Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

Uko sahihi mkuu. Prof. Assad hakutaka kutumika na jiwe kama toilet paper ili kusafisha wizi wa 1.5 trilion alizochota na kuzipeleka Chato.
 
Yupo kwenye tume ya kupitia mifumo ya kodi, iliundwa na Rais mwezi mmoja uliopita. Sio kwamba analialia, anapoulizwa maswali anayajibu sasa tatizo ni uelewa wa sisi wafuatiliaji wa hii habari.
 
Ameniangusha kwenye kiapo ,yaani watu wanakufa wewe umekalia kiapo!!!!!🚮 Mhhhh nonsense
 
Mchamungu ambae alimkataza mkewe asiende kwenye msiba wa mzazi wake kisa ni mkristo
 
Zaidi ya kuhongesha kichwa chake chini hana ajualo huyo babu
 
Nikapanda juu gholofa ya 3 naona vijana wawili kwenye mlango wamekaa nikawafuata, jamani vipi haa Profesa sisi tumetumwa tukae hapa na wewe leo usiingie ofisini kwako. Nikasema nani amewatuma? wakajibu sisi tumetumwa na viongozi wetu. Nikauliza hivi kiongozi wako anajuwa leo tarehe 3? Akajibu anajuwa lakini sisi tumeambiwa tukae hapa tusiondoke.
 
Magufuli alikuwa dikteta mkubwa sana katika nchi hii. Yeye alitaka aibe rasilimali za umma bila kuhojiwa ja CAG. Inauma sana.
Kamwambie huyo Pimbi wako ASAD alitolewa na hana cha kufanya! Na kwa taarifa yako yeye hatakuwa Rais hata iwe vipi aendelee kulialia tu kama mtoto mdogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…