Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof Mussa Assad ameeleza namna alivyopata taarifa za kutenguliwa kwake katika nafasi hiyo.

“Utenguzi wangu kuna mtu alinipigia simu siku moja kabla kuhusu utenguzi wangu, na saa moja kabla ya taarifa kutoka nikapigiwa simu tena basi nikampa funguo yule dereva wangu yeye akarudi Dodoma mimi nikapanda ndege kurudi Dar” Prof Mussa Assad CAG wa zamani.

Lakini pia siku naenda ofisi ambapo nilikuwa bado ni CAG kwa sababu nilikuwa naondosha tarehe nne lakini nakutana na vijana Ofisi kwangu, vijana wananiambia Profesa huko juu kuna watu na tunahisi hautoweza kuingia ofisi kwako. Ni kawambia no hakuna mtu anaweza kuniingilia leo tarehe 3 nataka kuangalia ofisi yangu kuclose mafails ili kesho niondoe vitu vyangu.

Nikapanda juu gholofa ya 3 naona vijana wawili kwenye mlango wamekaa nikawafuata, jamani vipi haa Profesa sisi tumetumwa tukae hapa na wewe leo usiingie ofisini kwako. Nikasema nani amewatuma? wakajibu sisi tumetumwa na viongozi wetu. Nikauliza hivi kiongozi wako anajuwa leo tarehe 3? Akajibu anajuwa lakini sisi tumeambiwa tukae hapa tusiondoke.

Basi mimi nikawaambia napiga simu sahivi nikashuka chini gholofa ya pili kijana mmoja naye akashuka eh Profesa wewe njoo kesho asubhi hapa utaingia mimi nikamwambia nataka kuingia leo nikampigia simu Chief secretary. Lakini si kutaka kurudi tena juu nikaamua kuondoka zangu kurudi nyumbani kwangu.

Prof Mussa Assad aliteuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 05, mwezi Novemba 2014 na kuhudumu katika nafasi hii mpaka tarehe 04, Novemba 2019 ambapo muda wake wa utumishi ulimalizika.

Soma Pia:
Prof Mussa Assad alifanya kazi kwenye awamu ya nne ya Urais ambaye Rais alikuwa Jakaya Kikwete na awamu ya tano Rais alikuwa Hayati Joseph Magufuli.

 
Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof Mussa Assad ameeleza namna alivyopata taarifa za kutenguliwa kwake katika nafasi hiyo.

“Utenguzi wangu kuna mtu alinipigia simu siku moja kabla kuhusu utenguzi wangu, na saa moja kabla ya taarifa kutoka nikapigiwa simu tena basi nikampa funguo yule dereva wangu yeye akarudi Dodoma mimi nikapanda ndege kurudi Dar” Prof Mussa Assad CAG wa zamani.

Prof Mussa Assad aliteuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 05, mwezi Novemba 2014 na kuhudumu katika nafasi hii mpaka tarehe 04, Novemba 2019 ambapo muda wake wa utumishi ulimalizika.
Kwa hiyo mpaka leo anawazia UCAG?Hiyo ni kuchanganyikiwa kabisa. Alitaka awe CAG wa maisha?
 
Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof Mussa Assad ameeleza namna alivyopata taarifa za kutenguliwa kwake katika nafasi hiyo.

“Utenguzi wangu kuna mtu alinipigia simu siku moja kabla kuhusu utenguzi wangu, na saa moja kabla ya taarifa kutoka nikapigiwa simu tena basi nikampa funguo yule dereva wangu yeye akarudi Dodoma mimi nikapanda ndege kurudi Dar” Prof Mussa Assad CAG wa zamani.

Lakini pia siku naenda ofisi ambapo nilikuwa bado ni CAG kwa sababu nilikuwa naondosha tarehe nne lakini nakutana na vijana Ofisi kwangu, vijana wananiambia Profesa huko juu kuna watu na tunahisi hautoweza kuingia ofisi kwako. Ni kawambia no hakuna mtu anaweza kuniingilia leo tarehe 3 nataka kuangalia ofisi yangu kuclose mafails ili kesho niondoe vitu vyangu.

Nikapanda juu gholofa ya 3 naona vijana wawili kwenye mlango wamekaa nikawafuata, jamani vipi haa Profesa sisi tumetumwa tukae hapa na wewe leo usiingie ofisini kwako. Nikasema nani amewatuma? wakajibu sisi tumetumwa na viongozi wetu. Nikauliza hivi kiongozi wako anajuwa leo tarehe 3? Akajibu anajuwa lakini sisi tumeambiwa tukae hapa tusiondoke.

Basi mimi nikawaambia napiga simu sahivi nikashuka chini gholofa ya pili kijana mmoja naye akashuka eh Profesa wewe njoo kesho asubhi hapa utaingia mimi nikamwambia nataka kuingia leo nikampigia simu Chief secretary. Lakini si kutaka kurudi tena juu nikaamua kuondoka zangu kurudi nyumbani kwangu.

Prof Mussa Assad aliteuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 05, mwezi Novemba 2014 na kuhudumu katika nafasi hii mpaka tarehe 04, Novemba 2019 ambapo muda wake wa utumishi ulimalizika.

Soma Pia:
Prof Mussa Assad alifanya kazi kwenye awamu ya nne ya Urais ambaye Rais alikuwa Jakaya Kikwete na awamu ya tano Rais alikuwa Hayati Joseph Magufuli.

Zile enzi za giza za awamu ya tano bado zinaendelea kupitia Samia Suluhu Hassan.
 
Lakini kwa kufuata sheria na taratibu za kumwondoa si kutumia mabavu na ubabe.Hii ndio hoja kuu.
Sheria ipi sasa angetumia ili kumuondoa kulingana hizo sababu zilizofanya hadi amuondoe? Kilichomkuta Assad ni sawa tu na Ndugai na ndio maana nasema hata angekuwepo kipindi cha Samia bado Assad angetolewa tu.

Magufuli na Assad ugomvi wao ni kabla hata Magufuli hajawa rais.
 
Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof Mussa Assad ameeleza namna alivyopata taarifa za kutenguliwa kwake katika nafasi hiyo.

“Utenguzi wangu kuna mtu alinipigia simu siku moja kabla kuhusu utenguzi wangu, na saa moja kabla ya taarifa kutoka nikapigiwa simu tena basi nikampa funguo yule dereva wangu yeye akarudi Dodoma mimi nikapanda ndege kurudi Dar” Prof Mussa Assad CAG wa zamani.

Lakini pia siku naenda ofisi ambapo nilikuwa bado ni CAG kwa sababu nilikuwa naondosha tarehe nne lakini nakutana na vijana Ofisi kwangu, vijana wananiambia Profesa huko juu kuna watu na tunahisi hautoweza kuingia ofisi kwako. Ni kawambia no hakuna mtu anaweza kuniingilia leo tarehe 3 nataka kuangalia ofisi yangu kuclose mafails ili kesho niondoe vitu vyangu.

Nikapanda juu gholofa ya 3 naona vijana wawili kwenye mlango wamekaa nikawafuata, jamani vipi haa Profesa sisi tumetumwa tukae hapa na wewe leo usiingie ofisini kwako. Nikasema nani amewatuma? wakajibu sisi tumetumwa na viongozi wetu. Nikauliza hivi kiongozi wako anajuwa leo tarehe 3? Akajibu anajuwa lakini sisi tumeambiwa tukae hapa tusiondoke.

Basi mimi nikawaambia napiga simu sahivi nikashuka chini gholofa ya pili kijana mmoja naye akashuka eh Profesa wewe njoo kesho asubhi hapa utaingia mimi nikamwambia nataka kuingia leo nikampigia simu Chief secretary. Lakini si kutaka kurudi tena juu nikaamua kuondoka zangu kurudi nyumbani kwangu.

Prof Mussa Assad aliteuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 05, mwezi Novemba 2014 na kuhudumu katika nafasi hii mpaka tarehe 04, Novemba 2019 ambapo muda wake wa utumishi ulimalizika.

Soma Pia:
Prof Mussa Assad alifanya kazi kwenye awamu ya nne ya Urais ambaye Rais alikuwa Jakaya Kikwete na awamu ya tano Rais alikuwa Hayati Joseph Magufuli.



PROF ASSAD MPAKA LEO ANATESEKA SANA NA UCAG . MBONA WENZAKE WALISHANYAMAZA? INAONEKANA AMEATHIRIKA SANA KISAIKOLOJIA ZAIDI YA MIAKA 3 WIMBO NI ULE ULE. ALITAKA AWE CAG MILELE? INAONEKANA ANAPENDA SANA VYEO.
 
PROF ASSAD MPAKA LEO ANATESEKA SANA NA UCAG . MBONA WENZAKE WALISHANYAMAZA? INAONEKANA AMEATHIRIKA SANA KISAIKOLOJIA ZAIDI YA MIAKA 3 WIMBO NI ULE ULE. ALITAKA AWE CAG MILELE? INAONEKANA ANAPENDA SANA VYEO.
Mtu yoyote yule mwenye nia safi, akifanyiwa injustice huwa hawasahau, aliondolewa bila utaratibu baada ya kuibua madudu ambayo yalichafua legacy, badala ya kudeal na wahusika kiongoz akaona a deal nae, na maeneo mengine yasikaguliwe.

So sio suala la kukaa kimya, huyu baba ni mkweli na hana doa kwenye file lake.

Kukaa kimya ndio huwa kunaruhusu viongoz waovu kuendelea na mambo na ajabu
 
Mtu yoyote yule mwenye nia safi, akifanyiwa injustice huwa hawasahau, aliondolewa bila utaratibu baada ya kuibua madudu ambayo yalichafua legacy, badala ya kudeal na wahusika kiongoz akaona a deal nae, na maeneo mengine yasikaguliwe.

So sio suala la kukaa kimya, huyu baba ni mkweli na hana doa kwenye file lake.

Kukaa kimya ndio huwa kunaruhusu viongoz waovu kuendelea na mambo na ajabu

MWENYE NIA SAFI HUWEZI MKUTA ANALALAMIKA HIVI KAMA VILE ALIZALIWA AWE CAG. LAZIMA MAISHA YAENDELEE. AACHE KULIA KULIA. ALIJUA ANGEKUWA CAG MILELE? MLALAMISHI KAMA MWANAMKE.
 
Sheria ipi sasa angetumia ili kumuondoa kulingana hizo sababu zilizofanya hadi amuondoe? Kilichomkuta Assad ni sawa tu na Ndugai na ndio maana nasema hata angekuwepo kipindi cha Samia bado Assad angetolewa tu.

Magufuli na Assad ugomvi wao ni kabla hata Magufuli hajawa rais.
Kwa sentensi yako ya mwisho,hiyo ya kuwa sawa na ndugai inakua void
 
MWENYE NIA SAFI HUWEZI MKUTA ANALALAMIKA HIVI KAMA VILE ALIZALIWA AWE CAG. LAZIMA MAISHA YAENDELEE. AACHE KULIA KULIA. ALIJUA ANGEKUWA CAG MILELE? MLALAMISHI KAMA MWANAMKE.
Hivi unafikiri kwa record na cv yake huyo bwana ana shida na hiyo nafasi? Unajua before CAG, amefanya kazi wapi?
Mostly ni taasis kubwa za kifedha dunanian, nje ya nchi hii. Kwa taarifa yako aliitwa na marehemu, hakutaka ila aliitwa akiwa bado yupo nje

Kulalamika hamaanishi anataka, but yaliyotokea ni upumbavu. Huwez kufunika waovu halaf uka deal na alie uibua. Jiwe asingemuita kutoka nje
 
Mtu yoyote yule mwenye nia safi, akifanyiwa injustice huwa hawasahau, aliondolewa bila utaratibu baada ya kuibua madudu ambayo yalichafua legacy, badala ya kudeal na wahusika kiongoz akaona a deal nae, na maeneo mengine yasikaguliwe.

So sio suala la kukaa kimya, huyu baba ni mkweli na hana doa kwenye file lake.

Kukaa kimya ndio huwa kunaruhusu viongoz waovu kuendelea na mambo na ajabu
Yani kiongozi anajitapa mbele yabcamera tumekomesha wizi ripoti ya ukaguzi ikitoka anasema anachafuliwa yeye nani aaaamue eti mie nimenyoooka yani utumie pesa hovyo afu ulalamike kukaguliwa sijui viongozi wa developing countries watajifunza lini
 
Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof Mussa Assad ameeleza namna alivyopata taarifa za kutenguliwa kwake katika nafasi hiyo.

“Utenguzi wangu kuna mtu alinipigia simu siku moja kabla kuhusu utenguzi wangu, na saa moja kabla ya taarifa kutoka nikapigiwa simu tena basi nikampa funguo yule dereva wangu yeye akarudi Dodoma mimi nikapanda ndege kurudi Dar” Prof Mussa Assad CAG wa zamani.

Lakini pia siku naenda ofisi ambapo nilikuwa bado ni CAG kwa sababu nilikuwa naondosha tarehe nne lakini nakutana na vijana Ofisi kwangu, vijana wananiambia Profesa huko juu kuna watu na tunahisi hautoweza kuingia ofisi kwako. Ni kawambia no hakuna mtu anaweza kuniingilia leo tarehe 3 nataka kuangalia ofisi yangu kuclose mafails ili kesho niondoe vitu vyangu.

Nikapanda juu gholofa ya 3 naona vijana wawili kwenye mlango wamekaa nikawafuata, jamani vipi haa Profesa sisi tumetumwa tukae hapa na wewe leo usiingie ofisini kwako. Nikasema nani amewatuma? wakajibu sisi tumetumwa na viongozi wetu. Nikauliza hivi kiongozi wako anajuwa leo tarehe 3? Akajibu anajuwa lakini sisi tumeambiwa tukae hapa tusiondoke.

Basi mimi nikawaambia napiga simu sahivi nikashuka chini gholofa ya pili kijana mmoja naye akashuka eh Profesa wewe njoo kesho asubhi hapa utaingia mimi nikamwambia nataka kuingia leo nikampigia simu Chief secretary. Lakini si kutaka kurudi tena juu nikaamua kuondoka zangu kurudi nyumbani kwangu.

Prof Mussa Assad aliteuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 05, mwezi Novemba 2014 na kuhudumu katika nafasi hii mpaka tarehe 04, Novemba 2019 ambapo muda wake wa utumishi ulimalizika.

Soma Pia:
Prof Mussa Assad alifanya kazi kwenye awamu ya nne ya Urais ambaye Rais alikuwa Jakaya Kikwete na awamu ya tano Rais alikuwa Hayati Joseph Magufuli.

Nafasi hii inamuuma sana. Ni kawaida maofisi ya umma kutumbuliwa.
 
Ukipokea uteuzi ukubali pia kupokea utenguzi. Kila boss anataka kufanya kazi na mtu anayehisi anamfaa na anayeendana naye, hivi vyeo ni dhamana na kila mtanzania ana haki ya kuvihudumu kama anazo sifa na uwezo, sasa kwa nini utenguzi wake umuume kiasi hicho nini kilikuwa nyuma ya pazia? Mbona waliotenguliwa ni wengi toka nchi hii ianze?
 
Yani kiongozi anajitapa mbele yabcamera tumekomesha wizi ripoti ya ukaguzi ikitoka anasema anachafuliwa yeye nani aaaamue eti mie nimenyoooka yani utumie pesa hovyo afu ulalamike kukaguliwa sijui viongozibwa developing countries watajifunza.
Kabisa yaani, na hizi report zinachukuliwa poa sababu zinaibua sana madudu yao.
Sasa kuna haja gani ya kuwa na CAG?
 
Back
Top Bottom