Banda la Ngozi
Member
- Sep 9, 2024
- 5
- 3
Mussa Assad kuendelea kuhojiwa kila mara hakutasimama,na hii ni kwa sababu kunakuwa na media mpya mfano ni hiyo crown FM ,ndio maana unaona ikikaribia Nyerere day vyombo vingi vya habari vinaenda kufanya mahojiano na walewale waliowafanyia mwaka jana hii yote ni Katika kuweka kumbukumbu sawa .Unafikiri kwanini hadi leo kwenye mahojiano bado anaulizwa jambo hilo?
Ulitaka akiulizwa asiwe anajibu?Kwa hiyo mpaka leo anawazia UCAG?Hiyo ni kuchanganyikiwa kabisa. Alitaka awe CAG wa maisha?
Yule alikuwa kiashiria cha nchi ina wendawazimu , wangekuwa serious na"vetting " wanayosema wasingempitisha.Kwa sababu nchi yenyewe ina wendawazimu, huyo mwendawazimu unayemkusudia hayupo sasa hivi je unaona Tanzania imebadilika nini?
Kwa nini wasingempitisha?Yule alikuwa kiashiria cha nchi ina wendawazimu , wangekuwa serious na"vetting " wanayosema wasingempitisha.
Matokeo baada ya kumptisha ndio sababu za asingepitishwa.Kwa nini wasingempitisha?
Wangeyajuaje hayo matokeo? Binafsi sio mnafki wa kudai et Magufuli hakuwa sahihi kwa nchi kama Tanzania.Matokeo baada ya kumptisha ndio sababu za asingepitishwa.
Kuna kitu kinaitwa track record .Wangeyajuaje hayo matokeo? Binafsi sio mnafki wa kudai et Magufuli hakuwa sahihi kwa nchi kama Tanzania.
Mkuu yeye sio CAG wa kwanza kuna aliyewakuta na wanaondelea baada ya kuondoka kwake.Mussa Assad kuendelea kuhojiwa kila mara hakutasimama,na hii ni kwa sababu kunakuwa na media mpya mfano ni hiyo crown FM ,ndio maana unaona ikikaribia Nyerere day vyombo vingi vya habari vinaenda kufanya mahojiano na walewale waliowafanyia mwaka jana hii yote ni Katika kuweka kumbukumbu sawa .
Mimi narudia kusema tu kwamba siwezi kuwa mnafki kusema kwamba et Magu hakufaa kwa nchi kama Tanzania.Kuna kitu kinaitwa track record .
Hii inao mchango mkubwa kwenye kufanya machaguo.
Afadhali sana kuongozwa na mwendawazimu kuliko kuongozwa na muuaji na mtekaji.Nchi ilikuwa inaongozwa na mwendawazimu.
Mizengwe iliyofanyika . Hakukuwa na sababu ya kuzuia mtu kuingia ofisini.Unafikiri kwanini hadi leo kwenye mahojiano bado anaulizwa jambo hilo?
Tuna majonzi ya kuuawa kwa Watanzania wenzetu wasio na hatia kupitia serikali hii ya huyo mama yake, sasa yeye anaturudisha kujadili kutenguliwa kwake tumuone Mwamba Magufuli mmbaya. Akae kwa kutulia kwani Watanzania wangapi ni jobless sembuse yeye?Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof Mussa Assad ameeleza namna alivyopata taarifa za kutenguliwa kwake katika nafasi hiyo.
“Utenguzi wangu kuna mtu alinipigia simu siku moja kabla kuhusu utenguzi wangu, na saa moja kabla ya taarifa kutoka nikapigiwa simu tena basi nikampa funguo yule dereva wangu yeye akarudi Dodoma mimi nikapanda ndege kurudi Dar” Prof Mussa Assad CAG wa zamani.
Lakini pia siku naenda ofisi ambapo nilikuwa bado ni CAG kwa sababu nilikuwa naondosha tarehe nne lakini nakutana na vijana Ofisi kwangu, vijana wananiambia Profesa huko juu kuna watu na tunahisi hautoweza kuingia ofisi kwako. Ni kawambia no hakuna mtu anaweza kuniingilia leo tarehe 3 nataka kuangalia ofisi yangu kuclose mafails ili kesho niondoe vitu vyangu.
Nikapanda juu gholofa ya 3 naona vijana wawili kwenye mlango wamekaa nikawafuata, jamani vipi haa Profesa sisi tumetumwa tukae hapa na wewe leo usiingie ofisini kwako. Nikasema nani amewatuma? wakajibu sisi tumetumwa na viongozi wetu. Nikauliza hivi kiongozi wako anajuwa leo tarehe 3? Akajibu anajuwa lakini sisi tumeambiwa tukae hapa tusiondoke.
Basi mimi nikawaambia napiga simu sahivi nikashuka chini gholofa ya pili kijana mmoja naye akashuka eh Profesa wewe njoo kesho asubhi hapa utaingia mimi nikamwambia nataka kuingia leo nikampigia simu Chief secretary. Lakini si kutaka kurudi tena juu nikaamua kuondoka zangu kurudi nyumbani kwangu.
Prof Mussa Assad aliteuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 05, mwezi Novemba 2014 na kuhudumu katika nafasi hii mpaka tarehe 04, Novemba 2019 ambapo muda wake wa utumishi ulimalizika.
Soma Pia:
Prof Mussa Assad alifanya kazi kwenye awamu ya nne ya Urais ambaye Rais alikuwa Jakaya Kikwete na awamu ya tano Rais alikuwa Hayati Joseph Magufuli.
- Prof. Mussa Assad atoa maoni yake kuhusu Ripoti ya CAG, asikitishwa na yanayoendelea
- Profesa Assad: Nashutumiwa bila ya makosa na naichukulia hatua hiyo ya Bunge kwa utulivu, suala hilo halinisumbui
- CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya
Unapokuwa unalinda usalama wa nchi, ubabe ni sehemu ya utekelezaji wa majukumuLakini kwa kufuata sheria na taratibu za kumwondoa si kutumia mabavu na ubabe.Hii ndio hoja kuu.
Magufuli alikuwa dikteta mkubwa sana katika nchi hii. Yeye alitaka aibe rasilimali za umma bila kuhojiwa ja CAG. Inauma sana.Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof Mussa Assad ameeleza namna alivyopata taarifa za kutenguliwa kwake katika nafasi hiyo.
“Utenguzi wangu kuna mtu alinipigia simu siku moja kabla kuhusu utenguzi wangu, na saa moja kabla ya taarifa kutoka nikapigiwa simu tena basi nikampa funguo yule dereva wangu yeye akarudi Dodoma mimi nikapanda ndege kurudi Dar” Prof Mussa Assad CAG wa zamani.
Lakini pia siku naenda ofisi ambapo nilikuwa bado ni CAG kwa sababu nilikuwa naondosha tarehe nne lakini nakutana na vijana Ofisi kwangu, vijana wananiambia Profesa huko juu kuna watu na tunahisi hautoweza kuingia ofisi kwako. Ni kawambia no hakuna mtu anaweza kuniingilia leo tarehe 3 nataka kuangalia ofisi yangu kuclose mafails ili kesho niondoe vitu vyangu.
Nikapanda juu gholofa ya 3 naona vijana wawili kwenye mlango wamekaa nikawafuata, jamani vipi haa Profesa sisi tumetumwa tukae hapa na wewe leo usiingie ofisini kwako. Nikasema nani amewatuma? wakajibu sisi tumetumwa na viongozi wetu. Nikauliza hivi kiongozi wako anajuwa leo tarehe 3? Akajibu anajuwa lakini sisi tumeambiwa tukae hapa tusiondoke.
Basi mimi nikawaambia napiga simu sahivi nikashuka chini gholofa ya pili kijana mmoja naye akashuka eh Profesa wewe njoo kesho asubhi hapa utaingia mimi nikamwambia nataka kuingia leo nikampigia simu Chief secretary. Lakini si kutaka kurudi tena juu nikaamua kuondoka zangu kurudi nyumbani kwangu.
Prof Mussa Assad aliteuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 05, mwezi Novemba 2014 na kuhudumu katika nafasi hii mpaka tarehe 04, Novemba 2019 ambapo muda wake wa utumishi ulimalizika.
Soma Pia:
Prof Mussa Assad alifanya kazi kwenye awamu ya nne ya Urais ambaye Rais alikuwa Jakaya Kikwete na awamu ya tano Rais alikuwa Hayati Joseph Magufuli.
- Prof. Mussa Assad atoa maoni yake kuhusu Ripoti ya CAG, asikitishwa na yanayoendelea
- Profesa Assad: Nashutumiwa bila ya makosa na naichukulia hatua hiyo ya Bunge kwa utulivu, suala hilo halinisumbui
- CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya
Wewe unachukia vyeo?PROF ASSAD MPAKA LEO ANATESEKA SANA NA UCAG . MBONA WENZAKE WALISHANYAMAZA? INAONEKANA AMEATHIRIKA SANA KISAIKOLOJIA ZAIDI YA MIAKA 3 WIMBO NI ULE ULE. ALITAKA AWE CAG MILELE? INAONEKANA ANAPENDA SANA VYEO.
Haina shakauko sahihi kusema hiyo sheria ni batili. Lakini sheria hiyo inapokuwa haramu mambo mengi sana yaliyomo kwenye hiyo shera naayo itaabidi yawe batili pia. Kwa mfano sheria hiyo ndiyo inayoanzishe National Audit Office. Je hiyo ofisi ni baatili? ia hiyo sheria ilianzisha cheo cha Naibu CAG, je hicho cheo nacho kifutwe?Loh! Yaani Public Audit Act ifute kilichopo kwenye katiba!
Anyway sijaona hiyo, ila kwa vyovyote sheria yeyote haiwezi kufuta au hata kuwa kinyume na kifungu chochote cha katiba.
That law is unconstitutional and of no legal force.
Thanks, nimekupata.Haina shakauko sahihi kusema hiyo sheria ni batili. Lakini sheria hiyo inapokuwa haramu mambo mengi sana yaliyomo kwenye hiyo shera naayo itaabidi yawe batili pia. Kwa mfano sheria hiyo ndiyo inayoanzishe National Audit Office. Je hiyo ofisi ni baatili? ia hiyo sheria ilianzisha cheo cha Naibu CAG, je hicho cheo nacho kifutwe?