibaya
Huruma ya wananchi itamsaidia Nini...anko anapenda watu wachapakazi lakini wafate maneno yake tuuu kama alivyo makonda ili credit zote zirudi Kwake, na hyo ndo siasa...lakn kwenye issue za professionalism hakuna siasa kaka...kama watu ni dhaifu ni dhaifu tuu...alafu aliyewekwa ndio dhaifu zaidi ili hata hayo madhaifu asiyagundue, kuna mengi nyuma ya Pazia tusiyoyajua wananchi. mimi naona prof ametuonea huruma sisi wananchi.
 
 
Chuma hiki......a true Son of his father! Tuna wanaume wengi wasomi but this era they behave like chickens, tigers are very few GO ASAD it shall be well with u!
Only one man with real balls Prof Mussa Assad
 
Soma katika ya Tanzania
Ukishatumikia nafasi ya CAG haruhusiwi kujiunga na chama chochote cha siasa..
 
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
Bado ana 58, msidanganywe, ukweli ni kwamba alikataa kuburuzwa na JPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…