Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Huyu mzee ancheza n vichwa vya watu, anadhani kuwa kila mtu ni mjinga, Yeye aliewa ajira ya mkataba wa miaka 5 na uwezekano wa kupewa mkataba mwingine. Mkataaba mwingune ilikuwa ni uwezekano na wala sio lazima. Sasa mkataba wa kwanza unaisha yeye anadanganywa na watu fulani kuwa mkataba mwingine upo kumbe haupo. Hakufukuzwa kazi, na seme hivyo. Ni kwamba mkataba mwinggine hakupewa. Mbona anasema aliondolewwa kazini? Anadhani wote waTZ ni mbumbumbu?
CAG Assad aliondolewa kwenye nafasi hiyo kabla ya wakati. Inasemwa kwamba rais akishateua CAG hatakiwiki kumuingilia kwenye kazi zake wala kumtengua hadi atakapostaafu kwa taratibu za kiutumishi. Au wakati anaondolewa kazini hukuwa na smartphone?
 
Shida ipi??

CAG Assad aliteuliwa na Jk,na so far alikuwa anafanya kazi yake vizuri tuh

Na ASSAD yeye alikuwa ni mwalimu tuh pale chuo kikuu,ugomvi na magufuli utokee wapi??

Au may be magufuli alikuwa hampendi ASSAD kama vile ambavyo alikuwa hampendi DAU kwa kuwa anajua ni waislam safi wanaojitambua??basi may be ni chuki za udini tuh...

Nikuulize wewe katika utendajii wake wa kazi ASSAD alikosea nini hadi magufuli awe na chuki nae kiasi hiko??
Wewe Unafikiri Assad kaanza kumsema Magufuli baada ya Magufuli kumfukuza kwenye hiyo nafasi? Huyo jamaa toka alipoteuliwa kuwa CAG wakati huo Magufuli ni waziri tu.
 
HAKUZALIWA NAYO KAMA ALITEULIWA ANAWEZA TENGULIWA. AACHE KULIA LIA. SI KUNA MAISHA MENGINE? ANA MADEKO SANA HUYU JAMAA. HAKUZALIWA AWE CAG. ALISHATOLEWA NA ALIYEMTOA ALISHAFARIKI. SO ASONGE MBELE. WHY MPAKA LEO ANA KINYONGO? AACHE KUWA MPUMBAVU PROF MZIMA.
Yeye amejibu alichoulizwa, hakuna mahali ameitisha mkutano akaanza kulilia huo uCAG.
 
HATA KAMA WEWE NI MTUMISHI KUNA TARATIBU ZA KUNDOLEWA KAZINI NA KUPEWA HAKI ZAKO.

KAMA ALIEMTEUA ANA HAKI YA KUMTENGUA KWA POSITION KAMA ILE KUNA UTARATIBU WA KIKATIBA AMBAO LAZIMA UFUATWE,EITHER ATIMIZIE MIAKA 60 AU AJIUZULU KWA HIYARI YAKE,KATIBA NDIYO INASEMA HIVYO...

ALIEMTENGUA KAFA NI KWELI KAFA,LAKINI ALIMTENGUA KAMA RAIS NA HAKUMTENGUA KAMA MAGUFULI,TAASISI YA URAISI BADO IPO NA YEYE BADO ANAWEZA KUDAI HAKI YAKE,TAMBUA HIVYO.

KAMA ANADAI HAKI SI TARATIBU ZIPO SIYO MWANAUME KULIA LIA KWENYE VYOMBO VYA HABARI. AJAZE FORM YA MADAI NA AANDIKE BARUA. LAKINI YEYE MIAKA 3 HII AMESHINDWA KWENDA MWONA SAMIA AKAMPATIA PESA ANAZO TAKA? AACHE UBWEGE. YEYE AKIWA ANALIA LIA NA NYIE WENGINE MFANYEJE SASA?
 
PROF ASSAD MPAKA LEO ANATESEKA SANA NA UCAG . MBONA WENZAKE WALISHANYAMAZA? INAONEKANA AMEATHIRIKA SANA KISAIKOLOJIA ZAIDI YA MIAKA 3 WIMBO NI ULE ULE. ALITAKA AWE CAG MILELE? INAONEKANA ANAPENDA SANA VYEO.
Ungemkataza Mwandishi wa habari asimwoji...au ulitaka asijibu swali aliloulizwa? Rais Mwinyi alikuwa anasimulia sababu iliyopelekea akajiuzulu akihojiwa na mtu mpaka siku mauti yanamkuta...hapo utasemaje?
 
Akaushe sasa, story ile ile miaka na miaka. Wangapi wametumbuliwa kwa taratibu na bila taratibu? Mwele Malecela? Si alienda kufanya kazi WHO baada ya kutumbuliwa.
Ameulizwa swali hukutaka ajibu? Au nongwa ya nini sasa.
 
Hivi unafikiri kwa record na cv yake huyo bwana ana shida na hiyo nafasi? Unajua before CAG, amefanya kazi wapi?
Mostly ni taasis kubwa za kifedha dunanian, nje ya nchi hii. Kwa taarifa yako aliitwa na marehemu, hakutaka ila aliitwa akiwa bado yupo nje

Kulalamika hamaanishi anataka, but yaliyotokea ni upumbavu. Huwez kufunika waovu halaf uka deal na alie uibua. Jiwe asingemuita kutoka nje
Marehemu gan mkuu wakat alianza 2014???
 
Huyu mzee nae sasa apumzike kwa amani nchi ina vingi kwa sasa kuliko hicho cheo sio mali yake binafsi
 
Ungemkataza Mwandishi wa habari asimwoji...au ulitaka asijibu swali aliloulizwa? Rais Mwinyi alikuwa anasimulia sababu iliyopelekea akajiuzulu akihojiwa na mtu mpaka siku mauti yanamkuta...hapo utasemaje?

AAACHE KUTAFUTA HURUMA. AJIFUNZE KUACHANA NA MASWALI YA KIPUMBAVU.
 
Kwa hiyo mpaka leo anawazia UCAG?Hiyo ni kuchanganyikiwa kabisa. Alitaka awe CAG wa maisha?
Kwenye hiyo habari ndio ulichoambulia hicho?

Kuna mahali nimeona Tanzania inaongoza kwa Ujinga Afrika nzima.
 
I think atakuwa ni KAFIRI,na mara nyingi MAKAFIRI hususani hawa wanaoabudu kwa mwamposa and the likes chuki zao hazina kifani kwa waislam.
nadhan shida ipo mahali. assad kaulizwq swal ilikuwaje waje enz za u cag. historia hawez kusema aah unajua unajua
anatoa stori tu ilivokuwa, bado namsifu anatoa zandqn ndan kadiri muda unavoenda, nan anajua kuwa kumbe alijua siku moja kabla? akakuta gadi mlangoni? hebu tuache chuki za kidini. ooh nsssf ilikua udin usdin, na nakiri hakuna kipind nsf ilikua na maisha mazur.expensive life kama kipind cha dau.watu walikua wanaeaka waka hakiamungu. nakumbuka mshkaj wang mmoja alikua ndio kapata kaz enz hizo nssf yan bukoba ila ndege dar mara kwa mara.kanenepa ila sijui sasa kakukbwa na nin simskiii tena mwaka mpaka mwaka
 
Kiukweli ana nafasi ya kutoa mchango bado. Asiendelee kufikiria madaraka ambayo hana.
Atushauri na kutusaidia sasa ili tufike tunakokwenda.
Njia imejaa utelezi na miiba. Inazingua kweli kweli
 
CAG Assad aliondolewa kwenye nafasi hiyo kabla ya wakati. Inasemwa kwamba rais akishateua CAG hatakiwiki kumuingilia kwenye kazi zake wala kumtengua hadi atakapostaafu kwa taratibu za kiutumishi. Au wakati anaondolewa kazini hukuwa na smartphone?
Aliondolewa sasa, lia, utafanya nini juu ya hilo?
 
Hivi unafikiri kwa record na cv yake huyo bwana ana shida na hiyo nafasi? Unajua before CAG, amefanya kazi wapi?
Mostly ni taasis kubwa za kifedha dunanian, nje ya nchi hii. Kwa taarifa yako aliitwa na marehemu, hakutaka ila aliitwa akiwa bado yupo nje

Kulalamika hamaanishi anataka, but yaliyotokea ni upumbavu. Huwez kufunika waovu halaf uka deal na alie uibua. Jiwe asingemuita kutoka nje
We mpuvavu haswa!
Huyu alikuwepo toka utawala wa JK Sasa Magu alimuita saa ngapi huyu mpenda cheo
 
Mtu yoyote yule mwenye nia safi, akifanyiwa injustice huwa hawasahau, aliondolewa bila utaratibu baada ya kuibua madudu ambayo yalichafua legacy, badala ya kudeal na wahusika kiongoz akaona a deal nae, na maeneo mengine yasikaguliwe.

So sio suala la kukaa kimya, huyu baba ni mkweli na hana doa kwenye file lake.

Kukaa kimya ndio huwa kunaruhusu viongoz waovu kuendelea na mambo na ajabu
Kwa nini alikubali kuondolewa bila kufuata sheria?

Naye ni wale wale mapim....biiize
 
Back
Top Bottom