Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akaushe sasa, story ile ile miaka na miaka. Wangapi wametumbuliwa kwa taratibu na bila taratibu? Mwele Malecela? Si alienda kufanya kazi WHO baada ya kutumbuliwa.Hivi unafikiri kwa record na cv yake huyo bwana ana shida na hiyo nafasi? Unajua before CAG, amefanya kazi wapi?
Mostly ni taasis kubwa za kifedha dunanian, nje ya nchi hii. Kwa taarifa yako aliitwa na marehemu, hakutaka ila aliitwa akiwa bado yupo nje
Kulalamika hamaanishi anataka, but yaliyotokea ni upumbavu. Huwez kufunika waovu halaf uka deal na alie uibua. Jiwe asingemuita kutoka nje
Umeandika upuuzi na utoto.Kwa hiyo mpaka leo anawazia UCAG?Hiyo ni kuchanganyikiwa kabisa. Alitaka awe CAG wa maisha?
😀😀😀Aise, sasa kumbe hana mke😎😎 but he gains weight a lot.
Huyu mzee ancheza n vichwa vya watu, anadhani kuwa kila mtu ni mjinga, Yeye aliewa ajira ya mkataba wa miaka 5 na uwezekano wa kupewa mkataba mwingine. Mkataaba mwingune ilikuwa ni uwezekano na wala sio lazima. Sasa mkataba wa kwanza unaisha yeye anadanganywa na watu fulani kuwa mkataba mwingine upo kumbe haupo. Hakufukuzwa kazi, na seme hivyo. Ni kwamba mkataba mwinggine hakupewa. Mbona anasema aliondolewwa kazini? Anadhani wote waTZ ni mbumbumbu?Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof Mussa Assad ameeleza namna alivyopata taarifa za kutenguliwa kwake katika nafasi hiyo.
“Utenguzi wangu kuna mtu alinipigia simu siku moja kabla kuhusu utenguzi wangu, na saa moja kabla ya taarifa kutoka nikapigiwa simu tena basi nikampa funguo yule dereva wangu yeye akarudi Dodoma mimi nikapanda ndege kurudi Dar” Prof Mussa Assad CAG wa zamani.
Lakini pia siku naenda ofisi ambapo nilikuwa bado ni CAG kwa sababu nilikuwa naondosha tarehe nne lakini nakutana na vijana Ofisi kwangu, vijana wananiambia Profesa huko juu kuna watu na tunahisi hautoweza kuingia ofisi kwako. Ni kawambia no hakuna mtu anaweza kuniingilia leo tarehe 3 nataka kuangalia ofisi yangu kuclose mafails ili kesho niondoe vitu vyangu.
Nikapanda juu gholofa ya 3 naona vijana wawili kwenye mlango wamekaa nikawafuata, jamani vipi haa Profesa sisi tumetumwa tukae hapa na wewe leo usiingie ofisini kwako. Nikasema nani amewatuma? wakajibu sisi tumetumwa na viongozi wetu. Nikauliza hivi kiongozi wako anajuwa leo tarehe 3? Akajibu anajuwa lakini sisi tumeambiwa tukae hapa tusiondoke.
Basi mimi nikawaambia napiga simu sahivi nikashuka chini gholofa ya pili kijana mmoja naye akashuka eh Profesa wewe njoo kesho asubhi hapa utaingia mimi nikamwambia nataka kuingia leo nikampigia simu Chief secretary. Lakini si kutaka kurudi tena juu nikaamua kuondoka zangu kurudi nyumbani kwangu.
Prof Mussa Assad aliteuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 05, mwezi Novemba 2014 na kuhudumu katika nafasi hii mpaka tarehe 04, Novemba 2019 ambapo muda wake wa utumishi ulimalizika.
Soma Pia:
Prof Mussa Assad alifanya kazi kwenye awamu ya nne ya Urais ambaye Rais alikuwa Jakaya Kikwete na awamu ya tano Rais alikuwa Hayati Joseph Magufuli.
- Prof. Mussa Assad atoa maoni yake kuhusu Ripoti ya CAG, asikitishwa na yanayoendelea
- Profesa Assad: Nashutumiwa bila ya makosa na naichukulia hatua hiyo ya Bunge kwa utulivu, suala hilo halinisumbui
- CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya
Punguza manenoKwa hiyo mpaka leo anawazia UCAG?Hiyo ni kuchanganyikiwa kabisa. Alitaka awe CAG wa maisha?
Ni kikwete bana sio Magufuli aliyemteua.Kwa taarifa yako aliitwa na marehemu, hakutaka ila aliitwa akiwa bado yupo nje
Lazima ukweli ufahamike we boya.Kwa hiyo mpaka leo anawazia UCAG?Hiyo ni kuchanganyikiwa kabisa. Alitaka awe CAG wa maisha?
Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu chochote kabisa!Lakini kwa kufuata sheria na taratibu za kumwondoa si kutumia mabavu na ubabe.Hii ndio hoja kuu.
Ulipata mgao wa Ile 1.5 trillion bila shaka.Mwambieni Profesa akiachwa aachike. Watanzania tupo zaidi ya 60M.
PROF ASSAD MPAKA LEO ANATESEKA SANA NA UCAG . MBONA WENZAKE WALISHANYAMAZA? INAONEKANA AMEATHIRIKA SANA KISAIKOLOJIA ZAIDI YA MIAKA 3 WIMBO NI ULE ULE. ALITAKA AWE CAG MILELE? INAONEKANA ANAPENDA SANA VYEO.
Huyu Bado analalamika au? 🤪🤪Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof Mussa Assad ameeleza namna alivyopata taarifa za kutenguliwa kwake katika nafasi hiyo.
“Utenguzi wangu kuna mtu alinipigia simu siku moja kabla kuhusu utenguzi wangu, na saa moja kabla ya taarifa kutoka nikapigiwa simu tena basi nikampa funguo yule dereva wangu yeye akarudi Dodoma mimi nikapanda ndege kurudi Dar” Prof Mussa Assad CAG wa zamani.
Lakini pia siku naenda ofisi ambapo nilikuwa bado ni CAG kwa sababu nilikuwa naondosha tarehe nne lakini nakutana na vijana Ofisi kwangu, vijana wananiambia Profesa huko juu kuna watu na tunahisi hautoweza kuingia ofisi kwako. Ni kawambia no hakuna mtu anaweza kuniingilia leo tarehe 3 nataka kuangalia ofisi yangu kuclose mafails ili kesho niondoe vitu vyangu.
Nikapanda juu gholofa ya 3 naona vijana wawili kwenye mlango wamekaa nikawafuata, jamani vipi haa Profesa sisi tumetumwa tukae hapa na wewe leo usiingie ofisini kwako. Nikasema nani amewatuma? wakajibu sisi tumetumwa na viongozi wetu. Nikauliza hivi kiongozi wako anajuwa leo tarehe 3? Akajibu anajuwa lakini sisi tumeambiwa tukae hapa tusiondoke.
Basi mimi nikawaambia napiga simu sahivi nikashuka chini gholofa ya pili kijana mmoja naye akashuka eh Profesa wewe njoo kesho asubhi hapa utaingia mimi nikamwambia nataka kuingia leo nikampigia simu Chief secretary. Lakini si kutaka kurudi tena juu nikaamua kuondoka zangu kurudi nyumbani kwangu.
Prof Mussa Assad aliteuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 05, mwezi Novemba 2014 na kuhudumu katika nafasi hii mpaka tarehe 04, Novemba 2019 ambapo muda wake wa utumishi ulimalizika.
Soma Pia:
Prof Mussa Assad alifanya kazi kwenye awamu ya nne ya Urais ambaye Rais alikuwa Jakaya Kikwete na awamu ya tano Rais alikuwa Hayati Joseph Magufuli.
- Prof. Mussa Assad atoa maoni yake kuhusu Ripoti ya CAG, asikitishwa na yanayoendelea
- Profesa Assad: Nashutumiwa bila ya makosa na naichukulia hatua hiyo ya Bunge kwa utulivu, suala hilo halinisumbui
- CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya
Unajuaje kama ni msenge??au basi labda wewe ni mtu unaefanyiwa michezo hiyo pia...Huyu mzee msenge ana ego mbaya sana, anajisikia sana na hajali shida za wengine
Hao wawili walikuwa na tofauti zao toka zamani, Assad alikuwa anatumia hiyo nafasi yake kama silaha ya mashambulizi na ndio maana ilimuuma sana mwenzake alipommaliza kwa kumtoa kwenye hiyo nafasi.Nafasi hii inamuuma sana. Ni kawaida maofisi ya umma kutumbuliwa.