TANZIA Prof. Mwesiga Baregu afariki dunia

Ww unayejua umuhimu wake ulitakiwa ujadili ili tuone utofauti wako, sasa ww umebaki kwenye mijadala isiyo ya bajeti, huku ukitoa miongozo kama mwalimu wa chekechea watu wajadili nini!
Mkuu tuko busy mkuu!
 
may his suol rest in paradise
 
R.i.p Prof. tunashukuru awamu hii hakuna tena uvumi wa "changamoto za kupumua"
 
RIP. huyu prof alishasemaga kama ni kuchagua kati ya nchi na chama yeye 'atachagua nchi'. Ni pale chama chake kilikua kinamlazimisha akatae uteuzi wa kutumikia nchi. PROF ALIIPENDA SANA NCHI YAKE.
 
Ni kweli mkijadili bajeti.
Tanataka tuhakikishe MONDI anatoka BET
Kwa kufanya hivyo tutakuwa tumepata muarobaini wa kuitoa ccm madarakani. Ukizingatia dhalimu wetu amekufa huku tukifurahia sana kutumbuliwa kwa wateule wake kina Sabaya na chalamila.

Hakika sasa njia ya ikulu ni nyeupee!
 

Huna jipya, hapa naona unaleta tu uchuro ili kumtakatisha dhalimu, ni bora unyeshee tu maua hapo kaburi, kuliko kulazimisha kumtakatisha ibilisi.
 
Huna jipya, hapa naona unaleta tu uchuro ili kumtakatisha dhalimu, ni bora unyeshee tu maua hapo kaburi, kuliko kulazimisha kumtakatisha ibilisi.
Ntakuwaje na jipya mkuu?

Ukizingatia dhalimu wako aliekuwa anakufanya ukose ushindi kafariki kwa hiyo njia nyeupe ya kwenda ikulu! Ntakuwa na jipya tena hapo?
 
Ntakuwaje na jipya mkuu?

Ukizingatia dhalimu wako aliekuwa anakufanya ukose ushindi kafariki kwa hiyo njia nyeupe ya kwenda ikulu! Ntakuwa na jipya tena hapo?

Nyeshea maua na uendelee na mahouse girl hapo nyumbani kwa dhalimu, maana hata mama Janeth kasharudi hapa mjini. Hakikisha unaweka mayai ya hao tausi kwenye incubator, ili utotoleshe tausi wa kutosha.
 
Nyeshea maua na uendelee na mahouse girl hapo nyumbani kwa dhalimu, maana hata mama Janeth kasharudi hapa mjini. Hakikisha unaweka mayai ya hao tausi kwenye incubator, ili utotoleshe tausi wa kutosha.
Ntafanya mkuu!

Usijali kabisa
 
RIP

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Naona Kama mama Anachelewesha hii Vaccine, I will be on the front line to get vaccinated
Ungeandika tu kiswahili kuwa utakuwa mstari wa mbele kupokea Chanjo ungeonekana mtu wa Maana kuliko huu upumbavu wa Kubaka lugha za watu.. "To get Vaccinated"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…