Prof. Mussa Assad: Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya

Prof. Mussa Assad: Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya

Wewe usie kiazi kule pale juu umesema kastaafu kwa mujibu wa sheria au mkataba umeisha kwa mujibu wa sheria?

Ni sababu nina maadili tu siwezi kukujibu hapa, ila amini kabisa nimekutukana kimoyo moyo nguruwe wewe
Mkuu Kambaku,unalinganisha "dhahabu (nguruwe)" na "matope (huyo jamaa)"!!??
 
Hakuna anasema muda bado

Kuwa makini kuna siasa kwenye jambo hili tena siasa za kiccm
20191103_170755.png

Anasema? wewe huwezi tumia akili aliingia lini na kujua wewe wenyewe bila yeye kukwambia?
Soma vifungu hapo na tenure of office.
 
Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi 😛rof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya


No waaay! What! Like seriously? Kwamba CAG Profesa Musa Juma Assad ametumbuliwa na Rais Magufuli? sio kwamba muda wake kustaafu umefika? Kwamba yupo kwenye safari ya kikazi na Rais kamtumbua? Kama ndivyo ni mwendelezo wa kuvunja katiba, ibara ya 143 na 144. Ofcourse ana miaka 58!
Sasa walivyosema amestaafu ina maana wametudanganya? Prof Assad ana miaka 58 kama miaka mi5 inaisha kesho katiba inasema anaongezewa term 1 nyingine (wametumia shall maana yake ni lazima aongezewe)....Ikifika 60 ndio ana option ya kustaafu.
 
Yametimia. Awamu hii huwezi kudumu kama wewe ni msema kweli na usiyejua verse za mapambio ya kusifu na kuabudu.

Leo CAG Professor Mussa Assad amefurushwa ofisini kibabe kinyume na Katiba inayomlinda hadi atakapotimiza miaka 60. Muda wa Assad kwa mujibu wa Katiba ulifaa kukoma mwaka 2021 atakapotimiza miaka 60.

Kichere aliyeteuliwa kuwa CAG ni yule aliyefurushwa ukamishna Mkuu wa TRA kisha akateuliwa kuwa RAS. Yani mtu aliyeshindwa kusimamia TRA leo anapewa jukumu la Ukaguzi na Udhibiti wa Hesabu za Serikali.

Historia itamkumbuka Shujaa wetu huyu mcha Mungu Professor Mussa Assad aliyesimama kidete kufichua UFISADI WA KUTISHA Serikalini, mashirika ya umma, na taasisi mbali mbali.

Natumai ripoti inayofuata chini ya Kichere itaifurahisha sana Serikali na Bunge la Ndugai.

Professor Mussa Assad amelipa gharama ya kuusema UKWELI MCHUNGU kuhusu ufisadi wa Serikali ya awamu hii na ukweli mchungu kuhusu UDHAIFU wa bunge letu. Hii ndio gharama ya kuwa msema kweli katika Mataifa ya Afrika. Asante kwa kulipa gharama Professor Mussa Assad. Asante kwa kuonesha msimamo dhabiti usioyumba.

Asante kwa kutaa kuvilamba viatu vya wanasiasa ili. Asante kwa kuongozwa na taaluma yako na kukataa kuongozwa na TUMBO lako.

Remmy Cameroon
Sauti ya wasio na sauti
FB_IMG_1572790585041.jpg
 
Unaambiwa atafanya kazi kwa miaka mitano na ataongezwa kama atafaa asipofaa ataachwa
Lazima aongezewe miaka m5 kwa mujibu wa katiba kama hafai inabidi watumie kifungu kingine cha katiba kumuondoa na si kwamba amemliza miaka mi5 ya mkataba.
 
Huyo mkurugenzi na CAG ni nafasi mbili tofauti mkuu. Uteuzi wake na kustaafiishwa kwake taratibu zake ni mbingu na dunia.
Miaka mitano imeisha. Boss wake hakutaka kumrenew mkataba. Sasa si katumbuliwa jamani. Ludovic Utouh boss wake aliamua kymuongezea mkataba baada ya miaka mitano mpaka alipostaafu kwa mujibu wa sheria.
 
CAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake



Huyu mzee anazeeka vibaya
Mjinga sn ww unaijua cv yake lkn
 
Sasa walivyosema amestaafu ina maana wametudanganya? Prof Assad ana miaka 58 kama miaka mi5 inaisha kesho katiba inasema anaongezewa term 1 nyingine (wametumia shall maana yake ni lazima aongezewe)....Ikifika 60 ndio ana option ya kustaafu.
Mkuu, ulisoma shule ipi sekondari? Tuanzie hapo inawezekana tatizo ni la walimu wako.
 
Acheni uhuni muda wake umefika kustafu huyu mzee,,,,,
 
Labda kama hii nchi ni yako, wewe siyo CAG wa kwanza Jamhuri hii, walikuja wengine wakapita pia, be a man and accept.

Good riddance man!
 
Kila nikijaribu kumuona huyu bwana mkubwa ni mtu mbinafsi ambaye hakustail kupewa hyo nafas,,ni unafiki mtupu
 
Back
Top Bottom