Prof. Mussa Assad: Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya

Prof. Mussa Assad: Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya

Akapumzike nae akaleee wajukuu zake huko ,wacha kichele atulee reforms za maana kwanza
 
apo sheria inasema lazima aongezewe mda wa awamu ya pili neno shall kwenye sheria manake lazima ila ingekuwa may hapo manake ni optional
Kwa hiyo ikisema SHALL BE ELIGIBLE FOR RENEWAL...
maana yake nini...
Kwa lugha ya kawaida ni bado yuko eligible kuchaguliwa/ mkataba wake kuwa renewed BUT not necessarily has to be renewed...

Sijui inajua kuwa katib inasema pia kuwa..
Rais aliye madarakani na ni term yake ya kwanza SHALL BE ELIGIBLE FOR RE-ELECTION?
 
Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi 😛rof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya


No waaay! What! Like seriously? Kwamba CAG Profesa Musa Juma Assad ametumbuliwa na Rais Magufuli? sio kwamba muda wake kustaafu umefika? Kwamba yupo kwenye safari ya kikazi na Rais kamtumbua? Kama ndivyo ni mwendelezo wa kuvunja katiba, ibara ya 143 na 144. Ofcourse ana miaka 58!
Ooh!sawa basi baba Musa.mpe salamu mama yake pia.
 
HATA ANGEJUA ANGESEMA NINI?!

Watu wajifunze kuachana na ajira, AJIRA SIO NDOA.
 
CAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake



Huyu mzee anazeeka vibaya
Huyu uvccm vipi mbona anaongea pumba Sana hapa au shoga unatafuta basha?
 
View attachment 1253152

Yametimia. Awamu hii huwezi kudumu kama wewe ni msema kweli na usiyejua verse za mapambio ya kusifu na kuabudu.

Leo CAG Professor Mussa Assad amefurushwa ofisini kibabe kinyume na Katiba inayomlinda hadi atakapotimiza miaka 60. Muda wa Assad kwa mujibu wa Katiba ulifaa kukoma mwaka 2021 atakapotimiza miaka 60.

Kichere aliyeteuliwa kuwa CAG ni yule aliyefurushwa ukamishna Mkuu wa TRA kisha akateuliwa kuwa RAS. Yani mtu aliyeshindwa kusimamia TRA leo anapewa jukumu la Ukaguzi na Udhibiti wa Hesabu za Serikali.

Historia itamkumbuka Shujaa wetu huyu mcha Mungu Professor Mussa Assad aliyesimama kidete kufichua UFISADI WA KUTISHA Serikalini, mashirika ya umma, na taasisi mbali mbali.

Natumai ripoti inayofuata chini ya Kichere itaifurahisha sana Serikali na Bunge la Ndugai.

Professor Mussa Assad amelipa gharama ya kuusema UKWELI MCHUNGU kuhusu ufisadi wa Serikali ya awamu hii na ukweli mchungu kuhusu UDHAIFU wa bunge letu. Hii ndio gharama ya kuwa msema kweli katika Mataifa ya Afrika. Asante kwa kulipa gharama Professor Mussa Assad. Asante kwa kuonesha msimamo dhabiti usioyumba.

Asante kwa kutaa kuvilamba viatu vya wanasiasa ili. Asante kwa kuongozwa na taaluma yako na kukataa kuongozwa na TUMBO lako.
Haya maneno si ya kwako *sky
 
Mambo ya uchaguzi haya..isijekua maandalizo yanaanza ya matumizi...
 
Kama kweli anastaafu kesho kwa mujibu wa ajira yake ni sawa tu kufanya uteuzi kwa maana ya kwamba anaingia kazini baada ya kiapo pengine kesho au jumanne yenyewe. Nje ya hapo ni kutumbuliwa, ila kwangu mimi ataendelea kuwa CAG bora tangu kuwepo nafasi hiyo hapa nchini.
 
Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi - Prof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya


No waaay! What! Like seriously? Kwamba CAG Profesa Musa Juma Assad ametumbuliwa na Rais Magufuli? sio kwamba muda wake kustaafu umefika? Kwamba yupo kwenye safari ya kikazi na Rais kamtumbua? Kama ndivyo ni mwendelezo wa kuvunja katiba, ibara ya 143 na 144. Ofcourse ana miaka 58!
Ni ajabu bado kuna watu kama wewe bado mnazungumzia "kuvunjwa Katiba" kana kwamba ni jambo jipya!
Katiba? Hicho ndio kitu gani, si maandishi tu kwenye makaratasi?
 
Nimeelewa watanzania wengi ni wavivu Wa kufuatilia mambo.Swala LA CAG wengi hawalijui.swala lake liko kikatiba...
 
Wewe usie kiazi kule pale juu umesema kastaafu kwa mujibu wa sheria au mkataba umeisha kwa mujibu wa sheria?

Ni sababu nina maadili tu siwezi kukujibu hapa, ila amini kabisa nimekutukana kimoyo moyo nguruwe wewe
ha ha ha ha ha
 
Kambaku,
Ndio maana alipewa kipindi cha miaka 5,kama aliyemteua akipendezewa nae anaweza kumuongezea na kama hajapendezewa nae hata kama alikuwa na miaka 18 ataondolewa,Hakuna sehemu iliyosema ukomo wa CAG ni miaka 10 mfululizo,kama mnapenda sana Assad mchukueni na mkampikie chai .
 
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
Mkuu, sheria gani hiyo, Prof Assad ana umri wa miaka 58, kwa hiyo kumstaafisha kabla ya kutimiza umri wa miaka 60 ni kuvuja sheria ya nchi.
 
Back
Top Bottom