Prof. Mussa Assad: Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya

Prof. Mussa Assad: Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya

Dah, hii haijatulia kwakweli..! Njoja tusubiri
 
Mkuu, ulisoma shule ipi sekondari? Tuanzie hapo inawezekana tatizo ni la walimu wako.
Tatizo nyie wapiga zumari mnapiga tu wimbo uliochaguliwa na mtoa fedha,mshashiba buku 7 za lumumba mnakuja na vitu mlivyolishwa kusema,sina mda wa kukuambia nimesoma shule gani maana haina umuhimu wowote...Tafuta katiba ya nchi uiosome vizuri.
 
CAG Assad tarehe yake ya kustaafu ni kesho hivyi CAG mpya ilibidi ateuliwe Jumanne
Amezaliwa tarehe 06 October 1961, anatakiwa kustaagu akiwa na miaka 60 labda awe kama aliandika barua ya kuomba kustaafu kwa hiari na si umri wa lazima
 
Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi 😛rof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya


No waaay! What! Like seriously? Kwamba CAG Profesa Musa Juma Assad ametumbuliwa na Rais Magufuli? sio kwamba muda wake kustaafu umefika? Kwamba yupo kwenye safari ya kikazi na Rais kamtumbua? Kama ndivyo ni mwendelezo wa kuvunja katiba, ibara ya 143 na 144. Ofcourse ana miaka 58!
Ametumbuliwa kinyume na katika na kinyume sheria za nchi.
Hajawahi kutokea Rais mvunja katiba na sheria kama huyu.
 
CAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake



Huyu mzee anazeeka vibaya
Inamaana siku hizi CAG anaajiliwa kwa mkataba kinyume na katiba ya JMT?
 
Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi 😛rof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya


No waaay! What! Like seriously? Kwamba CAG Profesa Musa Juma Assad ametumbuliwa na Rais Magufuli? sio kwamba muda wake kustaafu umefika? Kwamba yupo kwenye safari ya kikazi na Rais kamtumbua? Kama ndivyo ni mwendelezo wa kuvunja katiba, ibara ya 143 na 144. Ofcourse ana miaka 58!
Wewe n mtunzi mzuri wa Riwaya na hadithi fupi fupi Hongera Sana

Huendi mbinguni
 
Sasa walivyosema amestaafu ina maana wametudanganya? Prof Assad ana miaka 58 kama miaka mi5 inaisha kesho katiba inasema anaongezewa term 1 nyingine (wametumia shall maana yake ni lazima aongezewe)....Ikifika 60 ndio ana option ya kustaafu.
Nilifikiri hivyo pia. Naona kama kaonewa.
 
Prof Assad ni wakati sasa wa kufanya kazi ya Mungu njoo mtaani, kuna sisi ambao tuko tayari ku volunteer kwenye Organisation yako
 
Nilifikiri hivyo pia. Naona kama kaonewa.
Hapa katiba imevunjwa na ndio maana nilisema tangia awali kama awamu hii haitaki watu wahoji basi wafute vyama vingi na wafute kabisa katiba tujiendeshe tu kwa mujibu wa raisi atakavyotaka basi.
 
Hapa siyo tu Jiwe anavunja KATIBA bali ANAVUNJA KATIBA na KUISIGINA.
 
*CAG Office baada ya uhuru*
Mr RW A McColl 1961 - 63
Gordon A Hutchnson 1964 - 96
Thomas Kahama 1996 - 05
Ludovick Utouh 2006 - 14
Mussa Assad 2014 - Now
Haonwanaosem mkataba wa miaka 5 umeisha tunaomba watuambia mabadiliko hayo ya sheria yamefanyika lini?
 
We fuala kwelii Prof.Mussa atafaute huruma? Ili iweje
CAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake



Huyu mzee anazeeka vibaya
 
Back
Top Bottom